Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Makanisa ni njia yao ya kufanya ujasusi na kupata njia ya hizo serikali zao kuingia kiulaini
1. Mbona kwenye dini ya uislamu kuna mahakama?
2. Mahakama inamsaidia Allah kuhukumu watu?
Unajua mtu akiacha uislamu akahamia dini nyingine adhabu yake ni kifo Muarabu ametunga hii sheria ili mtu akijiunga na chama asiweze kutoka😀😀😀😀
 
1. Mbona kwenye dini ya uislamu kuna mahakama?
2. Mahakama inamsaidia Allah kuhukumu watu?
Unajua mtu akiacha uislamu akahamia dini nyingine adhabu yake ni kifo Muarabu ametunga hii sheria ili mtu akijiunga na chama asiweze kutoka😀😀😀😀

Mbona unaandika Kama uliyemaliza ngombaro?

Makanisa ni njia yao ya kufanya ujasusi na kupata njia ya hizo serikali zao kuingia kiulaini
 
Mbona unaandika Kama uliyemaliza ngombaro?

Makanisa ni njia yao ya kufanya ujasusi na kupata njia ya hizo serikali zao kuingia kiulaini
Ndiyo mekaririshwa madrasa maana hamna mafundisho ya maana ya kuhubiria uislamu😀😀😀
Km ndiyo njia ya kuutangaza uislamu. Umechemka, jaribu kutoa mafundisho ya Quran hasa sura ya Al Jinn labda unaweza kuokoteza watu😀😀😀
 
Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?
Sawa wanajenga hayo yote lakini huduma zao wanatoa katika minajili ipi??
Sana sana ni uwizi, utapeli na biashara.
Yaani ukienda kwenye hizo taasisi huduma zao haziendani na maandiko yao.
Au ndugu yangu ukiendaga hizo hosiptali zao ushawahi tibiwa bure??
Basi bure haiwezekani, je kuna unafuu wowote wa gharama??
Hizo shule zao watoto wa masikini wanaweza soma bure?? Au basi hata kwa nusu gharama??

Huko ni mbali, waumini tu wenyewe wanaochanga hizo hela kama sadaka je wakienda kwenye taasisi zao hizo huduma wanapewa bure?

Basi faida inayopatikana kwenye hizo taasisi huwa walishawahi kupewa waumini hata siku moja? Basi hizo faida anakula nani?
 
Sawa wanajenga hayo yote lakini huduma zao wanatoa katika minajili ipi??
Sana sana ni uwizi, utapeli na biashara.
Yaani ukienda kwenye hizo taasisi huduma zao haziendani na maandiko yao.
Au ndugu yangu ukiendaga hizo hosiptali zao ushawahi tibiwa bure??
Basi bure haiwezekani, je kuna unafuu wowote wa gharama??
Hizo shule zao watoto wa masikini wanaweza soma bure?? Au basi hata kwa nusu gharama??

Huko ni mbali, waumini tu wenyewe wanaochanga hizo hela kama sadaka je wakienda kwenye taasisi zao hizo huduma wanapewa bure?

Basi faida inayopatikana kwenye hizo taasisi huwa walishawahi kupewa waumini hata siku moja? Basi hizo faida anakula nani?
Ukitaka kujua kanisa linajitoa nenda kwenye zahanazti na shule za mikoani na vijijini. Kuna watoto wanasoma na kuna watu wanatibiwa bure. Kuna mikoa ambayo inajulikana watu wanajiweza huduma hazitolewi bure.

View: https://www.youtube.com/shorts/-xd8DN8VNoE?feature=share
☝️☝️☝️Huyu ni mjerumani amejenga kituo cha watoto yatima TABORA anatumia Euro 300,000 kwa mwaka ya hela zake mwenyewe anataka kuhakikisha kila familia ina mifugio na anataka kuanzisha kituo cha kujifunza kilimo. Baaada ya hayo ndio atajenga kanisa.
 
Kabla ya uvamizi wa mkatoliki Nyerere nchi ya Zanzibar ikiongoza kwa maendeleo kusini mwa jangwa la Sahara , Baada y
A uvamizi wa Laanatullahi Nyerere na kanisa lake la wazungu wa Roma , nchi yote imechafuka
Zanzibaer ilikuwa inaongoza kwa maendeleo yapi ? Yale maghorofa yalijengwa na Sultani ? Nakukumbusha wataalamu waliyojenga yale Maghorofa ni wajerumani na ilikuwa mpango wa Karume Mwarabu siyo ndugu yako. Ndio maana wanakuja na kuwajengea misikiti tu .
 
Zanzibaer ilikuwa inaongoza kwa maendeleo yapi ? Yale maghorofa yalijengwa na Sultani ? Nakukumbusha wataalamu waliyojenga yale Maghorofa ni wajerumani na ilikuwa mpango wa Karume Mwarabu siyo ndugu yako. Ndio maana wanakuja na kuwajengea misikiti tu .

Kwani sultani ni Nani na kazaliwa wapi? Mumemezwa kasumba Za kanisa na Nyerere kuwa eti Sultan ni muarabu , Wakati wazee wake ni waafrika babu yake kazaliwa hapa, Baba yake kazaliwa hapa na hata mama yake kazaliwa hapa
 
Kwani sultani ni Nani na kazaliwa wapi? Mumumezwa kasumba Za kanisa na Nyerere kuwa eti Sultan ni muarabu , Wakati wazee wake ni waafrika babu yake kazaliwa hapa, Baba yake kazaliwa hapa na hata mama yake kazaliwa hapa
Kwa akili zako ni sawa na kusema Dewji ni muafrika ? Unajua kwa nini kina Dewji walikimbia Gujirati na kuja Tanzania ? Sultani alikuwa na kabila gani ? Au chimbuko lake ni ukoo upi. Ndio maana serikalini wamejaa warundi na hatujui . Wavaa makobazi bwana. Mwarabu sio ndugu yako ndio maana nikakuuliza yale maghorofa ya michenzani alijenga Sultani ? Maana navyojua waarabu wanajenga misikiti tuu na si vinginevyo
 
Kwa akili zako ni sawa na kusema Dewji ni muafrika ? Unajua kwa nini kina Dewji walikimbia Gujirati na kuja Tanzania ? Sultani alikuwa na kabila gani ? Au chimbuko lake ni ukoo upi. Ndio maana serikalini wamejaa warundi na hatujui . Wavaa makobazi bwana. Mwarabu sio ndugu yako ndio maana nikakuuliza yale maghorofa ya michenzani alijenga Sultani ? Maana navyojua waarabu wanajenga misikiti tuu na si vinginevyo

Kwani Dewji alikuwa Sultani wa Zanzibar?
Kwani unafikiri maendeleo ni majumba marefu? Kumbe warundi ni waarabu? Au ni wahindi?
 
Kwani Dewji alikuwa Sultani wa Zanzibar?
Kwani unafikiri maendeleo ni majumba marefu? Kumbe warundi ni waarabu? Au ni wahindi?
Maendeleo ni nini ndugu yangu ? Maana hayo maghorofa ya michenzani aliyojenga Karume watu walikuwa hawalipi kodi ?
 
Maendeleo ni nini ndugu yangu ? Maana hayo maghorofa ya michenzani aliyojenga Karume watu walikuwa hawalipi kodi ?
Kama unafikiri watu wanakula majumba sawa tafuta lako ulikarange, Hayo majumba kuna watu walivunjiwa na hawakupewa hata senti moja mpaka leo

Hujajibu swali hivi Dewji alikuwa Sultani?
 
Kama unafikiri watu wanakula majumba sawa tafuta lako ulikarange, Hayo majumba kuna watu walivunjiwa na hawakupewa hata senti moja mpaka leo

Hujajibu swali hivi Dewji alikuwa Sultani?
Hao waliovunjiwa alikuwa waarabu na sio wazanzibari. Kuna mmmoja ni mwarabu wa Oman nilikuwa nawe pale d ananihadithia pale Tembo hotel palikuwa nyumbani kwao sasa hivi ni mchovu anashindia swala tano 😅 😅 😅 . Waarabu wanapenda vya lunyonga aisee. Hakuna Mzanzibari alikuwa middle class au upper class kipindi cha Sultani. Waliokuwa na upper class ni waarabu na middle class walikuwa wahindi.

Kuhusu Mo dewji huko juu unasema Sultan ni mzanzibari kisa kazaliwa Zanzibari sasa nakuuliza wewe Mo dewji ni Matanzania ? Na kama ni Mtanzania naomba unitajie kabila lake. Maana mimi najua ni Mgujirati na kule India walikimbia kwa sababu Waislamu wa Gujirati wanabaguliwa mpaka kesho . Ndugu yangu sijawahi kukesha madrasa au swala tanon nilikazana na elimu dunia. Siongei kiushabiki hapa ninatema facts tu. Amka mvaa makobazi. Hivi unajua kwa nini ofisi za umma zanzibar hazina vyumba bali half partition ? Watu walikuwa wanalala maofisini aisee wavaa makobazi 😅 😅 😅
 
Ukristo unawasumbua sana muslims hawalali kwa kutuonea wivu
 
Hao waliovunjiwa alikuwa waarabu na sio wazanzibari. Kuna mmmoja ni mwarabu wa Oman nilikuwa nawe pale d ananihadithia pale Tembo hotel palikuwa nyumbani kwao sasa hivi ni mchovu anashindia swala tano 😅 😅 😅 . Waarabu wanapenda vya lunyonga aisee. Hakuna Mzanzibari alikuwa middle class au upper class kipindi cha Sultani. Waliokuwa na upper class ni waarabu na middle class walikuwa wahindi.

Kuhusu Mo dewji huko juu unasema Sultan ni mzanzibari kisa kazaliwa Zanzibari sasa nakuuliza wewe Mo dewji ni Matanzania ? Na kama ni Mtanzania naomba unitajie kabila lake. Maana mimi najua ni Mgujirati na kule India walikimbia kwa sababu Waislamu wa Gujirati wanabaguliwa mpaka kesho . Ndugu yangu sijawahi kukesha madrasa au swala tanon nilikazana na elimu dunia. Siongei kiushabiki hapa ninatema facts tu. Amka mvaa makobazi. Hivi unajua kwa nini ofisi za umma zanzibar hazina vyumba bali half partition ? Watu walikuwa wanalala maofisini aisee wavaa makobazi 😅 😅 😅

Kuwa Dewji mtanzania au si mtanznia Mimi hayanihusu mambo ya Tanganyika. Nimekufahamisha Huyu mnayemsema siku zote , Huyo Karume Sr wala Si mzanzibari ni mmalawi na ndio akashirikiana na Nyerere. Nyerere kamtumia Mmalawi kufanikisha ajenda zake , Karma inawapiga na nyinyi mnaendeshwa na Wa Burundi na Wa Rwanda
 
Back
Top Bottom