Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Naunga mkono hoja. Inawezekana imani ni ya kweli ila wazungu waliingiza mambo yao mengi ambayo hata hiyo biblia haina. Mfano idadi ya wake wa kuoa hakuna mahali popote si agano jipya au la kale inazungumzwa.
 

Unatumia biblia ipi ?

Towashi ni Nani ?
 
Zote dini si za Kwetu, zinatukuza utamaduni wao .
 


WAZUNGU WAKO HAO SIKILIZA WANAVYOKUAMBIA


View: https://youtu.be/ta0n-4jhAfU
 
S
Sijaisoma thread hata mwisho. Kichwa cha habari kimesheni ujumbe mzito.
Utapeli mtupu
 
Makampuni ya wazungu yanaibia nchi kivipi ? Je kuna migodi inalipa vizuri kuliko migodi ya Wazungu ? Wanaotorosha dhahabu na madini ni sisi watanzania tukishirikiana na wahindi, waarabu na serikali. Huyo Magufuli aliyekataa Wazungu alimrudisha Rostam na kumpa kiwanda cha ngozi morogoro na kumuahidi nafasi ya kugombea ubunge wa morogoro. Rostam huyo huyo ndiye aliyetetea mkataba wa DP world.Inauma sana tunampa bandari Mwarabu wakati hajajenga hata zahanati Tanzania. Umetembea na kuzunguka nchi au unaongea nadharia ndugu yangu. Amka katika usingizi wa kuswali swala tano na kujengewa msikiti. Dini gani ukiifata unakosa hata muda wa kufanya kazi. Unadhani watu wa unguja wameamua kuwa wavivu. Unaweza kuswali swala tano kila siku na kupiga kazi ?

Umeongelea maswala ya ulawiti umeshawahi kuishi uarabuni ? Huko ulawiti ni kitu cha kawaida sana. Maana mabinti wanatakiwa kuolewa mabikra na ukizini kesi. Kwa hio watu wanaponea na watoto wadogo wa kiume. Nimekuambia utafute 'Bacha Bazi' google na ulete report. Ukiishi Uarabuni miezi sita tu utaukana Uislamu. Mimi sitaki uhame dini ndugu yangu ila ninakuambia ukweli. Bora utambike mizimu ya nyumbani kwenu kuliko uislamu.

Mimi ninachokuomba ulete ni Taasisi gani au Shirika gani lilioanzishwa na mwarabu ambalo linatia ajira katika nchi yetu.Narudiakwa mara ya kumi: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
WAZUNGU WAKO HAO SIKILIZA WANAVYOKUAMBIA


View: https://youtu.be/ta0n-4jhAfU
Ndugu yangu kuna makampuni yanalipa vizuri kwa sababu wazungu wamewekeza hapo. Kuanzia TBL ina uwekezaji wa Abinbev,Twiga Cement ina Heidelberg Group. Naomba unitajia kampuni kubwa ambayo inalipa vizuri ina mwekezaji Muarabu ? Amka ndugu yangu unasikiliza propaganda za youtube. Wakati watu wanalipwa hadi milioni 20 kwa mwezi na hayo makampuni. Na zaidi ya hapo kuna watanzania walipata kazi Australia na Canada kwa kuwa alifanya kazi huko na wamepiga hatua kubwa sana. Mimi sitetei dini yangu naongea uhalisia ndio maana nakuomba ndugu yangu uniletee uhalisia.
Narudia tena kwa mara ya kumi na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Kuna watu wanalipwa vizuri , hiyo kampuni imesaidia kuchimba visima vingapi tu vijijini? Ni Yale Yale mzungu anasema waziwazi yaani mzungu anakwambia wazi hawezi kuwawacha muendelee wewe umekazania hadithi Za Heidelberg.
Hivi hiyo Heidelberg imemsaidia nini mwananchi wa kijijini ? Hata hayo maji ya kunywa wameshindwa kumpatia, bakia na propaganda Za wazungu wako . Unafikiri ungalizipata hizo pesa hata humu jf ungalionekana?😝😝😝
 

Wewe umeishi uarabini ya wapi ? Hizo hadithi Za kanisani ? Usidanganye watu . Ikiwa mwenge uarabuni , ukionekana unapotea wanakuondosha. Wewe husikilizi chochote lakini nakuwekea namna wanavyouliwa Iraq.


View: https://youtu.be/tvHhkR85_50?si=BaWA3bDEVqij65uJ
 
Hiyo Twiga Cement , mfuko ni bei gani wa saruji.?? Wakati wa Salmini kulikuwa na saruji ya chee kutoka Oman hapa Zanzibar, Nyerere akatulazimisha tukatize kununua saruji ile tununue hiyo ya ghali ya twiga. Wewe Itakuwa unachuki na DP kwa sababu tender haikupewa wazungu wenu ili kanisa lipate kula. Mpango wenu tumeushtukia.
 
Yaani wewe uko tayari ufirwe upewe milioni 20 na mzungu? Bakia na wazungu wako mfirane huko . Eti mnafurahi mumeolewa na mzungu . Mwenzako kaolewa na mzungu wa Heidelberg huyo


View: https://youtu.be/wzV82L1-kvo?si=QNwAMCDzPFK9YsnU
 
Yaani wewe uko tayari ufirwe upewe milioni 20 na mzungu? Bakia na wazungu wako mfirane huko . Eti mnafurahi mumeolewa na mzungu . Mwenzako kaolewa na mzungu wa Heidelberg huyo


View: https://youtu.be/wzV82L1-kvo?si=QNwAMCDzPFK9YsnU
We endelea kutukana mimi ndio unanifurahishaniopo ujerumani na wazungu naishinao vizuri tu. Na ninashukuru kwa ukatoliki wangu umenisaidia sana. Nikimaliza kuchukua madini huku nakuja kuwakamua waliolala kama nyinyi. We wendelea kukwepa mada.
Naomba unitajie Taasisi ambayoimeanzishwa na inaendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Nasubiri Majibu.
 
Kwa hiyo bora cement iletwa lkutoka oman au bora kiwanda kifunguliwe hapa watanzania wapate ajira ? Hivi unajua tatizo namba moja Tanzania ni nini ? Watu wanamaliza chuo kwa matumaini ya kufanikiwa kimaisha wanaishia kukosa ajora au kutoajiriwa. Mimi naongelea uhalisia angalia hata makampuni, Mzungu analipa vizuri kuliko Mchina, Mwarabu na Mhindi. Anetuheshimu na kutuchulikia kama binadamu katika sehemu za kazi ni Mzungu tu hapa Tanzania. Tafuta makampuni yanayolipa vizuri kuanzia Unilever mpaka TCC. Unampa mtu bandari wakati hajajenga hata zahanati,chuo au hospitali ? Unampa kwa sababu mnatukuza dini πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ . We endelea kupiga rakaa hizo ila nakushauri uende kutembelea saudia ukakae hata mwaka ukirudi utaanza kwenda kwa waganga na utaacha kuwa mwislamu maana ukihama utaona aibu. Usipoamka ukizeeka utaishia kushinda vijiwe vya kahawa. We jiulize kwa nini wanaokamatwa na unga uwanja wa ndege ni waislamu ?Wapo watu ni waarabu wa Tanzania ila wameshaaamka na mpaka gambe tunakunywa nao maana walienda makwao wakaona ubaguzi.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Ndugu yangu nabishana na wewe kwa sababu haujakaa uarabuni na haujui tamaduni zao. Unakuja na video za youtube hapa wakati mimi naongelea mambo yalivyo ground kwamba ni utamaduni wao kuanzia Pakistani mpaka Iraq. Huko ulawiti ni kitu cha kawaida sana. Maana mabinti wanatakiwa kuolewa mabikra na ukizini kesi. Kwa hio watu wanaponea na watoto wadogo wa kiume. Nimekuambia utafute 'Bacha Bazi' google na ulete report. Sitaki kuandika sana hapa .Ukiishi Uarabuni miezi sita tu utaukana Uislamu. Mimi sitaki uhame dini ndugu yangu ila ninakuambia ukweli. Bora utambike mizimu ya nyumbani kwenu kuliko uislamu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na nne : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Wewe endelea na Bwana wako wa Heidelberg akupe hiyo milioni 20 , Msiba mkubwa huu
 


Umechanganyikiwa mara napokea milioni20 , Mara niko Ujerumani, Domo jingi , Wewe endelea na kupokea milioni 20 huku mzungu akikutoa mwijiko. Mtoto si riziki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…