Ukraine: Wafungwa wenye uzoefu wa kijeshi kuachiwa ili wasaidie kupambania nchi yao

Ukraine: Wafungwa wenye uzoefu wa kijeshi kuachiwa ili wasaidie kupambania nchi yao

ndio maana ccm inatutwist itakavyo sababu wanajua tu waoga
Yani wanaume wazima tena unakuta mishipa ya shingo inawatoka kumhimiza Mh.Mbowe asimamie msimamo wake wa kutete haki,hao hao njoo ukutane nao hapa kwa hizi mada,ni maoga utadhani siagi ndani ya flying pan yanavyonywea kwa uwoga.
 
Yani wanaume wazima tena unakuta mishipa ya shingo inawatoka kumhimiza Mh.Mbowe asimamie msimamo wake wa kutete haki,hao hao njoo ukutane nao hapa kwa hizi mada,ni maoga utadhani siagi ndani ya flying pan yanavyonywea kwa uwoga.
Ndio maana walimwita Magufuli ni Yesu ili tu waishi, naye kwa kupenda sifa hakukemea matokeo yake akatwaliwa.
 
Iweni wapole kama njiwa ( ua ) na wajanja kama nyoka.. Watu wanaangamia kwa kukosa maarifa.. alichotaka huyo rais ni ukikwaji wa mkataba.. simple angejifanya fala.. kuepusha maafa mda huo huo angekuwa anaangalia the best way ya kuwa salama
wanaume waoga utawajua tu 😂
 
Raisi wa Ukraine anafaa kusaidiwa na kupongezwa, ni shujaa wa karne hii.
anajua fika mpinzani wake ana nguvu kumshinda lakini amekomaa na anahamasisha raia wake kwa nguvu zote.
m
nimemkubali sana.
Atanyooshwa tu
 
wanaume waoga utawajua tu 😂
Maisha ni mala moja na kifo ni mala moja.. wenye hekima husikiliza ndio hutenda bali wapumbavu hupayuka.. vita haijawai kuwa solution kwa anaonekana kashinda na anaeonekana kapoteza
 
Screenshot_20220227_161434.jpg
 
Nimependa sana hii, inafikia hatua mnaweka tofauti zenu za ndani pembeni, hamna cha sijui chama hiki au kile, au Simba/Yanga au serikali au upinzani, inakua muda wa kutetea bendera ya nchi, kutetea ardhi, kutetea watoto wenu, vizazi vijavyo visiandike historia mbovu kuwahusu nyie wa leo.
Kila mmoja chukua silaha, bibi, babu, shangazi, mjomba, vijana wote wa kike au kiume, jaza chupa za petroli, tupigane kwenye vitongoji vyote, milimani, mashambani, kwenye mitaroni, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, mahandakini, mapangoni aisei hadi raha......
Ndio kilimkuta Marekani kule Vietnam, wanajeshi wake walikufa hadi akakimbia maana ilifikia hatua ikawa hajui adui ni yupi.
Na ndicho kinaenda kumkuta Russia.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Nimependa sana hii, inafikia hatua mnaweka tofauti zenu za ndani pembeni, hamna cha sijui chama hiki au kile, au Simba/Yanga au serikali au upinzani, inakua muda wa kutetea bendera ya nchi, kutetea ardhi, kutetea watoto wenu, vizazi vijavyo visiandike historia mbovu kuwahusu nyie wa leo.
Kila mmoja chukua silaha, bibi, babu, shangazi, mjomba, vijana wote wa kike au kiume, jaza chupa za petroli, tupigane kwenye vitongoji vyote, milimani, mashambani, kwenye mitaroni, nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango, mahandakini, mapangoni aisei hadi raha......
Ndio kilimkuta Marekani kule Vietnam, wanajeshi wake walikufa hadi akakimbia maana ilifikia hatua ikawa hajui adui ni yupi.
Kwa solidarity ya aina hii kufa kwa ajili ya taifa lako ni heshima kuu. Ni baraka kuliko tunazohubiriwa kwenye nyumba za ibada.
 
Huyu ni mwanaume wa shoka haswaa,hatishiki na mikwara yote ya Putini na ametoa upinzani wa kutosha kulingana na nguvu za anaepigana nae.
Jina lake limechapwa kwenye vitabu vya historia kama shujaa mpigania nchi yake; God bless him. Putin fashisti la karne ya 21.
 
Spirit ya Rais wa Ukraine na Wananchi wake si ya kubezwa hata kidogo katika kulitetea Taifa lao,pamoja na vitisho vyote vya Putin lakini wamesimama Imara na hawaogopi hata kama wanajua adui yao kawazidi kwa kila kitu.
... huyu ni legend linapokuja suala la kutetea taifa dhidi ya mafashisti kind of Putin. Ndio maana halisi ya kufa kwa ajili ya nchi yako! Ametoa somo muhimu sana kwa kizazi hili.
 
picha za wana jeshi wa Ukraine waliyo kufa zina fichwa!!
wachambuzi wa JF wandaki ndaki wa Ukraine pamoja na USA wanakuambia Russia anapumilia mashine.. hawana balance utafikiri wapo Ukraine kumbe wapo vyumbani mwao wana hara tu upupu
 
Kuna haja ya kila mtu kupitia jeshini Hii vita inatufunza mengi hawa watu hawakutegemea kwa karne Hii ingekua hivi siku 1 walikua wanaona nchi za kiarab na Africa tu
 
Back
Top Bottom