Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko siendi. Kugumu.
Ni white gani hao wanaokuwa grorified na Ukristu? Wa kutoka nchi gani kwa mfano? Maana UK wanaona Romania siyo white. Sasa ni white gani hao unaowaongelea? Maana Yesu hakuwa White.Umeiona kama huna uwezo wa kuelewa kichwa cha habari sio tatizo langu. Ni lako. Nijibu tena Christianity is glorifying white suprimacy
Aisee😁😁Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?
Kwa uislam siendi huko lkn umeona point.Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu
Knowledge ni knowledge, history ni history huwezi kuvibadilisha. Vitabakia kama vilivyoMambo mengine kama huyaelewa ni heri kuoiga kimya badala yakr unataka na jamii nzima kuchukua ujinga huo huo, wewe komaa na imani yako acha wengine waabudu wanachokiamini as long as hauvunji sheria za nchi
Hata kama huyo Yesu angekuwa yellow. Point ni ile ile walikija kwa hilaNi white gani hao wanaokuwa grorified na Ukristu? Wa kutoka nchi gani kwa mfano? Maana UK wanaona Romania siyo white. Sasa ni white gani hao unaowaongelea? Maana Yesu hakuwa White.