Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
1. Mbona kwenye dini ya uislamu kuna mahakama?Makanisa ni njia yao ya kufanya ujasusi na kupata njia ya hizo serikali zao kuingia kiulaini
Myahudi ni mzungu? Acha kunichekeshaππππKwani wewe kanisa lako ni lipi? Jee huyo Yesu wenu si mzungu?
1. Mbona kwenye dini ya uislamu kuna mahakama?
2. Mahakama inamsaidia Allah kuhukumu watu?
Unajua mtu akiacha uislamu akahamia dini nyingine adhabu yake ni kifo Muarabu ametunga hii sheria ili mtu akijiunga na chama asiweze kutokaππππ
Myahudi ni mzungu? Acha kunichekeshaππππ
Ndiyo mekaririshwa madrasa maana hamna mafundisho ya maana ya kuhubiria uislamuπππMbona unaandika Kama uliyemaliza ngombaro?
Makanisa ni njia yao ya kufanya ujasusi na kupata njia ya hizo serikali zao kuingia kiulaini
Mliiga kwa Yesu mkamuita Issa. Je Issa naye ni mzungu?Sasa jibu swali
Kwani wewe kanisa lako ni lipi? Jee huyo Yesu wenu si mzungu?
Sawa wanajenga hayo yote lakini huduma zao wanatoa katika minajili ipi??Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?
Ukitaka kujua kanisa linajitoa nenda kwenye zahanazti na shule za mikoani na vijijini. Kuna watoto wanasoma na kuna watu wanatibiwa bure. Kuna mikoa ambayo inajulikana watu wanajiweza huduma hazitolewi bure.Sawa wanajenga hayo yote lakini huduma zao wanatoa katika minajili ipi??
Sana sana ni uwizi, utapeli na biashara.
Yaani ukienda kwenye hizo taasisi huduma zao haziendani na maandiko yao.
Au ndugu yangu ukiendaga hizo hosiptali zao ushawahi tibiwa bure??
Basi bure haiwezekani, je kuna unafuu wowote wa gharama??
Hizo shule zao watoto wa masikini wanaweza soma bure?? Au basi hata kwa nusu gharama??
Huko ni mbali, waumini tu wenyewe wanaochanga hizo hela kama sadaka je wakienda kwenye taasisi zao hizo huduma wanapewa bure?
Basi faida inayopatikana kwenye hizo taasisi huwa walishawahi kupewa waumini hata siku moja? Basi hizo faida anakula nani?
Zanzibaer ilikuwa inaongoza kwa maendeleo yapi ? Yale maghorofa yalijengwa na Sultani ? Nakukumbusha wataalamu waliyojenga yale Maghorofa ni wajerumani na ilikuwa mpango wa Karume Mwarabu siyo ndugu yako. Ndio maana wanakuja na kuwajengea misikiti tu .Kabla ya uvamizi wa mkatoliki Nyerere nchi ya Zanzibar ikiongoza kwa maendeleo kusini mwa jangwa la Sahara , Baada y
A uvamizi wa Laanatullahi Nyerere na kanisa lake la wazungu wa Roma , nchi yote imechafuka
Zanzibaer ilikuwa inaongoza kwa maendeleo yapi ? Yale maghorofa yalijengwa na Sultani ? Nakukumbusha wataalamu waliyojenga yale Maghorofa ni wajerumani na ilikuwa mpango wa Karume Mwarabu siyo ndugu yako. Ndio maana wanakuja na kuwajengea misikiti tu .
Kwa akili zako ni sawa na kusema Dewji ni muafrika ? Unajua kwa nini kina Dewji walikimbia Gujirati na kuja Tanzania ? Sultani alikuwa na kabila gani ? Au chimbuko lake ni ukoo upi. Ndio maana serikalini wamejaa warundi na hatujui . Wavaa makobazi bwana. Mwarabu sio ndugu yako ndio maana nikakuuliza yale maghorofa ya michenzani alijenga Sultani ? Maana navyojua waarabu wanajenga misikiti tuu na si vinginevyoKwani sultani ni Nani na kazaliwa wapi? Mumumezwa kasumba Za kanisa na Nyerere kuwa eti Sultan ni muarabu , Wakati wazee wake ni waafrika babu yake kazaliwa hapa, Baba yake kazaliwa hapa na hata mama yake kazaliwa hapa
Kwa akili zako ni sawa na kusema Dewji ni muafrika ? Unajua kwa nini kina Dewji walikimbia Gujirati na kuja Tanzania ? Sultani alikuwa na kabila gani ? Au chimbuko lake ni ukoo upi. Ndio maana serikalini wamejaa warundi na hatujui . Wavaa makobazi bwana. Mwarabu sio ndugu yako ndio maana nikakuuliza yale maghorofa ya michenzani alijenga Sultani ? Maana navyojua waarabu wanajenga misikiti tuu na si vinginevyo
Sasa jibu swali uliloulizwaMliiga kwa Yesu mkamuita Issa. Je Issa naye ni mzungu?
Hata dini yakoDini zote upuuzi tuuu
Maendeleo ni nini ndugu yangu ? Maana hayo maghorofa ya michenzani aliyojenga Karume watu walikuwa hawalipi kodi ?Kwani Dewji alikuwa Sultani wa Zanzibar?
Kwani unafikiri maendeleo ni majumba marefu? Kumbe warundi ni waarabu? Au ni wahindi?
Kama unafikiri watu wanakula majumba sawa tafuta lako ulikarange, Hayo majumba kuna watu walivunjiwa na hawakupewa hata senti moja mpaka leoMaendeleo ni nini ndugu yangu ? Maana hayo maghorofa ya michenzani aliyojenga Karume watu walikuwa hawalipi kodi ?
Hao waliovunjiwa alikuwa waarabu na sio wazanzibari. Kuna mmmoja ni mwarabu wa Oman nilikuwa nawe pale d ananihadithia pale Tembo hotel palikuwa nyumbani kwao sasa hivi ni mchovu anashindia swala tano π π π . Waarabu wanapenda vya lunyonga aisee. Hakuna Mzanzibari alikuwa middle class au upper class kipindi cha Sultani. Waliokuwa na upper class ni waarabu na middle class walikuwa wahindi.Kama unafikiri watu wanakula majumba sawa tafuta lako ulikarange, Hayo majumba kuna watu walivunjiwa na hawakupewa hata senti moja mpaka leo
Hujajibu swali hivi Dewji alikuwa Sultani?
Hao waliovunjiwa alikuwa waarabu na sio wazanzibari. Kuna mmmoja ni mwarabu wa Oman nilikuwa nawe pale d ananihadithia pale Tembo hotel palikuwa nyumbani kwao sasa hivi ni mchovu anashindia swala tano π π π . Waarabu wanapenda vya lunyonga aisee. Hakuna Mzanzibari alikuwa middle class au upper class kipindi cha Sultani. Waliokuwa na upper class ni waarabu na middle class walikuwa wahindi.
Kuhusu Mo dewji huko juu unasema Sultan ni mzanzibari kisa kazaliwa Zanzibari sasa nakuuliza wewe Mo dewji ni Matanzania ? Na kama ni Mtanzania naomba unitajie kabila lake. Maana mimi najua ni Mgujirati na kule India walikimbia kwa sababu Waislamu wa Gujirati wanabaguliwa mpaka kesho . Ndugu yangu sijawahi kukesha madrasa au swala tanon nilikazana na elimu dunia. Siongei kiushabiki hapa ninatema facts tu. Amka mvaa makobazi. Hivi unajua kwa nini ofisi za umma zanzibar hazina vyumba bali half partition ? Watu walikuwa wanalala maofisini aisee wavaa makobazi π π π