Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Usidanganye ujerumani hamna hicho kitu , mimi nimefika matra zaidi ya ishirini tokea 1986
We umetoka Tanzania na Tanzania siyo nchi ya kiislamu. Huku waliotoka Bangladesh,Pakistani ,Jordan na nchi zinginezo wanareport kila baada ya miezi sita.
 
We umetoka Tanzania na Tanzania siyo nchi ya kiislamu. Huku waliotoka Bangladesh,Pakistani ,Jordan na nchi zinginezo wanareport kila baada ya miezi sita.

hao wanaoripoti ni watu waliopewa permits za miezi 6 , na kila miezi sita wana renew hizo permits zao , hayo yapo nchi nyingi za ulaya na si ujerumani peke yake , wala si kwa waislamu tu ni kwa wote waliopewa hizo permits
 
hao wanaoripoti ni watu waliopewa permits za miezi 6 , na kila miezi sita wana renew hizo permits zao , hayo yapo nchi nyingi za ulaya na si ujerumani peke yake , wala si kwa waislamu tu ni kwa wote waliopewa hizo permits
Hakuna ndugu yangu wapo wanafunzi na watu wenye bluecard huku wana-report kila baada ya miezi sita mpaka pale watakapopata permanent resident permit.
 
Hakuna ndugu yangu wapo wanafunzi na watu wenye bluecard huku wana-report kila baada ya miezi sita mpaka pale watakapopata permanent resident permit.

si ndiyo wanapewa permits za miezi sita ?? pia wako wanaopewa za mwaka na wako wanaopewa za miaka miwili

Wakimaliza inabidi waka renew ndio system za nchi nyingi za Europe hivi sasa
 
si ndiyo wanapewa permits za miezi sita ?? pia wako wanaopewa za mwaka na wako wanaopewa za miaka miwili

Wakimaliza inabidi waka renew ndio system za nchi nyingi za Europe hivi sasa
Haujanielewa ndugu yangu wananchi wanaotoka nchi za kiislamu wanatakiwa warepoert kufanya security check kila baada ya miezi sita haijalishi kama wana permit za miaka miwili, mitatu au mmoja. Na haijalishi dini zao kuna mmoja ni muhindi ila ni raia wa bangladesh ana permit ya miaka miwili lakini lazima a-report kila ´baada ya miezi sita.
 

kwani kuna nchi zipi ya kiislamu zaidi ya hizi mbili zinazojiita za kiislamu Iran na Saudi arabia ??
 
Acha tu. UZUZU, UJINGA NA UMASKINI NI SHIDA!
 

Makanisa ni njia yao ya kufanya ujasusi na kupata njia ya hizo serikali zao kuingia kiulaini .
 
Umeiona kama huna uwezo wa kuelewa kichwa cha habari sio tatizo langu. Ni lako. Nijibu tena Christianity is glorifying white suprimacy
1. Kutukuza watu weupe gani? maana hata waarabu, wayahudi na wazungu ni weupe.
2. Wazungu gani ambayo wanatukuzwa na ukristo?
3. Yesu ni myahudi. Je, Yesu naye ni mzungu?
 
1. Kutukuza watu weupe gani? maana hata waarabu, wayahudi na wazungu ni weupe.
2. Wazungu gani ambayo wanatukuzwa na ukristo?
3. Yesu ni myahudi. Je, Yesu naye ni mzungu?

Kwani wewe kanisa lako ni lipi? Jee huyo Yesu wenu si mzungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…