4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
HahahahaaaaaaHofu yangu Putin asijeshusha nyuklia palee ili kusummarize topic ya hii vita..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaaaaaaHofu yangu Putin asijeshusha nyuklia palee ili kusummarize topic ya hii vita..
hahahahaaaaaaUnaizungumzia Russia kama unaizungumzia Burma!
Kwa sababu ni wanaume haswa wanaojua nini maana ya kulinda heshima na hadhi ya Taifa lao kwa vitendo,hawa si waoga kama wanaume wa Tanzania Pro RussiaNchi yao inebaki magofu na vifusi lakini hawajatia akili
Kwani Nukes anazo yeye peke yake hapa DunianiHofu yangu Putin asijeshusha nyuklia palee ili kusummarize topic ya hii vita..
Haya maneno unamwambia nani sasa? Mama au?Nikwambie tu Vita ikapoisha Ukraine wataijenga Nchi yao, wakati sisi na wewe tuko pale pale, na kwa taarifa yako licha ya Vita Ukraine umeme, Internet, Maji na Hospitali bado wana huduma nzuri kuliko 90% ya nchi za Africa
Subili ndani ya mwezi mmoja ndo utajua Rusia ni dhaifu Sana ,kama alivoibomoa Ukureine na yeye mini yake itawaka moto muda sio mrefumtakuwa mnakosea sana. kama kuna mtu ana hisi Urusi itashindwa hii vita! Ukraine imesha poteza 100%
Wakimfikia Putin kiunoni wataishia kumwagiwa manii na mimba zinawahusu nadhani hata wewe utakumbwa na kichefuchefu cha Pseudopregnancy ya PutinVita hivi ni vya kisayansi zaidi!
Putin anapigwa kwanza za goti, wakimchosha za goti wataingia za kiunoni na kisha watamalizana naye Kwa kukong'ota kichwa baasii
Yale machuma hayana msaada wowote! Yalisha prove failure kule Syria na sasa hivi Ukraine anajipigia tu Russia anavyotaka. Hamna wa kumzuiaTena limefungwa kwa ile mitambo ya S300 sijui S400 ambazo hata huo mchele hauwezi kukwepa hiyo Radar.
Tukumbuke pia hata ile meli ya Moskva iliyoteremshwa chini na Ukraine, ilikuwa na S300 defence system.
Umejuaje yote hayo? Umeshawahi kubebeshwa hiyo mimba na huyo putin?Wakimfikia Putin kiunoni wataishia kumwagiwa manii na mimba zinawahusu nadhani hata wewe utakumbwa na kichefuchefu cha Pseudopregnancy ya Putin
Ndo lilikuwa lengo la Urusi ama ni baada ya mission kufeli akaona asikose kabisa bora alipue hata makazi ya raia tu?Nchi yao inebaki magofu na vifusi lakini hawajatia akili
Hii ni awamu ya 3 Ukraine anapiga sehemu yenye mifumo mikubwa kabisa ya ulinzi ya russia.Yale machuma hayana msaada wowote! Yalisha prove failure kule Syria na sasa hivi Ukraine anajipigia tu Russia anavyotaka. Hamna wa kumzuia
Tukijibu hili shambulio tusisikie Putin ni butcherDefenders wa Ukraine wafanya mashambulizi ndani Urusi. Mashambulizi hayo ni ya makombora ambayo yamelipua vituko vya mafuta na kuleta mlipuko mkubwa katika Jimbo la Druzhba oil depot in Bryansk kilomita 240 kutoka Moscow.
Milipuko hiyo imetokea kwenye storage muhimu za mafuta ambaya ndio yalikuwa yakisaidia Sana kuwez Sha mashambulizi katika majimbo ya Donhas.
Urusi yenyewe inadai eti ajali ya moto.
Dah comedian Zelensky anaendelea kumjambisha mtu serious Putin!
Soma zaidi kwa kiingereza kwenye iyo linki chini.
![]()
Fires burn in Russian city of Bryansk 'after Ukraine missile strike'
Fires broke out at the Druzhba Oil Depot and a military base in the Russian city of Bryansk in the early hours of the morning, after what were widely suspected to be Ukrainian missile strikes.www.dailymail.co.uk
Kuna taarifa zinakinzana ila ukraine inadaiwa kuhusika, unajua vita ina involve vitu kama counter strategies, ukiwa invaders unapaswa kuwa secured maana huwezi kukwepa retaliation. Pia espionage ni njia ya kupika propaganda kama kuonesha kuwa Russia pia haiko Salama. I feel pity kwa vijana wa Russia wanaokufa kwenye hii operation haina picha nzuri licha ya kuwa na military supremacy au mshabiki wa putini unasemajeNi wapi Ukraine wenyewe wamekiri Hilo shambulio?
Au wewe ndio umethibitisha Ukraine ndo wameshambulia