Ukraine yafanya mashambulizi ndani ya Urusi tena karibu na Moscow

Ukraine yafanya mashambulizi ndani ya Urusi tena karibu na Moscow

Nikwambie tu Vita ikapoisha Ukraine wataijenga Nchi yao, wakati sisi na wewe tuko pale pale, na kwa taarifa yako licha ya Vita Ukraine umeme, Internet, Maji na Hospitali bado wana huduma nzuri kuliko 90% ya nchi za Africa
Haya maneno unamwambia nani sasa? Mama au?
 
Vita hivi ni vya kisayansi zaidi!

Putin anapigwa kwanza za goti, wakimchosha za goti wataingia za kiunoni na kisha watamalizana naye Kwa kukong'ota kichwa baasii
Wakimfikia Putin kiunoni wataishia kumwagiwa manii na mimba zinawahusu nadhani hata wewe utakumbwa na kichefuchefu cha Pseudopregnancy ya Putin
 
Tena limefungwa kwa ile mitambo ya S300 sijui S400 ambazo hata huo mchele hauwezi kukwepa hiyo Radar.

Tukumbuke pia hata ile meli ya Moskva iliyoteremshwa chini na Ukraine, ilikuwa na S300 defence system.
Yale machuma hayana msaada wowote! Yalisha prove failure kule Syria na sasa hivi Ukraine anajipigia tu Russia anavyotaka. Hamna wa kumzuia
 
Wakimfikia Putin kiunoni wataishia kumwagiwa manii na mimba zinawahusu nadhani hata wewe utakumbwa na kichefuchefu cha Pseudopregnancy ya Putin
Umejuaje yote hayo? Umeshawahi kubebeshwa hiyo mimba na huyo putin?
 
Ndo nimejua propaganda sio nzuri... Russia waliiaminisha Dunia wao ni wababe sana na. Wajuvi mno... naona wahuni wameamua kuwachokonoa sasa wanabaki kutafuta mchawi badala wamalize vita kututhibitishia ubora wao watembeze kichapo tu kuendelea kuongea ongea kunadhirisha ufala wao tu
 
Defenders wa Ukraine wafanya mashambulizi ndani Urusi. Mashambulizi hayo ni ya makombora ambayo yamelipua vituko vya mafuta na kuleta mlipuko mkubwa katika Jimbo la Druzhba oil depot in Bryansk kilomita 240 kutoka Moscow.

Milipuko hiyo imetokea kwenye storage muhimu za mafuta ambaya ndio yalikuwa yakisaidia Sana kuwez Sha mashambulizi katika majimbo ya Donhas.

Urusi yenyewe inadai eti ajali ya moto.

Dah comedian Zelensky anaendelea kumjambisha mtu serious Putin!

Soma zaidi kwa kiingereza kwenye iyo linki chini.
Tukijibu hili shambulio tusisikie Putin ni butcher
 
Ni wapi Ukraine wenyewe wamekiri Hilo shambulio?
Au wewe ndio umethibitisha Ukraine ndo wameshambulia
Kuna taarifa zinakinzana ila ukraine inadaiwa kuhusika, unajua vita ina involve vitu kama counter strategies, ukiwa invaders unapaswa kuwa secured maana huwezi kukwepa retaliation. Pia espionage ni njia ya kupika propaganda kama kuonesha kuwa Russia pia haiko Salama. I feel pity kwa vijana wa Russia wanaokufa kwenye hii operation haina picha nzuri licha ya kuwa na military supremacy au mshabiki wa putini unasemaje
 
Back
Top Bottom