Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana


Unasema matajiri wote wa Zanzibar wamepata pesa kutoka Tanganyika , hizo pesa uliwapa wewe ??

Halafu ulivyokuwa mjinga unasema ulienda Pemba na huko kazi nyingi zinafanywa na Wasukuma . Hivi umesahau kuwa ulisema Taasisi za wazungu na kanisa lako limetoa ajira nyingi Tanganyika ????

Imekuwaje wasukuma wakakimbilia Pemba kutafuta ajira ?? πŸ˜›πŸ˜›

NDIO NIKAKUAMBIA UJIBU SWALI LA MSINGI


NI MUNGU GANI UNAYEMUABUDU ????

Hiyo sala unayoisali kanisani kwa kiswahili ni sala gani ???

Jibu haya maswali kwanza , nipate kukuamsha
 

Mbona Padri wenu Mzungu anawatandika viboko waafrika kanisani ????? Usikimbie hapa



View: https://www.youtube.com/watch?v=zfhDtpEWv-M
 

Kumbe ulifika Pemba kutafuta ajira pamoja na ndugu zako wa Kisukuma ?? Wale wazungu wa Kikatoliki vipi tena na ajira zao ??

Kumbe ajira mnazifuatilia kwa waarabu wa kipemba waislamu ??
 
Ninamuabudu Mungu wangu aliyeniumba siyo Mungu wa Uarabuni ? Sio lazima mimi kwenda kuhiji Uarabuni kutimiza nguzo za dini yangu. Hizo kazi wanazofanya wasukuma pemba ni kazi za kubeba mizigo, kulima na kuchunga ngombe. Mwarabu hawezi kutengeneza mazingira mazuri ya kazi. Hivi umeshaishi pemba wewe ? Hata kahama inaipita Pemba kwa mzunguko wa kifedha na mazungira mazuri ya kazi. Umezunguka Tanzania ndugu yangu au unaongea unavyojisikia. Hata Dubai kuna watu wameajiriwa hawilipwi mishahara wanalipwa siku miradi ya ujenzi ikiisha. Maswali yako jimeshayajibu toka huko nyuma naomba ujibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 40. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na tisa: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Kumbe ulifika Pemba kutafuta ajira pamoja na ndugu zako wa Kisukuma ?? Wale wazungu wa Kikatoliki vipi tena na ajira zao ??

Kumbe ajira mnazifuatilia kwa waarabu wa kipemba waislamu ??
Sikufika kutafuta ajira niliitwa naKampuni ya kizungu kuangalia kama michoro yao ya hoteli ipo sahihi. Maana waunguja walio waajiri walikuwa wanawaza kumbatona na mpira siku nzima. Mwarabu hana hela ya kunilipa ndugu yangu. Angalia hata viwandani nenda kaangalia mishara ya Metl na Cocacola. Nenda kalinganishe mishahara ya Azam na Uni- lever. Maswali yako jimeshayajibu toka huko nyuma naomba ujibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Mimi siwezi kuweka majina yangu na picha hapa Jamii forum waliowahi kuishi ujerumani watajua kuwa kitambulisho nilichoweka ni sahihi ndugu yangu. Wewe nenda kabatizwe, upokee komunio na kipaimara uje tuongee. Maisha ya kusubiri kualikwa iftar au Iddi kupewa nyama ya ngamia sio. Njoo huku nikupe maisha πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ . Naomba ujibu la swali langu ambalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 50. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Umeiona kama huna uwezo wa kuelewa kichwa cha habari sio tatizo langu. Ni lako. Nijibu tena Christianity is glorifying white suprimacy
uwa najiuliza sana why malaika wote weupe?why watakatifu wote weupe? izi picha za Yesu walizipata wapi while at that moment there was no camera?why wenzetu waislam hawana picha za Mtume SAW while yeye ndio alikuwa Mtume wa mwisho?
 
😝😝😝😝

Yaani hicho ni kitambulisho cha Kijerumani ??? Hujaona tofauti ya kitambulisho cha kweli na huo ushuzi wako

WADANGANYE HAO WAKATOLIKI WENZAKO NA WALOKOLE WA JF

Unafikiri Residence permit haijulikani ilivyo ??

Unakimbia kutahja nani Mungu wako ?? na Hiyo sala yako ni sala gani ??
 

Pemba na hoteli ya mzungu πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜› Wewe kama hukuja kulima kwenye mashamba ya mikarafuu kwa waarabu itakuwa uliletwa na CCM kupiga kura huku ukikabidhiwa kikoi na shati la kijani pamoja na kupewa sahani ya pilau na paketi ya sigara , na hufikia makanisani tunajuwa.

Sasa tuambie Nani mungu wako ?? na sala unayoisali ni sala gani ??
 
Muwe mnafanya literature review ya kutosha kuhusu origin ya ukristo, badala ya kuandika andiko refu liliojaa mapokeo bila kuzungumzia asili ya ukristo.

Anyways, kwa vile umeandika maoni binafsi na leo ni FurahiDei acha nianze kuburudika mapema na weekend.
 
Well said ingawa unaweza kuchangia unahokijua juu hiyo, origin ya ukristo. Otherwise kukosoa tu ni kitu kisichokuwa na substance. Enjoy your Friday.
 
Usisahau pia uislam ni kutukuza mila na desturi za waarabu
 
Rafiki yangu namalizia mastrsin Wirtschaftsingenieurwesen huku nikija nije kuwakamua mliolala.Nimefanya kazi nyingi sana na mafundi amabao ni watu wa swala tano. Unakuta mtu ni fundi seremala toka miaka ya 90 mpaka leo. Mimi siishabikii na wala silalamikii serikali kwa sababu serikali inakula kupitia kwangu. Mimi sio kama hao waarabu koko wanaotegemea ruzuku na kuitumia kula bata. Naomba jibu la swali langu hapo chini πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Sikulazimishi uamini,mimi sio mjinga, bado nipo na wewe. Naomba jibu la swali langu hapo chini πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡ πŸ‘‡

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na tatu: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Nikichagua ukristo kama sample tu.
Christianity originated in the 1st century CE in the Roman province of Judea, rooted in the life and teachings of Jesus of Nazareth, who is regarded by Christians as the Messiah (Christ) and the Son of God. Jesus preached about love, forgiveness, and the coming Kingdom of God. His crucifixion and subsequent resurrection, as believed by Christians, form the foundation of the faith.
 
MAOMBI YANGU KWA MUNGU
AKUSAMEHE
AKUHURUMIE
AKUPE HEKIMA
KAMA IKIWEZEKANA NA HIO SMART IFEE KABISA AMA KUIBIWA
AKUONDOKEE KIBURI
AKUPE MOYO WA NYAMA
 
Well said ingawa unaweza kuchangia unahokijua juu hiyo, origin ya ukristo. Otherwise kukosoa tu ni kitu kisichokuwa na substance. Enjoy your Friday.
Kwamba mtoa mada nataka hadhira nayo itoe mada kuhusu hoja yake.

acha FurahiDei iendelee!
 

Huyo ndiye mungu wako na hiyo ndiyo sala yako ya kiswahili ?
 

Wacha kutia kichefuchefu, tumeshakujuwa wewe ni kada wa CCM uko Lumumba unatumiwa kuleta vijana Pemba wakati wa uchaguzi, Usipige kamba watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…