Ukraine yahimiza kila nchi yenye Patriot iwasaidie kupambana na Urusi inayokaribia kuuteka mji wa Kharkiv

Hakuna uhuru usio na mipaka,hasa pale unapo pakana na mataifa makubwa au kuingilia deal za wakubwa kama USA, Urusi,China nk.

Lazima wakufundishe adabu tu,pale unapo kosa heshima.

Kuna Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema "mighty is justice"
 
Upinde
 
Wangesalimu amri mapema wangeokoa uhai wa watu na.mali zao. Ina Sasa miji Yao ilivyogeuzwa magofu
 
UTAKIWI KUNISIKILIZA MIMI WALA KUMSIKILIZA PUTIN ....UNATAKIWA KUTUMIA AKILI HAPO NIMEKUPA LUGHA YA AKILI ....NYINYI NDIYO WAPUMBAVU MNAO ACHA KUONGOZWA NA AKILI AU KUTUMIA AKILI ....NDIYO MAANA CCM NA CHADEMA WANAWAGEUZA MISUKULE YAO HATA KWENYE DINI WATU KAMA NYINYI MSIO TAKA KUONGOZWA NA AKILI MNAISHIA KUGEUZWA MISUKULE YA WAHUNI WA KIDINI .....NILICHO KUAMBIA NDIYO AKILI YA URUSI NA PUTIN INACHO KWENDA KUKIFANYA MENGINE YOTE NI DANGANYA TOTO KAMA WEWE.
 
Hakuna uhuru usio na mipaka,hasa pale unapo pakana na mataifa makubwa au kuingilia deal za wakubwa kama USA, Urusi,China nk.

Lazima wakufundishe adabu tu,pale unapo kosa heshima.

Kuna Mwanafalsafa mmoja aliwahi kusema "mighty is justice"
Basi acha afundishwe adabu, maana hana heshima.

Kutaka kujiunga na NATO ni kukosa adabu, ngoja wamuadabishe.
 
Mkuu umeongea point sana.

Jamaa ni damu ya kupigana imo damuni
 
Mtu kama mimi kila siku kupokea taarifa za vifo vya askari na adui akisonga mbele basi naweza kuanguka puuu ! bila hata kutembelea mstari wa mbele.
Nawasifu sana Hamas.Kuendelea kupigana bila silaha wala chakula na kila siku wenzako wa karibu wanapukutika.
 
Sasa mambo ndiyo hayo nchi imegeuka magofu. Hata Kama una Uhuru wa kujiamulia mambo yako lakini lugha ya staha kwa wakubwa na kutokushirikiana na adui wa jirani yako kwa manufaa ya watu wako hakukuondolei utu wako.
 
Sasa mambo ndiyo hayo nchi imegeuka magofu. Hata Kama una Uhuru wa kujiamulia mambo yako lakini lugha ya staha kwa wakubwa na kutokushirikiana na adui wa jirani yako kwa manufaa ya watu wako hakukuondolei utu wako.
Aidha ni ushabiki tu, au ni chuki dhidi ya west tu ama ni kutokujua mambo tu.

Unaweza ukaishi kwa kufuata matakwa ya jirani yako? Wewe unadhani angeishia kumuamulia la NATO tu?

Wewe unadhani sababu kweli ni NATO?

Putin alipovamia na kuimega Crimea sababu ilikuwa ni NATO?
 
Hapana haikuwa nato bali ni kupinduliwa kwa rais wa Ukraine anayefungamana na urusi.

Lakini mapinduzi yalitokana na waandamanaji wenye kutaka ushirika na west na sio urusi.

Na hii yote ni nato walitaka kumnyakua mshirika wa urusi ambaye ni ukraine kwa ahadi za misaada na vitu vingine.

Huu ulikuwa uchokozi wa nato kwa urusi na urusi aliamua kuonesha ukubwa wake.

Hebu niambie marekani inaweza kukubali nchi zinazomzunguka zimkane na ziwe na uhusiano na urusi wenye kumtia shaka?

Ukraine ni ndugu wa damu wa urusi alitakiwa aijue nafasi yake na sio kumtosa ndugu yake, ingawa kinachofanywa na urusi sio sahihi
 
Hapa sasa umeandika ukweli.

Kinachofanywa ni ubabe unaotakiwa kukemewa. Siyo sahihi kulazimisha jirani akupende.

Uvamizi kama wa Marekani Afghanistan na Iraq ni mifano mingine ya ubabe usiohitajika.

Ni vitendo vya kukemewa.kukemewa.
 
Huna hoja shehe. Na kiujumla, mtu yeyote anaeshabikia uvamizi wa Urusi hana hoja ya maana, zaidi ya kusema tu ''Upinde''
Halafu cha kushangaza asilimia kubwa mnaolaana Russia ndio mnaoshabikia mauwaji yanayofanyika gaza
 
Hivi leo mexico akisema aruhusu makombora ya Urusi au China nchini yawekwe kwake unadhani USA atakubali?
 
Jirani kama mpumbavu lazma umnyooshe tu. Sio dhambi maana mazungumzo hutangulia kabla ya vitendo. Ukraine alikuwa hard Negotiator thus why katwangwa.
 
Usiwe pungua Putin siyo mwehu avamie tu billa sababu wewe unayefikiria vizuri tueleze sababu ya Putin kushambulia Ukraine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…