Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Ukristo ni dini ya kipagani, ni dini ya kuabudu jua

Kwanza baada ya kusoma nimegundua wew si mkristo na ulivyo Anza na io salamu bilashaka wew utakuwa muislamu na umeandika hii kwalengo la kukosoa na Wala sio kutoa elimu kwasababu Kuna elimu kubwa zaidi ya io ulio itoa
Nivizuri kutoa taarifa ilio kamili na sio kutoa taarifa inayo support kile unacho kiamini

Kuna vitu umeandika Kwa usahihi na siwezi kukupingan ila nataka nikuongezee taaarifa za ziada

1. Neno Christians ( ukristo ) ni neno walilo pewa wayahudi walio kuwa wakimuabudu Mungu wa Israel na kufuata mafundisho ya Yesu baada ya Yesu kuondoka kurudi mbinguni na neno Christians lilikuwa na maana ya THE WAY na hii ilikuwa ni kabla ya dini ya kikristo na kabla ya kanisa la Roma
Hili jina la Christians warumi walikuwa wakiwaita wayahudi lakini wayahudi wenyewe walikuwa wakijiita QUODESHIM ikiwa na maana ya SET APART ONES

2.Kipindi Cha utawala wa Roma kabla ya mfalme NERO (alitawala kabla ya Constantine ) wayahudi walikuwa wakisali kama kawaida na waliendesha ibada zao bila bugudha lakini Roma ilikuwa ni taifa la kipagani walikuwa wakiabudu miungu mingi kama Apollo na majina ya sayari zingine tunazo zifahamu hivyo kukaanza kutokea kwa vita kati ya wayahudi na warumi
Warumi walikuwa wakitaka wayahudi waachane na Imani zao ili waabudu miungu ya kirumi

3. Kwakuwa warumi ndio walikuwa wakitawala wakatumia mamlaka yao kutaka kuua Imani ya wayahudi hivyo oder zikatolewa kuwa wayahudi wakakabidhii vitabu vyao vyote vya dini na waache kuabudu jinsi wanavyo abudu
Wayahudi hawakukubali hivyo vita ikaanza kati ya warumi na wayahudi
Soma kuhusu JEWISH REVOLT kuanzia 66-130 AD

4. Vita ilisababisha dini ya kiyahudi izidi kutake attention kwenye jamii za waroma maana watu walianza kuona wayahudi wapo sahihi jinsi wanavyo abudu warumi waligundua jinsi wanavyo zidi kupigana na wayahudi ndivyo wanavyo zidi kuipa umaarufu dini hiyo hapo ndipo akaja mfalme CONSTANTINE na mbinu yake mpya
KUMBUKA KABLA YA MFALME CONSTANTINE BIBLIA ILIKUWEPO NA VITABU VINGINE VILIKUWEPO HIVYO CONSTANTINE HAJAANZISHA BIBLIA

5. Siku moja mfalme CONSTANTINE akiwa vitani anadai alioteswa kuwa Mungu amemuonesha ishara ya msalaba vitani kuwa akiiona io alama atashinda vita ndipo Constantine akachora alama ya msalaba kwenye ngao zote za kijeshi na akashinda Ile vita

6. Alipo SHINDA Ile vita alirudi nyumbani na kuwaambia watu kuwa Mungu wa wayahudi ndio amemfanya ashinde Ile vita hivyo akaamua kuharalisha taifa la Roma liwe la kikristo kumbuka neno ukristo lilikuwako hapo kabla
Hapa niweke sawa
CONSTANTINE alikuwa mpagani 100% amekua akiabudu miungu ya kipagani tangu mdogo
Hii mbinu aliitumia ili aweze kuhararibu Imani ya wayahudi kwakuwa aliona akipigana nao anazidi kuikuza dini yao
Anadai aliona ishara ya Mungu lakini baada ya Yesu Mungu aliacha kufanya kazi Kwa mfumo alio usema Constantine hivyo ishara haikuwa ya Mungu nikama ambayo Kuna mtume alikuwa pangoni akaja uraiani kuwaambia watu nimetokewa na maraika nae akaanzisha dini yake

7.Baada ya taifa la Roma kuwa la kikristo CONSTANTINE akataka watu wote wafate ukristo ili warumi wafuate ukristo ilibidi Constantine atengeneze mazingira warumi wasione nikitu tofauti na kile walicho kuwa wakiabudu mwanzo hivyo akabadili baadhi ya vitu kwenye ukristo ili viendane na dini ya kipagani ya waroma
Moja ya mambo yalio badilishwa ni
-Siku ya kuabudu kutoka kuwa jumamosi na kuwa kumapli siku ya kwanza ya wiki
-Kuweka sherehe za kipagani kama Christmas na pasaka
-kupunguza makali ya neno la Mungu Kama kubadili jina la YESU Kiebrania jina halisi la Yesu ni YAHUSHA Wala sio YAHSHUA yashua ukiitafsir kiingereza inakuja Ile Ile Jesus au Yesu na jina halisi la Mungu wa Israel sio YEHOVA ni IEHOUAH kasome mwanzo 22-14 1611 KING JAMES

8 Pia mfalme CONSTANTINE 325 AD aliandaa mkutano ambao unatambulika kama COUNCIL OF NICEA ili kundaa taratibu zitazo tumika katika kanisa la roma pamoja na kutunga Sheria kwaajir ya kanisa
NB mkutano huu haukuusika kutunga biblia cuz biblia ilikuwepo hapo kabla hivyo walipunguza baadh ya vitabu na maneno ili yanendane nao
JAPOKUWA WALIPUNGUZA HAIMAANISHI KUWA HAKUNA BIBLIA ZA KWELI NA WALA HAIMAAMISHI HIZO TAARIFA WALIZOZIACHA HAZITOSHI KUMFANYA MTU AMJUE MUNGU WA KWELI

9. kuhusu utatu upo sahihi kuhusu utatu nikweli ulianzia kwenye empire ya kwanza ambayo ni babeli ( BABYLON ya kale ) na hii Ina story yake nyingine ila huyu nimrod hakuwa akimuabudu Mungu wa kweli huyu NIMROD alikuwa nimtawala wa kawaida alikuwa na mke ( TAMUUZ ) na mtoto ( SEMIRAMIS ) na ndiye Alie Jenga mnara w babeli ili amfikie Mungu na alikuwa akijiita Mungu yeye na familia yake yaani yeye
NIMROD (mungu baba )Mkewake TAMUUZ mungu mama na mtoto wao SEMIRAMIS mungu mwana Kumbuka Hawa wote walikuwa binadamu wa kawaida ila shetani akaamua kuanzisha utatu wake kupitia wao
NIMROD aliwaamisha watu anaishi kwenye jua na mkewake anaishi kwenye mwezi na mtoto wao yupo na baba yake juani
NIMROD alikuwa akimuabudu na kupewa nguvu na baba wa kutengeneza CONTRADICTIONS ambaye ni SHETANI
nadhan unajua kuwa shetani alikuwa malaika hivyo anajua vitu vingi kuhusu mbingu na Dunia
Lengo kuu la shetani ni KUWA KAMA MUNGU hivyo kupitia NIMROD akaleta utatu kama amabao upo mbinguni ili azidi kuleta contradiction Kwa mwanadamu pale Mungu atapo mtuma Yesu
HAPA NAOMBA IELEWEKE SHETANI HUWA HAFANYI KITU AMBACHO MUNGU HAKIFANYI HUWA ANAFANYA KITU KINACHO FANANA NA KILE ANACHO FANYA MUNGU
KAMA MUNGU ASINGEKUWA NA UTATU BAS DINI ZOTE ZA KIPAGANI ZISINGEKUWA NA UTATU ILI AZIDI KUWACHANGANYA

Kipindi shetani analeta utatu wake Mungu alikuwa bado hajaleta uo utatu kwa wanadamu maana muda ulikuwa haujafika utatu imekuja kukamilika baada ya Yesu kumtuma roho mtakatifu hii ndio maana baadhi ya watu wanasema ukristo umechukua utatu wa kipagani kitu ambacho sio kweli
UTOFAUTI WA UTATU WA MUNGU NA WAKIPAGANI
-Utatu wowote wa kipagani ni lazima uwe na BABA MAMA NA MTOTO fuatilia dini zote za kipagani zenye utatu lakini utatu wa Mungu hauna mama ni BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU
Hivyo ukikuta dini Ina baba mama na mtoto io ni yakipagani mfano kanisa la Roma Lina mtambua bikira Malia kama mtu anaye weza kuwaombea lakini katika biblia hichokitu hakipo

10.Baada ya Kanisa kuanzishwa kanisa likatunga Sheria Kali Kwa mtu ambaye ataabudu Imani nyingine hapa soma zaidi kuhusu INQUISITION ndio utaelewa zaidi ila Sheria zilikuwa Kali wayahudi walikataaa kuabudu sawa na wao hapo ndipo zikatokea vita tena ambazo ziliwafanya wayahudi wakimbie Jerusalem kuielekea maeneo mengine Huku wakiendelea kuabudu Kwa kufuata taratibu zao

11. Baada ya Miaka 300 ya kuanzishawa kanisa la Roma huko mjini Makkah kuna mtaalam mmoja aliekuwa akiitwa MOHAMMAD ambae alikuwa akiabudu sanamu Kwa muda wa miaka 40 babayake na mama yake walikuwa ni wapagani kama ambavyo mfalme CONSTANTINE alikuwa
Naye siku moja akiwa amekaa pangoni akatokewa na mtu ambaye alimtaka asome maandishi fulan lakin Mohammad akamjibu kuwa siwezi kusoma yule mtu Alie mtokea akaendelea kumlazimisha asome Huku akimminya pale Mohammad anaposema siwez kusoma Mohammad alidhani mtu huyo ni shetani
MOHAMMAD aliporudi kwake akamsimulia mkewake kilicho mkuta mkewake HADIJA akamwambia uyo sio shetani ni malaika mke wa Mohammad akampeleka Mohammad Kwa mpwa wake aitwae Uzza. Uzza alipigilia msumali alio uweka hadija kuwa uyo ni malaika naww unatakiwa uwe mtu mkubwa apo ndipo ukawa mwanzo wa dini ya uislamu
Mohammad alichukua taratibu,Sheria na tamaduni nyingi sana kutoka Kwa wayahudi na kuzifanya ni tamaduni za dini yake hii ndio sababu ya ukristo na uislamu unafanana kiasi sana na Mohammad alikuwa akitaka wayahudi waungane nae katika dini yake lakini wayahudi walikataa na hapo ndipo alipo kuwa akianzisha vita nao kutokana na vita kutoka Kwa Mohammad na Roma wayahudi walizidi kuyakimbia maeneo yao na kwenda maeneo mengine
Mohammad alifariki Kwa kupewa sumu na mmoja wa wayahudi ambao Mohammad aliua familia yake na nduguzake

12.Miaka ikaenda hadi mwaka kati ya 630 hadi 1048 Jamii ya watu kutoka uturuki kabila la KHAZARIANS walikuwa wakiabudu miungu ya kipagani na walikuwa hawataki kuwa chini ya kanisa la Roma Wala kuwa chini ya uslamu hivyo sikumoja mfale wao Alie jurikana kama MULANN anadai alitokewa na malaika na malaika akamwambia unatakiwa kumuabudu Mungu wakweli tu ndipo mfalme Mulan akaita wataalamu watatu wadini mmoja alikuwa kiongozi wa dini ya kiislamu mwingine kiongoz wa dini ya wayahudi mwingine kiongozi wa dini ya wayahudi akaweka mdaharo wa kubishana Kwa hoja lakini hawakuweza kuelewana na ndipo alipo Anza kumwita mmoja mmoja alipo mwita kiongoz wa kiislamu akamuuliza kati yenu nan yupo sahihi kiongozi wa kiislamu akamjibu myahudi yupo sahihi zaidi aka mwita na kiongozi wa kikristo akamuuliza kati yenu nan yupo sahihi yule kiongoz akajibu myahudi yupo sahihi
HIvyo kuanzia hapo Waka convert kuwa wayahudi lakini bado waliingiza Imani zao za kipagani katika kuabudu na ndio Hawa ambao Leo Dunia inawatambua kama wayahudi halisi
Ndio Hawa ambao Wana vita kwenye maeneo ya Israel na Palestine
Ndio Hawa ambao dini yao Ina msuburi masihi wao ajae

13. Miaka ikaenda hadi Karne ya 16 kanisa la Roma likakutana na upinzani mkubwa kutoka PROTESTANT watu waliokuwa wakipingana na misimamo ya kanisa la Roma watu kama MARTIN RUTHER (alianzisha kanisa la Lutheran ) walikuwa ni wanaharakati walio Pinga misimamo ya kanisa la Roma
Harakati hizi zilijulikana kama PROTESTANT REFORMATION
Hawa watu waliamua kuanzisha makanisa yao yenye mitazamo tofauti na kanisa la Roma na hapo ndio ukawa mwanzo wa haya makanisa mengine kutokea lakini bado hawakuweza kutoa kilakitu Cha uongo mana kanisa la Roma lilikuwa limefanikiwa kuiaminisha jamii badh ya uongo kuwa ndio ukweli lakin pia baadh ya Wana harakati hao walitumiwa na kanisa ili kuongeza contradiction katika Imani

Sasa swali linakuja dini yakweli ipo ?
Jibu ni ndio dini ya kweli ipo kwakuwa neno la Mungu halijapote na Wala ukweli haujapotea fanya utafiti wako binafsi ili kupata uhakika
Ila Amini kuwa Mungu wa Israel ndiye Alie kuumba akamtuma mwanawe wa pekee ambaye ni nenolake ( YESU ) ili aje atuokoe wanadamu kutoka kwenye uongo wa shetani hata Yesu alipoondoka hakutuacha hivi hivi Ali mtuma ROHO MTAKATIFU aje akae ndani yetu ili atuongoze kulijua neno la Mungu na na kutenda sawa sawa na apendabyo Mungu

Kwakifupi huitaji mchungaji Padre Wala mtu yoyote ili kuijua biblia Kwani aukiamini na kumuomba Mungu ROHO MTAKATIFU Alie ndani yako atakuongoza kulijua neno lake na kukupa tafsiri sahihi ya neno la Mungu

DUNIA INASIRI NYINGI SANA MUOMBE MUNGU AKUONGOZE KUUJUA UKWELI UTAKUWA HURU NA UTAANZA KUIONA DUNIA KWA JICHO TOFAUTI SANA
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu

Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
Kiufupi,CARHOLIC ni waabudu mashetani.
 
Mudi ndio nan??
Atakaayeswali au kusoma shahada bila kumtaja Muhamad na akamtaja huyo Mudi wako basi swala zake zote na shahada zitakuwa Batili na atahesabiwa kama Kafiri
Ni uongo,huo ni uongo bhanaaa
 
Kwanza baada ya kusoma nimegundua wew si mkristo na ulivyo Anza na io salamu bilashaka wew utakuwa muislamu na umeandika hii kwalengo la kukosoa na Wala sio kutoa elimu kwasababu Kuna elimu kubwa zaidi ya io ulio itoa
Nivizuri kutoa taarifa ilio kamili na sio kutoa taarifa inayo support kile unacho kiamini

Kuna vitu umeandika Kwa usahihi na siwezi kukupingan ila nataka nikuongezee taaarifa za ziada

1. Neno Christians ( ukristo ) ni neno walilo pewa wayahudi walio kuwa wakimuabudu Mungu wa Israel na kufuata mafundisho ya Yesu baada ya Yesu kuondoka kurudi mbinguni na neno Christians lilikuwa na maana ya THE WAY na hii ilikuwa ni kabla ya dini ya kikristo na kabla ya kanisa la Roma
Hili jina la Christians warumi walikuwa wakiwaita wayahudi lakini wayahudi wenyewe walikuwa wakijiita QUODESHIM ikiwa na maana ya SET APART ONES

2.Kipindi Cha utawala wa Roma kabla ya mfalme NERO (alitawala kabla ya Constantine ) wayahudi walikuwa wakisali kama kawaida na waliendesha ibada zao bila bugudha lakini Roma ilikuwa ni taifa la kipagani walikuwa wakiabudu miungu mingi kama Apollo na majina ya sayari zingine tunazo zifahamu hivyo kukaanza kutokea kwa vita kati ya wayahudi na warumi
Warumi walikuwa wakitaka wayahudi waachane na Imani zao ili waabudu miungu ya kirumi

3. Kwakuwa warumi ndio walikuwa wakitawala wakatumia mamlaka yao kutaka kuua Imani ya wayahudi hivyo oder zikatolewa kuwa wayahudi wakakabidhii vitabu vyao vyote vya dini na waache kuabudu jinsi wanavyo abudu
Wayahudi hawakukubali hivyo vita ikaanza kati ya warumi na wayahudi
Soma kuhusu JEWISH REVOLT kuanzia 66-130 AD

4. Vita ilisababisha dini ya kiyahudi izidi kutake attention kwenye jamii za waroma maana watu walianza kuona wayahudi wapo sahihi jinsi wanavyo abudu warumi waligundua jinsi wanavyo zidi kupigana na wayahudi ndivyo wanavyo zidi kuipa umaarufu dini hiyo hapo ndipo akaja mfalme CONSTANTINE na mbinu yake mpya
KUMBUKA KABLA YA MFALME CONSTANTINE BIBLIA ILIKUWEPO NA VITABU VINGINE VILIKUWEPO HIVYO CONSTANTINE HAJAANZISHA BIBLIA

5. Siku moja mfalme CONSTANTINE akiwa vitani anadai alioteswa kuwa Mungu amemuonesha ishara ya msalaba vitani kuwa akiiona io alama atashinda vita ndipo Constantine akachora alama ya msalaba kwenye ngao zote za kijeshi na akashinda Ile vita

6. Alipo SHINDA Ile vita alirudi nyumbani na kuwaambia watu kuwa Mungu wa wayahudi ndio amemfanya ashinde Ile vita hivyo akaamua kuharalisha taifa la Roma liwe la kikristo kumbuka neno ukristo lilikuwako hapo kabla
Hapa niweke sawa
CONSTANTINE alikuwa mpagani 100% amekua akiabudu miungu ya kipagani tangu mdogo
Hii mbinu aliitumia ili aweze kuhararibu Imani ya wayahudi kwakuwa aliona akipigana nao anazidi kuikuza dini yao
Anadai aliona ishara ya Mungu lakini baada ya Yesu Mungu aliacha kufanya kazi Kwa mfumo alio usema Constantine hivyo ishara haikuwa ya Mungu nikama ambayo Kuna mtume alikuwa pangoni akaja uraiani kuwaambia watu nimetokewa na maraika nae akaanzisha dini yake

7.Baada ya taifa la Roma kuwa la kikristo CONSTANTINE akataka watu wote wafate ukristo ili warumi wafuate ukristo ilibidi Constantine atengeneze mazingira warumi wasione nikitu tofauti na kile walicho kuwa wakiabudu mwanzo hivyo akabadili baadhi ya vitu kwenye ukristo ili viendane na dini ya kipagani ya waroma
Moja ya mambo yalio badilishwa ni
-Siku ya kuabudu kutoka kuwa jumamosi na kuwa kumapli siku ya kwanza ya wiki
-Kuweka sherehe za kipagani kama Christmas na pasaka
-kupunguza makali ya neno la Mungu Kama kubadili jina la YESU Kiebrania jina halisi la Yesu ni YAHUSHA Wala sio YAHSHUA yashua ukiitafsir kiingereza inakuja Ile Ile Jesus au Yesu na jina halisi la Mungu wa Israel sio YEHOVA ni IEHOUAH kasome mwanzo 22-14 1611 KING JAMES

8 Pia mfalme CONSTANTINE 325 AD aliandaa mkutano ambao unatambulika kama COUNCIL OF NICEA ili kundaa taratibu zitazo tumika katika kanisa la roma pamoja na kutunga Sheria kwaajir ya kanisa
NB mkutano huu haukuusika kutunga biblia cuz biblia ilikuwepo hapo kabla hivyo walipunguza baadh ya vitabu na maneno ili yanendane nao
JAPOKUWA WALIPUNGUZA HAIMAANISHI KUWA HAKUNA BIBLIA ZA KWELI NA WALA HAIMAAMISHI HIZO TAARIFA WALIZOZIACHA HAZITOSHI KUMFANYA MTU AMJUE MUNGU WA KWELI

9. kuhusu utatu upo sahihi kuhusu utatu nikweli ulianzia kwenye empire ya kwanza ambayo ni babeli ( BABYLON ya kale ) na hii Ina story yake nyingine ila huyu nimrod hakuwa akimuabudu Mungu wa kweli huyu NIMROD alikuwa nimtawala wa kawaida alikuwa na mke ( TAMUUZ ) na mtoto ( SEMIRAMIS ) na ndiye Alie Jenga mnara w babeli ili amfikie Mungu na alikuwa akijiita Mungu yeye na familia yake yaani yeye
NIMROD (mungu baba )Mkewake TAMUUZ mungu mama na mtoto wao SEMIRAMIS mungu mwana Kumbuka Hawa wote walikuwa binadamu wa kawaida ila shetani akaamua kuanzisha utatu wake kupitia wao
NIMROD aliwaamisha watu anaishi kwenye jua na mkewake anaishi kwenye mwezi na mtoto wao yupo na baba yake juani
NIMROD alikuwa akimuabudu na kupewa nguvu na baba wa kutengeneza CONTRADICTIONS ambaye ni SHETANI
nadhan unajua kuwa shetani alikuwa malaika hivyo anajua vitu vingi kuhusu mbingu na Dunia
Lengo kuu la shetani ni KUWA KAMA MUNGU hivyo kupitia NIMROD akaleta utatu kama amabao upo mbinguni ili azidi kuleta contradiction Kwa mwanadamu pale Mungu atapo mtuma Yesu
HAPA NAOMBA IELEWEKE SHETANI HUWA HAFANYI KITU AMBACHO MUNGU HAKIFANYI HUWA ANAFANYA KITU KINACHO FANANA NA KILE ANACHO FANYA MUNGU
KAMA MUNGU ASINGEKUWA NA UTATU BAS DINI ZOTE ZA KIPAGANI ZISINGEKUWA NA UTATU ILI AZIDI KUWACHANGANYA

Kipindi shetani analeta utatu wake Mungu alikuwa bado hajaleta uo utatu kwa wanadamu maana muda ulikuwa haujafika utatu imekuja kukamilika baada ya Yesu kumtuma roho mtakatifu hii ndio maana baadhi ya watu wanasema ukristo umechukua utatu wa kipagani kitu ambacho sio kweli
UTOFAUTI WA UTATU WA MUNGU NA WAKIPAGANI
-Utatu wowote wa kipagani ni lazima uwe na BABA MAMA NA MTOTO fuatilia dini zote za kipagani zenye utatu lakini utatu wa Mungu hauna mama ni BABA MWANA NA ROHO MTAKATIFU
Hivyo ukikuta dini Ina baba mama na mtoto io ni yakipagani mfano kanisa la Roma Lina mtambua bikira Malia kama mtu anaye weza kuwaombea lakini katika biblia hichokitu hakipo

10.Baada ya Kanisa kuanzishwa kanisa likatunga Sheria Kali Kwa mtu ambaye ataabudu Imani nyingine hapa soma zaidi kuhusu INQUISITION ndio utaelewa zaidi ila Sheria zilikuwa Kali wayahudi walikataaa kuabudu sawa na wao hapo ndipo zikatokea vita tena ambazo ziliwafanya wayahudi wakimbie Jerusalem kuielekea maeneo mengine Huku wakiendelea kuabudu Kwa kufuata taratibu zao

11. Baada ya Miaka 300 ya kuanzishawa kanisa la Roma huko mjini Makkah kuna mtaalam mmoja aliekuwa akiitwa MOHAMMAD ambae alikuwa akiabudu sanamu Kwa muda wa miaka 40 babayake na mama yake walikuwa ni wapagani kama ambavyo mfalme CONSTANTINE alikuwa
Naye siku moja akiwa amekaa pangoni akatokewa na mtu ambaye alimtaka asome maandishi fulan lakin Mohammad akamjibu kuwa siwezi kusoma yule mtu Alie mtokea akaendelea kumlazimisha asome Huku akimminya pale Mohammad anaposema siwez kusoma Mohammad alidhani mtu huyo ni shetani
MOHAMMAD aliporudi kwake akamsimulia mkewake kilicho mkuta mkewake HADIJA akamwambia uyo sio shetani ni malaika mke wa Mohammad akampeleka Mohammad Kwa mpwa wake aitwae Uzza. Uzza alipigilia msumali alio uweka hadija kuwa uyo ni malaika naww unatakiwa uwe mtu mkubwa apo ndipo ukawa mwanzo wa dini ya uislamu
Mohammad alichukua taratibu,Sheria na tamaduni nyingi sana kutoka Kwa wayahudi na kuzifanya ni tamaduni za dini yake hii ndio sababu ya ukristo na uislamu unafanana kiasi sana na Mohammad alikuwa akitaka wayahudi waungane nae katika dini yake lakini wayahudi walikataa na hapo ndipo alipo kuwa akianzisha vita nao kutokana na vita kutoka Kwa Mohammad na Roma wayahudi walizidi kuyakimbia maeneo yao na kwenda maeneo mengine
Mohammad alifariki Kwa kupewa sumu na mmoja wa wayahudi ambao Mohammad aliua familia yake na nduguzake

12.Miaka ikaenda hadi mwaka kati ya 630 hadi 1048 Jamii ya watu kutoka uturuki kabila la KHAZARIANS walikuwa wakiabudu miungu ya kipagani na walikuwa hawataki kuwa chini ya kanisa la Roma Wala kuwa chini ya uslamu hivyo sikumoja mfale wao Alie jurikana kama MULANN anadai alitokewa na malaika na malaika akamwambia unatakiwa kumuabudu Mungu wakweli tu ndipo mfalme Mulan akaita wataalamu watatu wadini mmoja alikuwa kiongozi wa dini ya kiislamu mwingine kiongoz wa dini ya wayahudi mwingine kiongozi wa dini ya wayahudi akaweka mdaharo wa kubishana Kwa hoja lakini hawakuweza kuelewana na ndipo alipo Anza kumwita mmoja mmoja alipo mwita kiongoz wa kiislamu akamuuliza kati yenu nan yupo sahihi kiongozi wa kiislamu akamjibu myahudi yupo sahihi zaidi aka mwita na kiongozi wa kikristo akamuuliza kati yenu nan yupo sahihi yule kiongoz akajibu myahudi yupo sahihi
HIvyo kuanzia hapo Waka convert kuwa wayahudi lakini bado waliingiza Imani zao za kipagani katika kuabudu na ndio Hawa ambao Leo Dunia inawatambua kama wayahudi halisi
Ndio Hawa ambao Wana vita kwenye maeneo ya Israel na Palestine
Ndio Hawa ambao dini yao Ina msuburi masihi wao ajae

13. Miaka ikaenda hadi Karne ya 16 kanisa la Roma likakutana na upinzani mkubwa kutoka PROTESTANT watu waliokuwa wakipingana na misimamo ya kanisa la Roma watu kama MARTIN RUTHER (alianzisha kanisa la Lutheran ) walikuwa ni wanaharakati walio Pinga misimamo ya kanisa la Roma
Harakati hizi zilijulikana kama PROTESTANT REFORMATION
Hawa watu waliamua kuanzisha makanisa yao yenye mitazamo tofauti na kanisa la Roma na hapo ndio ukawa mwanzo wa haya makanisa mengine kutokea lakini bado hawakuweza kutoa kilakitu Cha uongo mana kanisa la Roma lilikuwa limefanikiwa kuiaminisha jamii badh ya uongo kuwa ndio ukweli lakin pia baadh ya Wana harakati hao walitumiwa na kanisa ili kuongeza contradiction katika Imani

Sasa swali linakuja dini yakweli ipo ?
Jibu ni ndio dini ya kweli ipo kwakuwa neno la Mungu halijapote na Wala ukweli haujapotea fanya utafiti wako binafsi ili kupata uhakika
Ila Amini kuwa Mungu wa Israel ndiye Alie kuumba akamtuma mwanawe wa pekee ambaye ni nenolake ( YESU ) ili aje atuokoe wanadamu kutoka kwenye uongo wa shetani hata Yesu alipoondoka hakutuacha hivi hivi Ali mtuma ROHO MTAKATIFU aje akae ndani yetu ili atuongoze kulijua neno la Mungu na na kutenda sawa sawa na apendabyo Mungu

Kwakifupi huitaji mchungaji Padre Wala mtu yoyote ili kuijua biblia Kwani aukiamini na kumuomba Mungu ROHO MTAKATIFU Alie ndani yako atakuongoza kulijua neno lake na kukupa tafsiri sahihi ya neno la Mungu

DUNIA INASIRI NYINGI SANA MUOMBE MUNGU AKUONGOZE KUUJUA UKWELI UTAKUWA HURU NA UTAANZA KUIONA DUNIA KWA JICHO TOFAUTI SANA
I appreciate kwa hili andiko mkuu.
Najua linaweza lisiwe sahihi 100% lakini naapreciate kwa kujali kwako na muda wako kuandika andiko zuri.
 
I appreciate kwa hili andiko mkuu.
Najua linaweza lisiwe sahihi 100% lakini naapreciate kwa kujali kwako na muda wako kuandika andiko zuri.
Nashukuru sana ndugu kwakuwa lengo ni kujifunza nivizuri ukaeleza sehem ambazo unahisi hazipo sahihi au kuna upungufu wa taarifa ili tujifunze Kwa pamoja
 
Asalam aleykum...twende kwenye mada

Kusali jumapili
Amri ya Nne inasema kwamba siku ya kuabudu ni ya 7 ni Sabato.
Wakatoliki wanaita hii amri ya Tatu kwa sababu waliifuta Amri ya Pili inayokataza mtu kuabudu sanamu. Ambayo bila shaka Wakatoliki wengi hufanya.


Wakati wa Masihi Yehowshuwa, (jina la kweli la Masihi) siku ya kuabudu ilikuwa siku ya 7. Mwanzoni wafuasi wa kweli wa Yehova na mwanawe Yehoshuwa, walikuwa wakishika Sabato ya siku ya 7.

Lakini walipouawa na kufa, na muda ukapita, 'siku ya kupumzika' ilibadilishwa kuwa Jumapili. Siku ambayo Wapagani wa Kirumi walikuwa wakiabudu Jua. 'Sol Invictus,' (jua lisiloweza kushindwa.)

Konstantino (mtawala wa dola ya Rumi aliyekuwa wa kwanza kuingiza ukristo kwenye dola ya rumi) alisemekana kuwa kuhani mkuu wa Sol Invictus, ambayo ilibebwa kutoka Babeli, ambayo ilibebwa kutoka Misri.

Mnamo 321 BK Constantine, alitunga sheria ya Jumapili, ikisisitiza kwamba 'Siku ya Jua'/Sunday inapaswa kuwa siku ya mapumziko. Hii iliwaleta waabudu jua wote Kanisani, pamoja na pesa zao. Na Kanisa Katoliki liliendelea na maadhimisho haya. Kanisa Katoliki ni mama wa Makanisa yote ya Kikristo. Hii ndiyo sababu makanisa mengi ya Kiprotestanti pia hutunza Jumapili. Kwa sababu wanatoka 'kanisa mama'

Utatu mtakatifu
Moja ya mahitaji katika ibada ya jua ni hitaji la kuwa na miungu watatu, baba, mama na mtoto.
Utatu wa Nimrodi, Tamuzi na Semiramis ulikuwa ni utatu mtakatifu wa zamani zaidi. Na biblia inasema kwamba Wayahudi wa awali walikuwa wakiabudu Tamuzi.




Tamaduni hii bado iko hai hadi leo katika Makanisa ya Kikristo, kuanzia na Kanisa Katoliki. Wameendeleza namna hii ya kuabudu jua.
Konstantino ndiye mfalme aliyeuingiza Utatu mwaka 325 BK.
Watu wote ambao hawakukubali, walitawanyika au kuuawa.

Konstantino mwenyewe alikuwa kuhani mkuu wa ibada ya jua, Sol Invictus. Aliendeleza dini hii na kuiita Ukristo. Kanisa Katoliki hutumia ishara hizi, ishara na mila zinazotokana na ibada ya jua. Kwa mfano, IHS, ambayo watu wengi wanaamini inasimama kwa monogram ya Yesu, au Iesous ya Kigiriki pia inasemekana kumaanisha utatu wa Isis, Horus, na Seth (Utatu wa Misri).
View attachment 2595421

Alama nyingi za waroma utakuta lazima kuna jua linaonekana. Hata picha zao za yesu na bikra maria kwa nyuma kuna jua linaonekanaView attachment 2595425

Kwa hiyo kwa kuzingatia mapokeo ya kuabudu jua, wamebadilisha sabato ya kweli, siku ya 7, kuwa Jumapili ya siku ya 1, siku ya jua./sunday

Msalaba
Alama maarufu inayotumika katika Ukristo, ni Msalaba.
Watu wengi hawajui kwamba neno cross na neno crucify si vya kibiblia kweli, bali asili ya Kilatini.
Kiebrania original kinasema nguzo,
Neno sahihi ni neno la Kigiriki Stauros linalomaanisha nguzo au mti.
Kanisa Katoliki lilipomwagiza Jerome kutafsiri Biblia katika Kilatini, kwa hila kabisa walitafsiri vibaya neno Stauros hadi Crucem, ambalo KJV ilitafsiri kuwa Cross katika Toleo la Kiingereza. (Ingawa toleo la King James ilipaswa kutafsiriwa kutoka kwa maandishi ya Kigiriki ya Agano Jipya,)

walichukua
Alama ya Kilatini ya Kuabudu Jua 'Msalaba'. Ambayo Konstantino alikuwa kuhani mkuu wake, na akaipitisha kutumika na Kanisa Katoliki.

Kwa hiyo Masihi aliuawa juu ya mti, au nguzo, na si Msalaba. Na waliposema msulubishe, neno la awali la maandishi ya Kigiriki ni Stauroo, ambalo linamaanisha kutundikwa. Kwa hiyo walisema mtundike mtini. Masia Walimtundika kwenye mti.

Hivyo kwa nini matumizi ya Msalaba? inaweza kuwa kwamba hii ni alama! (Alama ya mnyama?)

Mpaka leo dini mbalimbali za kishetani ikiwemo freemasons na zakichawi hutumia alama ya msalaba.
View attachment 2595442

Papa ndiye kuhani mkuu wa ibada ya jua, Na Wakatoliki wengi hufanya ishara ya msalaba juu yao wenyewe, na kuhani hufanya ishara hii kwenye vipaji vya nyuso zaoView attachment 2595443
Kwenye Jumatano ya Majivu, makanisa mengi hufanya ibada ambayo kila mtu ana alama kwenye paji la uso na ishara ya msalaba kwenye majivu. Ninaelekea kuamini kwamba hii ndiyo alama ya mnyama inayotajwa katika Ufunuo 17:13.

SDA (Waadventista Wasabato) wanasema alama ya mnyama ni Jumapili, wakisema kwamba Kanisa Katoliki linadai kuwa kubadilisha sabato kuwa Jumapili ni alama yao ya mamlaka, kuonyesha kwamba wana uwezo wa kubadili sheria na kanuni.
Nina mwelekeo wa kufikiri kwamba 'alama ya mnyama' ni msalaba, na ndiyo sababu wanaitumia. Wamebadilisha jina la Masihi hadi kuitwa Kristo kwa sababu kigiriki inaandikwa Χριστός ikiwa na alama ya msalaba (X) ukiwa upande.

Kitu cha muhimu kuelewa ni kwamba, makanisa yote ya Kikristo yanaabudu Mungu wa uwongo kwa sababu yanamwabudu Yesu Kristo. Yesu Kristo ni jina lisilo sahihi. Jina la kweli ni Yehowshuwa na alikuwa Masihi, si Kristo.
SAmahani Mkuu, hivi hiyo ya "mabikira 72" ni kweli Mkuu hiyo!?
 
Kwa hiyo Mungu anahusika kwenye hiyo mikanganyiko? Na Kwa hiyo Kusema Dini ya Kwanza ilikuwa ni Dini Fulani lazima hiyo dini ijichomeke Kwa Wayahudi? Mwenye Akili na Airuhusu Akili yake kuelewa.
 
na wewe unayeabudu mwezi nani bora? mnamwabudu Mungu asiyefanya kazi, asiye na nguvu, anayetetewa na wanadamu. a hopeess god.
Hujitambui kwa taarifa yko mwez hauhusian kabisa na uislam kwenye suala zima la kuabudu ,,kuhusu kufanya kazi mungu wetu mengi ametutendea tangu tuazaliwa mpk hapa tulipofuka na kama unataka kujua mungu wetu anafanya kazi ww jiaribu kudhihaki kitabu chake ingia chooni ichukue quran kaikojoleee alafu njoo utupe mrejesho hapa nakuapia hapo ndio utajua hujui
 
Mfungo umeisha, tutawaona wengi sana humu na nyuzi za kuponda ukristo, tuwazoee tu mwezi wao wa kutenda matendo mema umesiha sasa wanarudi kwenye uhalisia wao
Acha porojo nazani ujumbe umekufika
 
SAmahani Mkuu, hivi hiyo ya "mabikira 72" ni kweli Mkuu hiyo!?
Kwann isiwe kweli na mifano ipo mengi na mfano mdogo ameshakuonesheni king solomon kuoa wanawke weng hapa dunian,,hata mungu wetu alilioona hilo kua sisi midume ya kisslam ili itekeleze urijali wke kiufasaha ametuekea waschana wa kutosha
 
 
hawa jamaa wachachamalia dini wanakuwaga wendawazimu, tuwasamehe tu hawajui walitendalo.
 
Uzuri papa kabla hajaanzisha uislamu alijua haya yote akaona bora uanzie kwa waarabu ila amecheza kama pele
 
Back
Top Bottom