Photocopying cant be differentQur'an Tukufu inawatambua wana-Israel na taifa lao imelinukuu vilivyo! Hakuna popote nchi au taifa lijulikanalo kama Palestina limetajwa ndani ya kitabu hicho kitukufu! Kama Mungu analitambua taifa la Yakobo Sisi ni nani tupinge?
Hakuna la kumshinda anaweza yoteHuyu aliyekua anakula na kunywa,na kulala?
Tangu walipomkataa Kristo baraka na rehema kwa wayahudi Kama taifa teule zilikoma. Ndiyo maana Yerusalem iliharibiwa mwaka 70A.D na taifa la Israel kusambaratishwa rasmi na warumi.
ni sawa na kuomba kuelekea mecca.Mungu hana upande wala uelekeoHistoria yoyote itokeayo Duniani huacha fundisho. Kutokujifunza kutokana na historia ni tatizo binafsi. Leo Afrika madhehebu mengi yanaamini katika Mungu wa Israel. Sala nyingi humtaja Mungu wa Israel " Mungu wa Wayahudi"..
Kipindi tunakazana huku Afrika kuomba na kuombewa huku tukiamini Israeli ni Taifa teule tukumbuke Waisraeli wenyewe wanawapiga Hamasi mabomu na silaha nzitonzito kifizikali (physically) kusema ukweli hapa wanatufundisha kuwa imani bila matendo imekufa.
Ni wakati Sasa wa kuomba na kutenda, ile tabia ya kukomaza kichwa na kuwekewa mikono na manabii huku hufanyi chochote Waisraeli wanatuonesha kuwa hauna nafasi. Wale wataalamu wa kusubiria mafanikio ya miujiza " miracle [emoji857][emoji857][emoji857][emoji383][emoji383][emoji383] bila kujishughulisha kwa kufanya kazi huku wanamtaja Mungu wa Israel, Waisraeli wenyewe wametuonesha kuwa Mungu hayupo hivyo.
Naomba nieleweke kuwa sipingi suala la maombi na sikufuru imani ila naonesha jambo la kujifunza kutoka Israel.
Mark 15:34Hakuna la kumshinda anaweza yote
Inafundisha kuwa huyo mungu hayupo katika real dimension.Historia yoyote itokeayo Duniani huacha fundisho. Kutokujifunza kutokana na historia ni tatizo binafsi. Leo Afrika madhehebu mengi yanaamini katika Mungu wa Israel. Sala nyingi humtaja Mungu wa Israel " Mungu wa Wayahudi"..
Kipindi tunakazana huku Afrika kuomba na kuombewa huku tukiamini Israeli ni Taifa teule tukumbuke Waisraeli wenyewe wanawapiga Hamasi mabomu na silaha nzitonzito kifizikali (physically) kusema ukweli hapa wanatufundisha kuwa imani bila matendo imekufa.
Ni wakati Sasa wa kuomba na kutenda, ile tabia ya kukomaza kichwa na kuwekewa mikono na manabii huku hufanyi chochote Waisraeli wanatuonesha kuwa hauna nafasi. Wale wataalamu wa kusubiria mafanikio ya miujiza " miracle 🤑🤑🤑💰💰💰 bila kujishughulisha kwa kufanya kazi huku wanamtaja Mungu wa Israel, Waisraeli wenyewe wametuonesha kuwa Mungu hayupo hivyo.
Naomba nieleweke kuwa sipingi suala la maombi na sikufuru imani ila naonesha jambo la kujifunza kutoka Israel.
Mkuu hakuna cha real dimensions wala nini, Mungu ni roho na wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli nukta.Inafundisha kuwa huyo mungu hayupo katika real dimension.
Ni hadithi tu
Rejea Afikirivyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo....Wakristo wa afrika ni wapumbavu[emoji4]