wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Russia Ni Taifa maskini kabisa,jeshi lake lilikua limebaki na chakula Cha siku 3 tu, Liliishiwa silaha mpk likaomba msaada china,jeshi la Russia halina molari na halikufika Kiev.ukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo
Uko sawa kabisa kwa π―% mkuu.sasa hayo mabom yamefikaje kati kuna air defence system za kutosha, na zile juzi hazikupigwa ilikua propaganda tu mkuu.
Wamesema miili ilishambuliwa kwa risasi mburula weweukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo
Wamesema miili ikishambuliwa kwa risasi mburula wewe
punguza jazba dozi iingie mkuuππππππmburula ni kijambio chako. ndio maana ukweli hatufahamu.
silaha za nyingi ni mashambulio ya mabomu yanayolushwa.
kama unabisha ndio maana kila mtu anasema habari ni propaganda kwa mwenzake
alinena mtaalamu mmoja wa inteligensia na maswala ya Urusi kutoka bunyokwa[emoji19]Russia Ni Taifa maskini kabisa,jeshi lake lilikua limebaki na chakula Cha siku 3 tu, Liliishiwa silaha mpk likaomba msaada china,jeshi la Russia halina molari na halikufika Kiev.
Russia Ni maskini mnooooo.
mtake radhi huyo ni mrussia mwenzetu.alinena mtaalamu mmoja wa inteligensia na maswala ya Urusi kutoka bunyokwa[emoji19]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ngoja tukamribishe comrade Mariupol huku ajionee Operation tunavyoimalizia.mtake radhi huyo ni mrussia mwenzetu.
ukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo
Kuna baridi kali uwezi kukuta Inzi, mbu wala funzaina maana kwa sasa huko kuna nzi na funza plus harufu mbaya
Hata mimi nilitaka kuhoji. Umeniwahi mkuu
walianza kuingia wakakutana na upinzani mkali wakarudisha majeshi nyuma. hata kunye huu uzi kama unafuatilia imeshawekwa.Russia si hakuingia Kyiv!?Sasa imekuwaje tena?.[emoji16][emoji16][emoji16]
Uongo Russia jeshi lake ni dhaifu,halina uwezo wa kufika Kiev.walianza kuingia wakakutana na upinzani mkali wakarudisha majeshi nyuma. hata kunye huu uzi kama unafuatilia imeshawekwa.
Hata mimi nakubaliana na wewe alooππππUongo Russia jeshi lake ni dhaifu,halina uwezo wa kufika Kiev.
Waseme tu nani kafanya hayo.Msafara wa vifaru uliteketezwa njiani Warusi kila mmoja akafuta chocho yakeππππππUongo Russia jeshi lake ni dhaifu,halina uwezo wa kufika Kiev.
[emoji1][emoji1][emoji1] chakula chenyewe walikua wamebaki nacho Cha siku 3 tu,wangefikaje huko Kiev mkuu?Russia dhaifu mnoooo yaani Saana tu.Waseme tu nani kafanya hayo.Msafara wa vifaru uliteketezwa njiani Warusi kila mmoja akafuta chocho yake[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
900+ hivyo yaweza kuwa 1m, 19m, 1B miili ya watu hiyo...Mauaji ya kimbari.. Roho 900 zimeteketea kwa matendo ya binadamu anayejiita kastaarabika
Baadhi ya maelezo ni kwamba Kuna watu wameuwawa kwa risasiukiwa mjuaji wa buza ndio kunatatizo.
hizo kombora zinazorushwa unazifahamu. kwa ni zinakwenda je.
hivi hapo hapo unashabikia kiduku anaogopwa unajua kwa sababu zipi!
kweli nchi inavilaza kama wewe ni shida.
naweza nisifike kwako na nikakutumia bomu walanisifike hilo eneo