Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Always appear weak when you are strong.Huyu jamaa si jana tu hapo alikuwa anataka akutane na putin wafanye mazungumzo wayamalize kaisha kubali kushindwa?
Hahahahaha umenishtua huo mda wa kumonitor id za watu mnatoa wapi.
Yale yale !Urusi yenyewe inadai eti ajali ya moto.
ShambuliIizi litajibiwa kwa ukubwa unaofanana na huo!Warusi wa buza njooni huku, Ze komedi kawachapa tena kwenye mshono
Unaizungumzia Russia kama unaizungumzia Burma!Na Bado huu ni mwanzo tu hadi Putin atolewe madarakani ndipo hii vita itaisha.Sasa hivi Ukurein anachokifanya ni kumtoa kwanza Rusia ndani ya mipaka yake halafu ndipo kipondo kianze.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna matrilioni kadhaa za warusi yalikuwa yamehifadhiwa na mabilionea na urusi ulaya, yote yamepigwa pini, wamesema kuwa vita vikiisha, pesa hizo zitatumika kuijenga Ukraine.Nikwambie tu Vita ikapoisha Ukraine wataijenga Nchi yao, wakati sisi na wewe tuko pale pale, na kwa taarifa yako licha ya Vita Ukraine umeme, Internet, Maji na Hospitali bado wana huduma nzuri kuliko 90% ya nchi za Africa
Mikwala tuKwani si alisema taifa lolote litakaloingilia vita hii watapigwa? Sasa shida iko wapi?
Sio hujuma watu wenye akili za kuweza kutengeneza appstore, android, windows software wameanza kufanya KAZI. Tutegemee makubwa kwa warusi kupata shida katika hii duniahapa inabidi tuungane na MK254 kuamini mrusi ni super power wa mchongo ila nahisi kuna hujuma ndani ya jeshi la Urusi na kama Putin asipoangalia anaweza pata pigo moja la hatari
Mbona tuliambiwa anga la Urusi limefungwa na hata punje ya mchele haikwepi rada za UrusiDefenders wa Ukraine wafanya mashambulizi ndani Urusi. Mashambulizi hayo ni ya makombora ambayo yamelipua vituko vya mafuta na kuleta mlipuko mkubwa katika Jimbo la Druzhba oil depot in Bryansk kilomita 240 kutoka Moscow.
Milipuko hiyo imetokea kwenye storage muhimu za mafuta ambaya ndio yalikuwa yakisaidia Sana kuwez Sha mashambulizi katika majimbo ya Donhas.
Urusi yenyewe inadai eti ajali ya moto.
Dah comedian Zelensky anaendelea kumjambisha mtu serious Putin!
Soma zaidi kwa kiingereza kwenye iyo linki chini.
![]()
Fires burn in Russian city of Bryansk 'after Ukraine missile strike'
Fires broke out at the Druzhba Oil Depot and a military base in the Russian city of Bryansk in the early hours of the morning, after what were widely suspected to be Ukrainian missile strikes.www.dailymail.co.uk
Wanasubiri kwa hamu hiyo ya kupiga kichwa cha PutinVita hivi ni vya kisayansi zaidi!
Putin anapigwa kwanza za goti, wakimchosha za goti wataingia za kiunoni na kisha watamalizana naye Kwa kukong'ota kichwa baasii
Tena limefungwa kwa ile mitambo ya S300 sijui S400 ambazo hata huo mchele hauwezi kukwepa hiyo Radar.Mbona tuliambiwa anga la Urusi limefungwa na hata punje ya mchele haikwepi rada za Urusi
Vita hivi ni vya kisayansi zaidi!
Putin anapigwa kwanza za goti, wakimchosha za goti wataingia za kiunoni na kisha watamalizana naye Kwa kukong'ota kichwa baasii
Defenders wa Ukraine wafanya mashambulizi ndani Urusi. Mashambulizi hayo ni ya makombora ambayo yamelipua vituko vya mafuta na kuleta mlipuko mkubwa katika Jimbo la Druzhba oil depot in Bryansk kilomita 240 kutoka Moscow.
Milipuko hiyo imetokea kwenye storage muhimu za mafuta ambaya ndio yalikuwa yakisaidia Sana kuwez Sha mashambulizi katika majimbo ya Donhas.
Urusi yenyewe inadai eti ajali ya moto.
Dah comedian Zelensky anaendelea kumjambisha mtu serious Putin!
Soma zaidi kwa kiingereza kwenye iyo linki chini.
![]()
Fires burn in Russian city of Bryansk 'after Ukraine missile strike'
Fires broke out at the Druzhba Oil Depot and a military base in the Russian city of Bryansk in the early hours of the morning, after what were widely suspected to be Ukrainian missile strikes.www.dailymail.co.uk
Huyu jamaa si jana tu hapo alikuwa anataka akutane na putin wafanye mazungumzo wayamalize kaisha kubali kushindwa?
muda ukifika msije sema Ukraine ilikuwa inajilipua ili waivamie UrusiNchi yao inebaki magofu na vifusi lakini hawajatia akili
🤣🤣🤣Kama walivyodai kuhusu meli ya kivitaUrusi yenyewe inadai eti ajali ya moto