Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Wakristu wengi hawapo serious na masuala ya kanisa. Hata wewe ukiamua kubatizwa nakupa mchongo uje huku tupige hela.

Umesema waarabu wammejunga miundombinu zanzibar. Tukichukua miundombinu ya Tanzania nzima Mwarabu anaweza kumfikia Mzungu. Je hiyo miundombinu imezalisha ajira ? Mazingira ya kazi na malipo yapoje yanawafikia wakristu wenzangu wazungu ? Nakwambia mimi nipo kimaslahi na ninaijua shida ndio maana nipo kwenye dini ya ukweli. Matajiri wote wa visiwani wanapata hela zao kutoka Bara. Hamna kilimo huko, kutwa mnashinda vijiweni. Nimeenda hadi pemba kazi nyingi zinafanya na wasukuma. Unadiriki kweli kulinganisha Visiwani na Bara ?
Namalizia kwa kuomba jibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 40. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na nane: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.


Unasema matajiri wote wa Zanzibar wamepata pesa kutoka Tanganyika , hizo pesa uliwapa wewe ??

Halafu ulivyokuwa mjinga unasema ulienda Pemba na huko kazi nyingi zinafanywa na Wasukuma . Hivi umesahau kuwa ulisema Taasisi za wazungu na kanisa lako limetoa ajira nyingi Tanganyika ????

Imekuwaje wasukuma wakakimbilia Pemba kutafuta ajira ?? 😛😛

NDIO NIKAKUAMBIA UJIBU SWALI LA MSINGI


NI MUNGU GANI UNAYEMUABUDU ????

Hiyo sala unayoisali kanisani kwa kiswahili ni sala gani ???

Jibu haya maswali kwanza , nipate kukuamsha
 
Wakristu wengi hawapo serious na masuala ya kanisa. Hata wewe ukiamua kubatizwa nakupa mchongo uje huku tupige hela.

Umesema waarabu wammejunga miundombinu zanzibar. Tukichukua miundombinu ya Tanzania nzima Mwarabu anaweza kumfikia Mzungu. Je hiyo miundombinu imezalisha ajira ? Mazingira ya kazi na malipo yapoje yanawafikia wakristu wenzangu wazungu ? Nakwambia mimi nipo kimaslahi na ninaijua shida ndio maana nipo kwenye dini ya ukweli. Matajiri wote wa visiwani wanapata hela zao kutoka Bara. Hamna kilimo huko, kutwa mnashinda vijiweni. Nimeenda hadi pemba kazi nyingi zinafanya na wasukuma. Unadiriki kweli kulinganisha Visiwani na Bara ?
Namalizia kwa kuomba jibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 40. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na nane: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.


Mbona Padri wenu Mzungu anawatandika viboko waafrika kanisani ????? Usikimbie hapa



View: https://www.youtube.com/watch?v=zfhDtpEWv-M
 
Wakristu wengi hawapo serious na masuala ya kanisa. Hata wewe ukiamua kubatizwa nakupa mchongo uje huku tupige hela.

Umesema waarabu wammejunga miundombinu zanzibar. Tukichukua miundombinu ya Tanzania nzima Mwarabu anaweza kumfikia Mzungu. Je hiyo miundombinu imezalisha ajira ? Mazingira ya kazi na malipo yapoje yanawafikia wakristu wenzangu wazungu ? Nakwambia mimi nipo kimaslahi na ninaijua shida ndio maana nipo kwenye dini ya ukweli. Matajiri wote wa visiwani wanapata hela zao kutoka Bara. Hamna kilimo huko, kutwa mnashinda vijiweni. Nimeenda hadi pemba kazi nyingi zinafanya na wasukuma. Unadiriki kweli kulinganisha Visiwani na Bara ?
Namalizia kwa kuomba jibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 40. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na nane: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.


Kumbe ulifika Pemba kutafuta ajira pamoja na ndugu zako wa Kisukuma ?? Wale wazungu wa Kikatoliki vipi tena na ajira zao ??

Kumbe ajira mnazifuatilia kwa waarabu wa kipemba waislamu ??
 
Unasema matajiri wote wa Zanzibar wamepata pesa kutoka Tanganyika , hizo pesa uliwapa wewe ??

Halafu ulivyokuwa mjinga unasema ulienda Pemba na huko kazi nyingi zinafanywa na Wasukuma . Hivi umesahau kuwa ulisema Taasisi za wazungu na kanisa lako limetoa ajira nyingi Tanganyika ????

Imekuwaje wasukuma wakakimbilia Pemba kutafuta ajira ?? 😛😛

NDIO NIKAKUAMBIA UJIBU SWALI LA MSINGI


NI MUNGU GANI UNAYEMUABUDU ????

Hiyo sala unayoisali kanisani kwa kiswahili ni sala gani ???

Jibu haya maswali kwanza , nipate kukuamsha
Ninamuabudu Mungu wangu aliyeniumba siyo Mungu wa Uarabuni ? Sio lazima mimi kwenda kuhiji Uarabuni kutimiza nguzo za dini yangu. Hizo kazi wanazofanya wasukuma pemba ni kazi za kubeba mizigo, kulima na kuchunga ngombe. Mwarabu hawezi kutengeneza mazingira mazuri ya kazi. Hivi umeshaishi pemba wewe ? Hata kahama inaipita Pemba kwa mzunguko wa kifedha na mazungira mazuri ya kazi. Umezunguka Tanzania ndugu yangu au unaongea unavyojisikia. Hata Dubai kuna watu wameajiriwa hawilipwi mishahara wanalipwa siku miradi ya ujenzi ikiisha. Maswali yako jimeshayajibu toka huko nyuma naomba ujibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 40. Narudia tena kwa mara ya Arobaini na tisa: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Kumbe ulifika Pemba kutafuta ajira pamoja na ndugu zako wa Kisukuma ?? Wale wazungu wa Kikatoliki vipi tena na ajira zao ??

Kumbe ajira mnazifuatilia kwa waarabu wa kipemba waislamu ??
Sikufika kutafuta ajira niliitwa naKampuni ya kizungu kuangalia kama michoro yao ya hoteli ipo sahihi. Maana waunguja walio waajiri walikuwa wanawaza kumbatona na mpira siku nzima. Mwarabu hana hela ya kunilipa ndugu yangu. Angalia hata viwandani nenda kaangalia mishara ya Metl na Cocacola. Nenda kalinganishe mishahara ya Azam na Uni- lever. Maswali yako jimeshayajibu toka huko nyuma naomba ujibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
😛 😛 😛 😛 😛

Yaani hicho ni kitambulisho cha Kijerumani ???

WADANGANYE HAO WAKATOLIKI WENZAKO NA WALOKOLE WA JF

Unafikiri Residence permit haijulikani ilivyo ??

Angalia hapo chini

View attachment 3087366


Na viza yao iko hivi

View attachment 3087368



😛 😛
Mimi siwezi kuweka majina yangu na picha hapa Jamii forum waliowahi kuishi ujerumani watajua kuwa kitambulisho nilichoweka ni sahihi ndugu yangu. Wewe nenda kabatizwe, upokee komunio na kipaimara uje tuongee. Maisha ya kusubiri kualikwa iftar au Iddi kupewa nyama ya ngamia sio. Njoo huku nikupe maisha 😂 😂 😂 😂 . Naomba ujibu la swali langu ambalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 50. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Umeiona kama huna uwezo wa kuelewa kichwa cha habari sio tatizo langu. Ni lako. Nijibu tena Christianity is glorifying white suprimacy
uwa najiuliza sana why malaika wote weupe?why watakatifu wote weupe? izi picha za Yesu walizipata wapi while at that moment there was no camera?why wenzetu waislam hawana picha za Mtume SAW while yeye ndio alikuwa Mtume wa mwisho?
 
Sikufika kutafuta ajira niliitwa naKampuni ya kizungu kuangalia kama michoro yao ya hoteli ipo sahihi. Maana waunguja walio waajiri walikuwa wanawaza kumbatona na mpira siku nzima. Mwarabu hana hela ya kunilipa ndugu yangu. Angalia hata viwandani nenda kaangalia mishara ya Metl na Cocacola. Nenda kalinganishe mishahara ya Azam na Uni- lever. Maswali yako jimeshayajibu toka huko nyuma naomba ujibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
😝😝😝😝
Mimi siwezi kuweka majina yangu na picha hapa Jamii forum waliowahi kuishi ujerumani watajua kuwa kitambulisho nilichoweka ni sahihi ndugu yangu. Wewe nenda kabatizwe, upokee komunio na kipaimara uje tuongee. Maisha ya kusubiri kualikwa iftar au Iddi kupewa nyama ya ngamia sio. Njoo huku nikupe maisha 😂 😂 😂 😂 . Naomba ujibu la swali langu ambalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma nimekuuliza zaidi ya mara 50. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Yaani hicho ni kitambulisho cha Kijerumani ??? Hujaona tofauti ya kitambulisho cha kweli na huo ushuzi wako

WADANGANYE HAO WAKATOLIKI WENZAKO NA WALOKOLE WA JF

Unafikiri Residence permit haijulikani ilivyo ??

Unakimbia kutahja nani Mungu wako ?? na Hiyo sala yako ni sala gani ??
 
Sikufika kutafuta ajira niliitwa naKampuni ya kizungu kuangalia kama michoro yao ya hoteli ipo sahihi. Maana waunguja walio waajiri walikuwa wanawaza kumbatona na mpira siku nzima. Mwarabu hana hela ya kunilipa ndugu yangu. Angalia hata viwandani nenda kaangalia mishara ya Metl na Cocacola. Nenda kalinganishe mishahara ya Azam na Uni- lever. Maswali yako jimeshayajibu toka huko nyuma naomba ujibu la swali langu amabalo kutwa kukicha na kuuliza pasi na majibu. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Pemba na hoteli ya mzungu 😛😛😛 Wewe kama hukuja kulima kwenye mashamba ya mikarafuu kwa waarabu itakuwa uliletwa na CCM kupiga kura huku ukikabidhiwa kikoi na shati la kijani pamoja na kupewa sahani ya pilau na paketi ya sigara , na hufikia makanisani tunajuwa.

Sasa tuambie Nani mungu wako ?? na sala unayoisali ni sala gani ??
 
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Muwe mnafanya literature review ya kutosha kuhusu origin ya ukristo, badala ya kuandika andiko refu liliojaa mapokeo bila kuzungumzia asili ya ukristo.

Anyways, kwa vile umeandika maoni binafsi na leo ni FurahiDei acha nianze kuburudika mapema na weekend.
 
Muwe mnafanya literature review ya kutosha kuhusu origin ya ukristo, badala ya kuandika andiko refu liliojaa mapokeo bila kuzungumzia asili ya ukristo.

Anyways, kwa vile umeandika maoni binafsi na leo ni FurahiDei acha nianze kuburudika mapema na weekend.
Well said ingawa unaweza kuchangia unahokijua juu hiyo, origin ya ukristo. Otherwise kukosoa tu ni kitu kisichokuwa na substance. Enjoy your Friday.
 
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Usisahau pia uislam ni kutukuza mila na desturi za waarabu
 
Pemba na hoteli ya mzungu 😛😛😛 Wewe kama hukuja kulima kwenye mashamba ya mikarafuu kwa waarabu itakuwa uliletwa na CCM kupiga kura huku ukikabidhiwa kikoi na shati la kijani pamoja na kupewa sahani ya pilau na paketi ya sigara , na hufikia makanisani tunajuwa.

Sasa tuambie Nani mungu wako ?? na sala unayoisali ni sala gani ??
Rafiki yangu namalizia mastrsin Wirtschaftsingenieurwesen huku nikija nije kuwakamua mliolala.Nimefanya kazi nyingi sana na mafundi amabao ni watu wa swala tano. Unakuta mtu ni fundi seremala toka miaka ya 90 mpaka leo. Mimi siishabikii na wala silalamikii serikali kwa sababu serikali inakula kupitia kwangu. Mimi sio kama hao waarabu koko wanaotegemea ruzuku na kuitumia kula bata. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
😝😝😝😝


Yaani hicho ni kitambulisho cha Kijerumani ??? Hujaona tofauti ya kitambulisho cha kweli na huo ushuzi wako

WADANGANYE HAO WAKATOLIKI WENZAKO NA WALOKOLE WA JF

Unafikiri Residence permit haijulikani ilivyo ??

Unakimbia kutahja nani Mungu wako ?? na Hiyo sala yako ni sala gani ??
Sikulazimishi uamini,mimi sio mjinga, bado nipo na wewe. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na tatu: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.
 
Nikichagua ukristo kama sample tu.
Christianity originated in the 1st century CE in the Roman province of Judea, rooted in the life and teachings of Jesus of Nazareth, who is regarded by Christians as the Messiah (Christ) and the Son of God. Jesus preached about love, forgiveness, and the coming Kingdom of God. His crucifixion and subsequent resurrection, as believed by Christians, form the foundation of the faith.
 
MAOMBI YANGU KWA MUNGU
AKUSAMEHE
AKUHURUMIE
AKUPE HEKIMA
KAMA IKIWEZEKANA NA HIO SMART IFEE KABISA AMA KUIBIWA
AKUONDOKEE KIBURI
AKUPE MOYO WA NYAMA
 
Well said ingawa unaweza kuchangia unahokijua juu hiyo, origin ya ukristo. Otherwise kukosoa tu ni kitu kisichokuwa na substance. Enjoy your Friday.
Kwamba mtoa mada nataka hadhira nayo itoe mada kuhusu hoja yake.

acha FurahiDei iendelee!
 
Sikulazimishi uamini,mimi sio mjinga, bado nipo na wewe. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na tatu: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Huyo ndiye mungu wako na hiyo ndiyo sala yako ya kiswahili ?
 
Rafiki yangu namalizia mastrsin Wirtschaftsingenieurwesen huku nikija nije kuwakamua mliolala.Nimefanya kazi nyingi sana na mafundi amabao ni watu wa swala tano. Unakuta mtu ni fundi seremala toka miaka ya 90 mpaka leo. Mimi siishabikii na wala silalamikii serikali kwa sababu serikali inakula kupitia kwangu. Mimi sio kama hao waarabu koko wanaotegemea ruzuku na kuitumia kula bata. Naomba jibu la swali langu hapo chini 👇 👇 👇 👇 👇 👇 👇

Ndugu wewe ndio unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu ? Rudia comment huko nyuma hii ni mara ya hamsini nakuuliza. Narudia tena kwa mara ya Hamsini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Bado nipo na wewe nasubiri majibu Sheikh wangu.

Wacha kutia kichefuchefu, tumeshakujuwa wewe ni kada wa CCM uko Lumumba unatumiwa kuleta vijana Pemba wakati wa uchaguzi, Usipige kamba watu
 
Back
Top Bottom