Ukristo Afrika unajifunza nini juu ya vita inayoendelea Israel?

Ukristo Afrika unajifunza nini juu ya vita inayoendelea Israel?

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Historia yoyote itokeayo Duniani huacha fundisho. Kutokujifunza kutokana na historia ni tatizo binafsi. Leo Afrika madhehebu mengi yanaamini katika Mungu wa Israel. Sala nyingi humtaja Mungu wa Israel " Mungu wa Wayahudi"..

Kipindi tunakazana huku Afrika kuomba na kuombewa huku tukiamini Israeli ni Taifa teule tukumbuke Waisraeli wenyewe wanawapiga Hamasi mabomu na silaha nzitonzito kifizikali (physically) kusema ukweli hapa wanatufundisha kuwa imani bila matendo imekufa.

Ni wakati Sasa wa kuomba na kutenda, ile tabia ya kukomaza kichwa na kuwekewa mikono na manabii huku hufanyi chochote Waisraeli wanatuonesha kuwa hauna nafasi. Wale wataalamu wa kusubiria mafanikio ya miujiza " miracle 🤑🤑🤑💰💰💰 bila kujishughulisha kwa kufanya kazi huku wanamtaja Mungu wa Israel, Waisraeli wenyewe wametuonesha kuwa Mungu hayupo hivyo.

Naomba nieleweke kuwa sipingi suala la maombi na sikufuru imani ila naonesha jambo la kujifunza kutoka Israel.
 
Wale wakristo wanaofuata liturjia hawana cha kujifunza kwa sabababu mafundisho yao yako fixed na muongozo huo. Ila wale wengine wana full package kinachotokea huko mashariki ya kati. Wanajua vita zote tangu mwanzo hadi vita kuu ya harmagedoni itakayoshirikisha mataifa mengi yenye silaha kali na hatari za kisasa. Hao wakristo wana access na unabii uliotabiriwa na biblia na hufundishana na kukumbushana kuhusu nyakati za mwisho wa dunia kwa mujibu wa biblia. Hao wakristo wa liturjia wanabanwa na muongozo wao huo na hawajui mengi kuhusu israel na palestina zaidi ya kujua abrakadabra tu za siasa za kimataifa juu mzozo wa palestina na israel
 
Wale wakristo wanaofuata liturjia hawana cha kujifunza kwa sabababu mafundisho yao yako fixed na muongozo huo. Ila wale wengine wana full package kinachotokea huko mashariki ya kati. Wanajua vita zote tangu mwanzo hadi vita kuu ya harmagedoni itakayoshirikisha mataifa mengi yenye silaha kali na hatari za kisasa. Hao wakristo wana access na unabii uliotabiriwa na biblia na hufundishana na kukumbushana kuhusu nyakati za mwisho wa dunia kwa mujibu wa biblia. Hao wakristo wa liturjia wanabanwa na muongozo wao huo na hawajui mengi kuhusu israel na palestina zaidi ya kujua abrakadabra tu za siasa za kimataifa juu mzozo wa palestina na israel
Mkuu kuna hoja nzito sana umeiweka hapa.
 
Lesson learned: Ni wakati wa waafrika kuacha kuyatukuza Mazayuni kwa kuyaona eti ni Taifa teule.
Qur'an Tukufu inawatambua wana-Israel na taifa lao imelinukuu vilivyo! Hakuna popote nchi au taifa lijulikanalo kama Palestina limetajwa ndani ya kitabu hicho kitukufu! Kama Mungu analitambua taifa la Yakobo Sisi ni nani tupinge?
 
Watakuja wale wa Israel taifa teule ukiwabariki nawe utabarikiwa na ukiwalaani nawe utalaaniwa.

Tushafika mkuu
Screenshot_20231026_062833_Biblia na Sauti.jpg
 
Qur'an Tukufu inawatambua wana-Israel na taifa lao imelinukuu vilivyo! Hakuna popote nchi au taifa lijulikanalo kama Palestina limetajwa ndani ya kitabu hicho kitukufu! Kama Mungu analitambua taifa la Yakobo Sisi ni nani tupinge?
Naomba elimu hapa

Lete hiyo verse inosema hivo ndani ya Qur-an
 
Historia yoyote itokeayo Duniani huacha fundisho. Kutokujifunza kutokana na historia ni tatizo binafsi. Leo Afrika madhehebu mengi yanaamini katika Mungu wa Israel. Sala nyingi humtaja Mungu wa Israel " Mungu wa Wayahudi"..

Rudi tena ukaisome Biblia, uielewe ndipo uje na uzi kama huu...

Ni wazi umeweka tu uzi pasipo kuwa na maarifa ya ulichokiandika...

Utaposoma jikite kwenye kujua haya:

1. Israel ni nini/nani na chanzo chake ni kipi?

2. Ilikuaje hadi kuna neno "Mungu wa Israel"?
 
Rudi tena ukaisome Biblia, uielewe ndipo uje na uzi kama huu...

Ni wazi umeweka tu uzi pasipo kuwa na maarifa ya ulichokiandika...

Utaposoma jikite kwenye kujua haya:

1. Israel ni nini/nani na chanzo chake ni kipi?

2. Ilikuaje hadi kuna neno "Mungu wa Israel"?
Andika hayo maarifa amayo unadhani sina nijifunze Mkuu
 
Back
Top Bottom