Wavae tu haina shida kbs kwangu. Hata mwng anaweza kulivaa ni vazi rasmi la mazingira ya joto. Vazi halina shidaHata uislam pia ni utamaduni wa mwamed na waarabu wenzake.........wewe endelea kupiga manyanga na kuagua ..........Acha kabisa na piga marufuku kuvaa madera......eti unaita kanzu huku afrika before ilivaliwa wapi?? Kama sio mwarabu na ndugu wa mudi kuzireta
Sanaa,si unaona magengo yetu ya kuabuudia yalivyo masafiiiEndelea kupambana. Mko vizuri mnaijua hela
Nimekusoma mkuuKidogo hawa hawalazimishii wenzao kuikana lugha, majina, mavazi na mambo lukuki. Sema pia siku hizi makristo ya uongo yanawapiga wajinga mpaka wanakoma. Wamejigeuza vikoba na vibati. 😛
Accumen Mo
Kutoka mataifa yapi?Missionaries, karnebya 15 AD
Niambie kuna gari ameunda mwarabu from zero ? Kuna technolojia ameunda mwarabu from zero ? Mwarabu na mafuta yake yote amejenga Hospitali gani ? Shule Gani ? Chuo gani ? Hapa Tanzania. Kaa chini ujiulize kwa nini waarabu hawawasaidii wapalestina ? Wao wanabaguana wao kwa wao sembuse wewe mwafrika. Niko Ujerumani wazungu wananiheshimu lakini wanaoniletea drama ni waturuki na waarabu waliokuja huku na kukataa shule na kushinda madrasa. Leo nina mwaka mmoja na nusu hapa ni production manager wanabaki kushangaa.Kwa uislam siendi huko lkn umeona point.
Mwambie Brother. Kwa sisi tulioishi ughaibuni miaka mingi tunajua ukweli. Na ukweli ni ukweli. PeriodNiambie kuna gari ameunda mwarabu from zero ? Kuna technolojia ameunda mwarabu from zero ? Mwarabu na mafuta yake yote amejenga Hospitali gani ? Shule Gani ? Chuo gani ? Hapa Tanzania. Kaa chini ujiulize kwa nini waarabu hawawasaidii wapalestina ? Wao wanabaguana wao kwa wao sembuse wewe mwafrika. Niko Ujerumani wazungu wananiheshimu lakini wanaoniletea drama ni waturuki na waarabu waliokuja huku na kukataa shule na kushinda madrasa. Leo nina mwaka mmoja na nusu hapa ni production manager wanabaki kushangaa.
Uislamu hautambui mambo ya majini , sema unatakiwa kumpa mtoto wako jina lenye maana nzuri , majina kama Tabu , masambuko , shida sio mazuri .Mambo ya kubadilisha majina ili uingie kwenye dini fulani ni ujinga. Ina maana mungu wa dini hiyo hawatambui majina yenu au koo zenu. Teh teh teh 😛
Pia msikilize Joshua Maponga.Where are you professor Patrick Lumumba of Kenya, I want to hear something from you about "Christianity ". Africa, if you want to wake up, listen to him.
Kwani akina TIPUTIPU na wenzao waliokuwa wanakusanya watumwa kwa ukatili mkubwa kuanzia huko Kigoma, Tabora, Dodoma, nk.. kuwaleta Bagamoyo na kuwavusha kwa majahazi hadi mnada wa watumwa Unguja, ni Wazungu au Waarabu??...kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.
Tiputipu na waarabu wenzake walikuwa wakoloni kutokea nchi gani?Wakoloni
Niambie kuna gari ameunda mwarabu from zero ? Kuna technolojia ameunda mwarabu from zero ? Mwarabu na mafuta yake yote amejenga Hospitali gani ? Shule Gani ? Chuo gani ? Hapa Tanzania. Kaa chini ujiulize kwa nini waarabu hawawasaidii wapalestina ? Wao wanabaguana wao kwa wao sembuse wewe mwafrika. Niko Ujerumani wazungu wananiheshimu lakini wanaoniletea drama ni waturuki na waarabu waliokuja huku na kukataa shule na kushinda madrasa. Leo nina mwaka mmoja na nusu hapa ni production manager wanabaki kusha
Hayo maswali uliyouliza yanahusiana nini mada? Au unataka kuleta hoja ya ulinganifu kati ya muarabu na mzungu? Fungua Uzi wako tujadili hiyo mada mpya uliyoiletaNiambie kuna gari ameunda mwarabu from zero ? Kuna technolojia ameunda mwarabu from zero ? Mwarabu na mafuta yake yote amejenga Hospitali gani ? Shule Gani ? Chuo gani ? Hapa Tanzania. Kaa chini ujiulize kwa nini waarabu hawawasaidii wapalestina ? Wao wanabaguana wao kwa wao sembuse wewe mwafrika. Niko Ujerumani wazungu wananiheshimu lakini wanaoniletea drama ni waturuki na waarabu waliokuja huku na kukataa shule na kushinda madrasa. Leo nina mwaka mmoja na nusu hapa ni production manager wanabaki kushangaa.