Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
MKUU KUMBE HATA HUUJUI UKRSTO??teh teh teh
HUJAJIBU SWALI SASA,WHY MAKAO MAKUU YA UKRISTO DUNIANI YASIWE HUKO AMBAKO ALIZALIWA YESU KRISTO MWENYEWE NA BADALA YAKE YALE ULAYA ITALY??
Mkuu hiyo asilimia 18 ya waislamu wa Israel ni waarabu wa palestina waliochukua uraia wa israel na hakuna myahudi hapo.Wanaukumbi.
Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.
Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo
Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central Bureau Of Statistics (CBS) la Marekani, zaidi ya asilimia 73.8% ya raia wote wa Israeli ni Wayahudi, 18% ni Waislamu na 1.9% ni Wakristo.
Mkuu uko sahihi sana na Hakuna mtu aliyechukia Wayahudi kama Church Father ignatius na kwwnye mwaka 110 mpaka 116 CE ndo alitenganisha Rasmi dhehebu la ukristo kutoka dini ya Judaism na akaanzisha Imani mpya kuuita Ukristo na akaitenga imani halisi na uyahudi na kupiga marufuku watu wasifundishwe kuhusu Dini...Mkuu Tafuta barua ya The Epistle of Ignatius to the Philadelphians 6:1 (Letter to philadelphias) ya mwaka 110-116Historia iko tofauti na unachokisema. Kihistoria Wakiristo wameua na Kutesa Wayahudi zaidi kwa maelfu ya miaka eti kwa hoja kuwa Walimuua Yesu. Na kimsingi Sababu mojawapo ya Wayahudi kuwatemea makohozi Wakiristo sababu ya Historia hiyo.
Kuna hoja nyingi Objective za kuipinga Israel, kutumia hoja ya dini ni illogical, nonesequencial lowmindedness stupidity.Wanaukumbi.
Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.
Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo
Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central Bureau Of Statistics (CBS) la Marekani, zaidi ya asilimia 73.8% ya raia wote wa Israeli ni Wayahudi, 18% ni Waislamu na 1.9% ni Wakristo.
MKUU HIYO HAITOBADILI MTAZAMO WA WA WAKRSTO KUHUSU KUWAPENDA WAYAHUDI NA IPO WAZI KUA WAISLAMU NA WAARABU WANAPOTEZA MDA WAO BURE KUWASHAWISHI WAKRSTO WAWAUNGE MKONO KATIKA CHUKI YAO DHIDI YA WAYAHUDI.
NB: NDUGU WA IMANI MOJA KUPISHANA KAULI NA KUGOMBANA NI KAWAIDA SABABU NI BINADAMU ILA IMANI YAO CHINI YA MUNGU WAO YEHOVA NA TORATI (BIBLIA) HAITENGANISHWI.
**** mkristo anayeujua ukristo anaweza kuichukia Israel.Wanaukumbi.
Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.
Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo
Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central Bureau Of Statistics (CBS) la Marekani, zaidi ya asilimia 73.8% ya raia wote wa Israeli ni Wayahudi, 18% ni Waislamu na 1.9% ni Wakristo.
Haya jamaa ni mapopoma sanaHivi kwanini mnalazimisha kila mtu aiunge mkono Palestina kwa kisingizio cha kwamba hii vita ni ya kidini, ninyi mnajuaje kama wote wanaoiunga mkono Israeli wanafanya hivyo sababu ya dini, hamna watu wajinga kama wanaolazimisha kwamba hii vita ni ya kidini na kulazimisha kwamba eti dini fulani ndio ya haki
Hakuna dini ya haki zote ni umafia tu ni vile tu kuna dini moja haijapata nafasi ya kuitawala dunia ndio maana inaonekana ni ya haki, ila siku ikitokea hiyo dini imeshika hatamu ndio dunia itajua makucha yake halisi, tena bora hata hii inayotawala sasa hivi ina uvumilivu na dini nyingine na kila mtu ana uhuru wa kuabudu anachotaka
Lakini hiyo dini nyingine hapa tu haina nguvu ya kutawala dunia lakini kuna watu wanateseka kwa kulazimishwa kuwa wa dini yao sasa imagine siku ikishika hatamu, watu husema bora shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua, dini ambayo haina uvumilivu na dini nyingine haitakiwi kuachwa ipate nguvu hata mara moja
Acha uzushi wewe, papa sio kiongozi wa ukristo ni kiongozi wa ukatoliki. Learn the difference.WELL,KAMA CHIMBUKO NI HUKO SASA KINGOZI WENU HUYO PAPA HUKO VATICAN NGUVU HIYO ANAJIVIKA KUTOKA WAPI??
KAMA KWENU NYINYI WANA WA MUNGU ISRAEL NI ASILI YENU,WHY JESUS PAMOJA NA KUHUBIRI NENO LA MUNGU KWA HAO WANA WA ISRAEL HAWAKUMKUBALI MOST OF THEM??NA WHY WEWE UAMINI KATIKA UKRISTO AMBAO HATA HAO WAYAHUDI WENYEWE AMBAO WALIMPOKEA YESU HAWAUTAMBUI??UNAJUA KUWA YESU ALITUMWA SPECIFICALLY KWA WANA WA ISRAEL??
Mkuu samahani sana kama nitasema haya ila naomba kusema kuwa wewe sio Judaism na haupo katika dhehebu lolote la judaism..
Kwanza hakuna Myahudi anayejitapa kujua uyahudi akataja jina la Mung_ kwa ukamilisho wake ila wewe umelitaja zaidi ya mara 10 wakati Talmud,Mishnah ,,Halakhah zinakataza kufanya hivyo na huesabiwa dhambi kufanya hivyo..
Tafakuri ya Torah ulizotaja hazifanyiki kila siku bali hufanyika Jumatatu ,Alhamisi na Shabatt mchana ( siku ya sabato Mchana)..na si kila siku hufanyika tafakuri siku nyingine hufanyika aliyot (maneno ya barka yaliyopo kwenye torah na husomwa kabla ya Borkhu prayer)
Twende kwenye Hagbah na Glilah ambayo wakristo ndo huita magombo na umegusia vitabu vya Yashayahu (Isaya) , Nehemya (Nehemia) DaniEl hujavijua vizuri kwa sababu huwezi kusoma biblia peke yake bila kusoma talmud na Halakh na pia ukapitia kidogo rabbinic narrative zozote utakuwa unajidanganya tu...
Hata kama nikikuambia uelezee ujumbe ulioletwa humo kwa ulivyoamdika naamini kabisa Utashindwa (Nisamehe kwa kusema hivyo
jinsi ya Ibada za kiyahudi zinavyofanywa ni 90% differ from Christian Prayer...
wewe umekataa challenge kwasababu naamini unachokisema ni 100% Uongo na kuhusi kuwajua Wayahudi ni kweli siwezi kufika hata 50% yakuwajua ,But atleast nimekaa nao and i was practising judaism atleast naweza nisiwajua wayahud nikajua Mila tamaduni na Misingi yao kwa 30%...
MWISHO MKUU hatushindani kwamba apatikane mshindj ila huwa nachukia kuona mtu anapindisha ukweli kwa manufaa yake binafsi i think unaweza kuwa umeniona hata sehemu nikisema au kuwatetea watu wa imani fulani ukahisi mimi ni mlengo wa sehemu ile..
kwa sasa mimi Sijafungamana na imani yoyote...Bali nipo katika matendo nayofahamu mwenyewe...
We bwana hujui chochote kuhusu Quran kaa kimya Mbuzi WahedNDIO TORATI INAVYOSEMA KUA WAYAHUDI NI TAIFA TEULE.
WEWE ITAKUKWAZA SABABU UNAAMINI QURAN.
HUWEZI KUWABADILI,,,NI SAWA NA KUMPA MUISLAMU NGURUWE
Sasa wewe nani usipewe Challenge kwanza hata kwa kufatilia Tu mdahalo wenu Inaonyesha weww Elimu yako ndogoMKUU ASHKUM SI MATUSI
""YAANI UNIPE CHALLENGE KWENYE IMANI YANGU YA KIYAHUDI NA MAPOKEO YA WAKRSTO""""""''BE SERIOUS
KASOME TORATI YA KIYAHUDI GOMBO LA NABII ISAYA NA NABII NEHEMIAH UJUE
KUHUSU EMANUELI YESU NA MAONO YAKE.
NB: WEWE HUJAKAA NA WAYAHUDI BALI UNAHISI UNAWAJUA WAYAHUDI.
Hii case hawawezi kukujibu wakikujibu nitag mkuu 🤣🤣Kwanza Ile kesi waliyoshtakiw Kwa kumuua Yesu ilifikia wapi?
Kwani wakristo ni wayahudi?Yesu ni myahudi usisahau.
Ukiibariki Israeli umebarikiwa, Ikiilaani, Israeli umelaaniwa.
Wakristo ni wabarikiwa, Wayahudi ndugu zetu.
Amen
Mbona hilo liko wazi, Wayahudi waliweza kumkana Bwana Yesu tangu kitambo Sana, na kwa mustakabali uwo hawahitaji kabisa maswala ya Agano jipya kwa ufupi hawamtambui Yesu kristo kama ndiye Bwana na Mwokozi wao.Wanaukumbi.
Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.
Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo
Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central Bureau Of Statistics (CBS) la Marekani, zaidi ya asilimia 73.8% ya raia wote wa Israeli ni Wayahudi, 18% ni Waislamu na 1.9% ni Wakristo.
Eti wamatumbi 🤣🤣 kwanini wamatumbi na sio WandengerekoHilo mbona tayari. Wamatumbi wamegawanyika tokana na nani wanamuabudu mizungu/miarabu. Hao hao wanaowashobokea hawawapi hata pole kwenye madhila yao. Wamatumbi waliwezwa kuletewa dini.
Ndio, wakristo ni Wayahudi Kwa jinsi ya Rohoni.Kwani wakristo ni wayahudi?
🤣🤣
Eti wamatumbi 🤣🤣 kwanini wamatumbi na sio Wandengereko
Ukileta hoja hiyo basi hata Wapalestina siyo Waarabu. Maana Mwarabu Halisi ni Msaudia!MKUU HAO WAARABU WAKRSTO UNAOSEMA NI WENGI SANA.
NI ASILIMIA NGAPI YA WAARABU WOTE MASHARIKI YA KATI??
NB: NA KAMA UPEO WAKO MKUBWA BASI USIWACHANGANYE MAZALIA YA WAGIRIKI WA KALE PALE MISRI AMBAO NI (WACOPTIC) UKAWAITA WAARABU SABABU WANAZUNGUMZA KIARABU
USIWACHANGANYE WABYZANTINE WA ISRAEL NA PALESTINA NA JORDAN NA SYRIA NA LEBANON NA IRAQ UKAWAITA WAARABU SABABU WANAZUNGUMZA KIARABU UKADHANI WAO WAARABU.
Ndio shida ya ile imani yao. Wanaamini uarabu zaidi ya Mungu na hawajui kuwa wanafuata utamaduni wa watu wengine huku wanaukana wa kwaoJamaa kila mtu mashariki ya kati anadhani mwarabu 🤣🤣