Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Hiyo ni baada ya Wazee wa Kazi Marekani kuingia vitani rasmi!Ujue Manazi walifika kabisa karibu na Moscow, lakini mwisho wa siku Red army lilikuja kupiga hodi Berlin.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni baada ya Wazee wa Kazi Marekani kuingia vitani rasmi!Ujue Manazi walifika kabisa karibu na Moscow, lakini mwisho wa siku Red army lilikuja kupiga hodi Berlin.
SAFI UKRENI HONGERAAAAAAWanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa gafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema,mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi. Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
Marekani hakuhusika.Hiyo ni baada ya Wazee wa Kazi Marekani kuingia vitani rasmi!
Hayo maeneo wanayaachia muda si mrefu.kesho tu wanaondoka hao kesho tu kudadeki.Wanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa ghafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi.
Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
Hoi ya Ukraine Putin alisema nioparesheni maalumu lakini mpaka leo anahangaika.Ujue Manazi walifika kabisa karibu na Moscow, lakini mwisho wa siku Red army lilikuja kupiga hodi Berlin.
Dikteta ameshikwa mbavu na kijana mdogo Zelensky. Muda si mrefu ataanza kutishia nyuklia kama kawaida yakeHayo maeneo wanayaachia muda si mrefu.kesho tu wanaondoka hao kesho tu kudadeki.
Tupo hapa.
Magufuli alipokua anasema watu wazae idadi ya watu ilikua imepungua?. Urusi eneo lao nikubwa kulinganisha na idadi yao nahio ndio sababu kubwa.Ndugu yao Putin aliombwa sana asifanye uvamizi, yeye akajifanya supa pawa wa specvial military operation ya wiki moja. Majuzi nimesikia anawaambia wanawakem waze watoto nane kwa vile idadi ya watu wa kujiunga na jeshi imepungua sana. Zaidi ya askari 300,000 kuuwawa ndani ya miaka mitatu tu siyo mchezo.
Haya maneno utanikumbusha jumatatu saa 4 asubuhiWarusi wa Usinge na Buhongwa huwezi waona hapa
Ahahahahaha! Ebu tafuta kitu inaitwa "Normandy Landings".Marekani hakuhusika.
Wanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa ghafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi.
Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
ALISEMA FY-16 ATAZILIPUA KABLA HAZIJAANZA KAZI ,ZIMETUA TANGU WIKI ILIYOPITA NA ZIMEANZA KUPIGA MZIGO,AKADAI URUSI IKIGUSWA ATAAMSHA NYUKLIA TUONE KWA HILI KAMA ANA LA KUFANYAWanajeshi wa Ukraine wamefanya uvamizi wa ghafla kwenye jimbo la Kursk nchini Urusi lililoko kwenye mpaka na jimbo la Summy la nchini Ukraine. Taarifa zinasema mpaka sasa wanajeshi wa Ukraine wamesonga mbele umbali wa 30km kutoka Mpaka wake na Urusi.
Mapigano yanaendelea huku taarifa zikionesha Magari ya Kivita na ndege za kivita za Ukraine zikizunguka ndani ya mji huo. Pia,Wanajeshi kadhaa wa Urusi wametekwa
Eneo hilo limeongezeka gafla tu? Yaani miaka ya nyuma hawakuwa na eneo kubw?Magufuli alipokua anasema watu wazae idadi ya watu ilikua imepungua?. Urusi eneo lao nikubwa kulinganisha na idadi yao nahio ndio sababu kubwa.
Tatizo ni kwamba wanajeshi wote walio vuka mpaka kuingia ndani ya Urusi hakuna atakaye toka akiwa hai wote watauawa .Ndugu yao Putin aliombwa sana asifanye uvamizi, yeye akajifanya supa pawa wa specvial military operation ya wiki moja. Majuzi nimesikia anawaambia wanawakem waze watoto nane kwa vile idadi ya watu wa kujiunga na jeshi imepungua sana. Zaidi ya askari 300,000 kuuwawa ndani ya miaka mitatu tu siyo mchezo.
Wameishamaliza kazi na kurudi wewe unasemaje hawatarudi.Tatizo ni kwamba wanajeshi wote walio vuka mpaka kuingia ndani ya Urusi hakuna atakaye toka akiwa hai wote watauawa .
Sema wao Ukraine watakuwa na maana yao kuanzisha operation hiyo maana wao wanajua zaidi kuhusu vita kuliko sisi.
Nahilo hajaanza kulisema Leo Wala Jana kua watu waongeze kuzaana.Eneo hilo limeongezeka gafla tu? Yaani miaka ya nyuma hawakuwa na eneo kubw?
Tunaomba utuwekee taarifa yakua wamerudi.Wameishamaliza kazi na kurudi wewe unasemaje hawatarudi.