Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Sio lazima kuwe na dini ya kweli. Ishi vizuri na watu, saidia wenye uhitaji utakapoweza, lipa madeni yako. Hiyo ni dini tosha
Na mbingu nani ataiona bila dini ya kweli?
 
Na ile dini ya kumuabudu Magufuli imeishia wapi?
 
Ila ukristo raha saha sana,huku hatufugi majini ,tukiibiwa tunasamehe na hakuna mambo sijui ya albadiri wala nini,maana tunajua vitu vyote hivi ni matakataka ya dunia,kanisani ukitaka ingia hata ka unadini ingine,hatulimbikizi wanawake,we wanawake wanne wote wa nini,ni ujinga tu
 
Umesahau hii
 

Attachments

  • Screenshot_20230422-114209.png
    Screenshot_20230422-114209.png
    56.7 KB · Views: 5
Wakristo hawajawahi kuabudu Jumapili kabla ya constantine mwaka 325BK...weka ushahidi

Aliyeitisha kikao kikuu cha wakuu wa makanisa yote duniani kwa kipindi hiko alikuwa nani kama sio Constantine?
Kupitia hicho kikao ni mambo mengi yaliingizwa kwenye ukristo ikiwemo siku ya kusali, Utatu mtakatifu, vitabu vya kwenye biblia nk. Nk.

Google tu hata neno council of naicea uone nani aliitisha hicho kikao na nani alikuwa mwenyekiti kwenye hicho kikao kama sio huyo constantine


Uzuri hizi amri kumi ziko agano la kale kwahyo wakatoliki pamoja na kuifuta hii amri bado tunaweza kuangalia biblia ya kiyahudi na kuujua ukweli uko wapi.
Biblia ambayo haijachakachuliwa inasema:
Kutoka 20:4
Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia

Sasa hiyo mifano ya Musa na nyoka, ile hakujifanyia bali aliamrishwa na mungu kutengeneza, kwahyo yeyote aliyeangalia yule nyoka aliamini kuwa ametengenezwa kwa maagizo ya mungu na akimuangalia basi anamtii mungu.
ila wakatoliki kila kanisa lina masanamu kibao, watu wanaenda kuyaabudu... rozali yenyewe ni sanamu na mbaya zaidi ni sanamu ya uongo maana Yehoshuwa hakusulubiwa msalabani kama rozali zilivyomchora.


Amri ya pili kwenye biblia yenu ya kikatoliki inasemaje?? Je ni sawa na biblia zingine ikiwemo ya kiyahudi??
Umepotoka. Constantine hakuwa ata participant kwenye council ya nicaea. The only thing alifanya ni kuruhusu wakristo waabudu freely maana walikuwa wanauwawa. Binafsi nilishachoka sana kuexplain kuhusu sabato ya wayahudi na sabato ambayo Yesu aliweka. Ila ukisoma matendo ya mitume vizuri utaona. Pia vitabu vya mababu wa kwanza wote waliabudu siku hiyo, ambayo Yesu alifufuka na alikuwa akiwatokea wanafunzi wake. I am sick and tired of conspiracists. Research.
 
Umepotoka. Constantine hakuwa ata participant kwenye council ya nicaea. The only thing alifanya ni kuruhusu wakristo waabudu freely maana walikuwa wanauwawa.
hivi we baba mbona ni muongo hivi kwa makusudi kabisa?? Unalipwa na kanisa??
Screenshot_20230422_120159.jpg

Binafsi nilishachoka sana kuexplain kuhusu sabato ya wayahudi na sabato ambayo Yesu aliweka. Ila ukisoma matendo ya mitume vizuri utaona. Pia vitabu vya mababu wa kwanza wote waliabudu siku hiyo, ambayo Yesu alifufuka na alikuwa akiwatokea wanafunzi wake. I am sick and tired of conspiracists. Research.
Weka ushahidi kuwa mababu wa kwanza walisali jumapili
 
Back
Top Bottom