Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Naunga mkono hoja. Inawezekana imani ni ya kweli ila wazungu waliingiza mambo yao mengi ambayo hata hiyo biblia haina. Mfano idadi ya wake wa kuoa hakuna mahali popote si agano jipya au la kale inazungumzwa.
 
Mkuu imenibidi Nitafutie Biblia.Hichi ulichokileta hapa mbona hakipo "Mathayo 19:10-12Wanafunzi wake wakamwambia,mambo ya mtu na mkewe yakiwa hivyo,haifai kuoa 11:Lakini Yeye akawaambia,si wote wawezao kulipokea neno hili,ila wale waliojaliwa 12:Maana wako matowashi,waliozaliwa hali hiyo toka matumboni mwa mama Zao;tena wako matowashi waliofanywa na watu kuwa matowashi;tena wako matowashi waliojifanya kuwa matowashi kwa ajili ya ufalme wa Mbinguni.Aliwezaye kulipokea neno hili na alipokee.
NB:Towashi asili yake ni neno la kiajemi maana yake aliyehasiwa(hawezi tendo la ndoa)

Unatumia biblia ipi ?

Towashi ni Nani ?
 
Zote dini si za Kwetu, zinatukuza utamaduni wao .
 
Pole mfuasi wa mudi kwa maumivu unayopata kwa kucheza michezo ya mudi si masikhara toka hata hujaanza madrasa mpaka leo unapigwa tu mikuyenge
wjd-billboard-born-gay (1).jpg
 
We endelea kukwepa mada, inawezekana vipi unapiga rakaa katika dini ambayo waarabu (walioileta)wanabaguana wao kwa wao. Mimi naongelea ajira na kuikomboa jamii. Kuna waislamu wanafanya kazi KCMC na wamesomeshwa katika shule na vyuo vyuo vinavyofadhiliwa na wakristu.Nimesoma na waarabu shule inaitwa msolwa morogoro. Tulikuwa tunapikiwa kitimoto mara moja moja.wale jamaa mwisho wa siku walikuwa waislwamu jina. Wapo ambao walipata ufadhili wa kusoma marekani na ulaya kwa kudhaminiwa na wakristu. Walikubali ukweli nipo nao napiga nao gambe mpaka kesho. Wao wenyewe kwa midomo yao wanajua dini ilivyo. Maana hao waarabu walishatembelea ndugu zao Pakistan, Yemen na Oman. Walibaguliwa kutokana na ukoo wao na waliporudi Tanzania wazazi wao waliambiwa kuwa ndio maana mababu zao walikuja Tanzania. Narudia kwa mara ya Tisa "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
Ndugu yangu amka unadanganywa na Janat Firdaus. Naomba uniletee Chuo au Hospitali ilioanzishwa na kuendeshwa na waislamu.Kuendesha taasisi sio jambo dogo ndugu yangu. Nasubiri majibu kutoka kwako. Hata hospitali au chuo ili watanzania wapate ajira. Leta hilo tu ndugu yangu. Naubiri Jibu ndugu yangu ?


WAZUNGU WAKO HAO SIKILIZA WANAVYOKUAMBIA


View: https://youtu.be/ta0n-4jhAfU
 
S
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Sijaisoma thread hata mwisho. Kichwa cha habari kimesheni ujumbe mzito.
Utapeli mtupu
 
Hicho kisima mbona Hao wazungu hawakukijenga au walimwachia mwarabu ? Yaani Magufuli alivyokuwa akilia na Makampuni ya kuchimba dhahabu na namna walivyokuwa na bado wanaibia nchi wewe hujali. Hivi
Yo watoto wanavyofundishwa kufirana shuleni unaona bora mzungu, yaani mpaka bendera Za wasenge zinapeperushwa na wazungu hospitali wewe umevaa miwani meusi , unaona bora kufirwa na mzungu. Huo ni ugonjwa , nakuwachia mwenyewe
Makampuni ya wazungu yanaibia nchi kivipi ? Je kuna migodi inalipa vizuri kuliko migodi ya Wazungu ? Wanaotorosha dhahabu na madini ni sisi watanzania tukishirikiana na wahindi, waarabu na serikali. Huyo Magufuli aliyekataa Wazungu alimrudisha Rostam na kumpa kiwanda cha ngozi morogoro na kumuahidi nafasi ya kugombea ubunge wa morogoro. Rostam huyo huyo ndiye aliyetetea mkataba wa DP world.Inauma sana tunampa bandari Mwarabu wakati hajajenga hata zahanati Tanzania. Umetembea na kuzunguka nchi au unaongea nadharia ndugu yangu. Amka katika usingizi wa kuswali swala tano na kujengewa msikiti. Dini gani ukiifata unakosa hata muda wa kufanya kazi. Unadhani watu wa unguja wameamua kuwa wavivu. Unaweza kuswali swala tano kila siku na kupiga kazi ?

Umeongelea maswala ya ulawiti umeshawahi kuishi uarabuni ? Huko ulawiti ni kitu cha kawaida sana. Maana mabinti wanatakiwa kuolewa mabikra na ukizini kesi. Kwa hio watu wanaponea na watoto wadogo wa kiume. Nimekuambia utafute 'Bacha Bazi' google na ulete report. Ukiishi Uarabuni miezi sita tu utaukana Uislamu. Mimi sitaki uhame dini ndugu yangu ila ninakuambia ukweli. Bora utambike mizimu ya nyumbani kwenu kuliko uislamu.

Mimi ninachokuomba ulete ni Taasisi gani au Shirika gani lilioanzishwa na mwarabu ambalo linatia ajira katika nchi yetu.Narudiakwa mara ya kumi: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
WAZUNGU WAKO HAO SIKILIZA WANAVYOKUAMBIA


View: https://youtu.be/ta0n-4jhAfU

Ndugu yangu kuna makampuni yanalipa vizuri kwa sababu wazungu wamewekeza hapo. Kuanzia TBL ina uwekezaji wa Abinbev,Twiga Cement ina Heidelberg Group. Naomba unitajia kampuni kubwa ambayo inalipa vizuri ina mwekezaji Muarabu ? Amka ndugu yangu unasikiliza propaganda za youtube. Wakati watu wanalipwa hadi milioni 20 kwa mwezi na hayo makampuni. Na zaidi ya hapo kuna watanzania walipata kazi Australia na Canada kwa kuwa alifanya kazi huko na wamepiga hatua kubwa sana. Mimi sitetei dini yangu naongea uhalisia ndio maana nakuomba ndugu yangu uniletee uhalisia.
Narudia tena kwa mara ya kumi na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Ndugu yangu kuna makampuni yanalipa vizuri kwa sababu wazungu wamewekeza hapo. Kuanzia TBL ina uwekezaji wa Abinbev,Twiga Cement ina Heidelberg Group. Naomba unitajia kampuni kubwa ambayo inalipa vizuri ina mwekezaji Muarabu ? Amka ndugu yangu unasikiliza propaganda za youtube. Wakati watu wanalipwa hadi milioni 20 kwa mwezi na hayo makampuni. Na zaidi ya hapo kuna watanzania walipata kazi Australia na Canada kwa kuwa alifanya kazi huko na wamepiga hatua kubwa sana. Mimi sitetei dini yangu naongea uhalisia ndio maana nakuomba ndugu yangu uniletee uhalisia.
Narudia tena kwa mara ya kumi na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
Kuna watu wanalipwa vizuri , hiyo kampuni imesaidia kuchimba visima vingapi tu vijijini? Ni Yale Yale mzungu anasema waziwazi yaani mzungu anakwambia wazi hawezi kuwawacha muendelee wewe umekazania hadithi Za Heidelberg.
Hivi hiyo Heidelberg imemsaidia nini mwananchi wa kijijini ? Hata hayo maji ya kunywa wameshindwa kumpatia, bakia na propaganda Za wazungu wako . Unafikiri ungalizipata hizo pesa hata humu jf ungalionekana?😝😝😝
 
Makampuni ya wazungu yanaibia nchi kivipi ? Je kuna migodi inalipa vizuri kuliko migodi ya Wazungu ? Wanaotorosha dhahabu na madini ni sisi watanzania tukishirikiana na wahindi, waarabu na serikali. Huyo Magufuli aliyekataa Wazungu alimrudisha Rostam na kumpa kiwanda cha ngozi morogoro na kumuahidi nafasi ya kugombea ubunge wa morogoro. Rostam huyo huyo ndiye aliyetetea mkataba wa DP world.Inauma sana tunampa bandari Mwarabu wakati hajajenga hata zahanati Tanzania. Umetembea na kuzunguka nchi au unaongea nadharia ndugu yangu. Amka katika usingizi wa kuswali swala tano na kujengewa msikiti. Dini gani ukiifata unakosa hata muda wa kufanya kazi. Unadhani watu wa unguja wameamua kuwa wavivu. Unaweza kuswali swala tano kila siku na kupiga kazi ?

Umeongelea maswala ya ulawiti umeshawahi kuishi uarabuni ? Huko ulawiti ni kitu cha kawaida sana. Maana mabinti wanatakiwa kuolewa mabikra na ukizini kesi. Kwa hio watu wanaponea na watoto wadogo wa kiume. Nimekuambia utafute 'Bacha Bazi' google na ulete report. Ukiishi Uarabuni miezi sita tu utaukana Uislamu. Mimi sitaki uhame dini ndugu yangu ila ninakuambia ukweli. Bora utambike mizimu ya nyumbani kwenu kuliko uislamu.

Mimi ninachokuomba ulete ni Taasisi gani au Shirika gani lilioanzishwa na mwarabu ambalo linatia ajira katika nchi yetu.Narudiakwa mara ya kumi: "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Wewe umeishi uarabini ya wapi ? Hizo hadithi Za kanisani ? Usidanganye watu . Ikiwa mwenge uarabuni , ukionekana unapotea wanakuondosha. Wewe husikilizi chochote lakini nakuwekea namna wanavyouliwa Iraq.


View: https://youtu.be/tvHhkR85_50?si=BaWA3bDEVqij65uJ
 
Ndugu yangu kuna makampuni yanalipa vizuri kwa sababu wazungu wamewekeza hapo. Kuanzia TBL ina uwekezaji wa Abinbev,Twiga Cement ina Heidelberg Group. Naomba unitajia kampuni kubwa ambayo inalipa vizuri ina mwekezaji Muarabu ? Amka ndugu yangu unasikiliza propaganda za youtube. Wakati watu wanalipwa hadi milioni 20 kwa mwezi na hayo makampuni. Na zaidi ya hapo kuna watanzania walipata kazi Australia na Canada kwa kuwa alifanya kazi huko na wamepiga hatua kubwa sana. Mimi sitetei dini yangu naongea uhalisia ndio maana nakuomba ndugu yangu uniletee uhalisia.
Narudia tena kwa mara ya kumi na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
Hiyo Twiga Cement , mfuko ni bei gani wa saruji.?? Wakati wa Salmini kulikuwa na saruji ya chee kutoka Oman hapa Zanzibar, Nyerere akatulazimisha tukatize kununua saruji ile tununue hiyo ya ghali ya twiga. Wewe Itakuwa unachuki na DP kwa sababu tender haikupewa wazungu wenu ili kanisa lipate kula. Mpango wenu tumeushtukia.
 
Ndugu yangu kuna makampuni yanalipa vizuri kwa sababu wazungu wamewekeza hapo. Kuanzia TBL ina uwekezaji wa Abinbev,Twiga Cement ina Heidelberg Group. Naomba unitajia kampuni kubwa ambayo inalipa vizuri ina mwekezaji Muarabu ? Amka ndugu yangu unasikiliza propaganda za youtube. Wakati watu wanalipwa hadi milioni 20 kwa mwezi na hayo makampuni. Na zaidi ya hapo kuna watanzania walipata kazi Australia na Canada kwa kuwa alifanya kazi huko na wamepiga hatua kubwa sana. Mimi sitetei dini yangu naongea uhalisia ndio maana nakuomba ndugu yangu uniletee uhalisia.
Narudia tena kwa mara ya kumi na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
Yaani wewe uko tayari ufirwe upewe milioni 20 na mzungu? Bakia na wazungu wako mfirane huko . Eti mnafurahi mumeolewa na mzungu . Mwenzako kaolewa na mzungu wa Heidelberg huyo


View: https://youtu.be/wzV82L1-kvo?si=QNwAMCDzPFK9YsnU
 
Yaani wewe uko tayari ufirwe upewe milioni 20 na mzungu? Bakia na wazungu wako mfirane huko . Eti mnafurahi mumeolewa na mzungu . Mwenzako kaolewa na mzungu wa Heidelberg huyo


View: https://youtu.be/wzV82L1-kvo?si=QNwAMCDzPFK9YsnU

We endelea kutukana mimi ndio unanifurahishaniopo ujerumani na wazungu naishinao vizuri tu. Na ninashukuru kwa ukatoliki wangu umenisaidia sana. Nikimaliza kuchukua madini huku nakuja kuwakamua waliolala kama nyinyi. We wendelea kukwepa mada.
Naomba unitajie Taasisi ambayoimeanzishwa na inaendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Nasubiri Majibu.
 
Hiyo Twiga Cement , mfuko ni bei gani wa saruji.?? Wakati wa Salmini kulikuwa na saruji ya chee kutoka Oman hapa Zanzibar, Nyerere akatulazimisha tukatize kununua saruji ile tununue hiyo ya ghali ya twiga. Wewe Itakuwa unachuki na DP kwa sababu tender haikupewa wazungu wenu ili kanisa lipate kula. Mpango wenu tumeushtukia.
Kwa hiyo bora cement iletwa lkutoka oman au bora kiwanda kifunguliwe hapa watanzania wapate ajira ? Hivi unajua tatizo namba moja Tanzania ni nini ? Watu wanamaliza chuo kwa matumaini ya kufanikiwa kimaisha wanaishia kukosa ajora au kutoajiriwa. Mimi naongelea uhalisia angalia hata makampuni, Mzungu analipa vizuri kuliko Mchina, Mwarabu na Mhindi. Anetuheshimu na kutuchulikia kama binadamu katika sehemu za kazi ni Mzungu tu hapa Tanzania. Tafuta makampuni yanayolipa vizuri kuanzia Unilever mpaka TCC. Unampa mtu bandari wakati hajajenga hata zahanati,chuo au hospitali ? Unampa kwa sababu mnatukuza dini 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 . We endelea kupiga rakaa hizo ila nakushauri uende kutembelea saudia ukakae hata mwaka ukirudi utaanza kwenda kwa waganga na utaacha kuwa mwislamu maana ukihama utaona aibu. Usipoamka ukizeeka utaishia kushinda vijiwe vya kahawa. We jiulize kwa nini wanaokamatwa na unga uwanja wa ndege ni waislamu ?Wapo watu ni waarabu wa Tanzania ila wameshaaamka na mpaka gambe tunakunywa nao maana walienda makwao wakaona ubaguzi.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Wewe umeishi uarabini ya wapi ? Hizo hadithi Za kanisani ? Usidanganye watu . Ikiwa mwenge uarabuni , ukionekana unapotea wanakuondosha. Wewe husikilizi chochote lakini nakuwekea namna wanavyouliwa Iraq.


View: https://youtu.be/tvHhkR85_50?si=BaWA3bDEVqij65uJ

Ndugu yangu nabishana na wewe kwa sababu haujakaa uarabuni na haujui tamaduni zao. Unakuja na video za youtube hapa wakati mimi naongelea mambo yalivyo ground kwamba ni utamaduni wao kuanzia Pakistani mpaka Iraq. Huko ulawiti ni kitu cha kawaida sana. Maana mabinti wanatakiwa kuolewa mabikra na ukizini kesi. Kwa hio watu wanaponea na watoto wadogo wa kiume. Nimekuambia utafute 'Bacha Bazi' google na ulete report. Sitaki kuandika sana hapa .Ukiishi Uarabuni miezi sita tu utaukana Uislamu. Mimi sitaki uhame dini ndugu yangu ila ninakuambia ukweli. Bora utambike mizimu ya nyumbani kwenu kuliko uislamu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na nne : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
We endelea kutukana mimi ndio unanifurahishaniopo ujerumani na wazungu naishinao vizuri tu. Na ninashukuru kwa ukatoliki wangu umenisaidia sana. Nikimaliza kuchukua madini huku nakuja kuwakamua waliolala kama nyinyi. We wendelea kukwepa mada.
Naomba unitajie Taasisi ambayoimeanzishwa na inaendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia." Nasubiri Majibu.
Wewe endelea na Bwana wako wa Heidelberg akupe hiyo milioni 20 , Msiba mkubwa huu
 
Ndugu yangu nabishana na wewe kwa sababu haujakaa uarabuni na haujui tamaduni zao. Unakuja na video za youtube hapa wakati mimi naongelea mambo yalivyo ground kwamba ni utamaduni wao kuanzia Pakistani mpaka Iraq. Huko ulawiti ni kitu cha kawaida sana. Maana mabinti wanatakiwa kuolewa mabikra na ukizini kesi. Kwa hio watu wanaponea na watoto wadogo wa kiume. Nimekuambia utafute 'Bacha Bazi' google na ulete report. Sitaki kuandika sana hapa .Ukiishi Uarabuni miezi sita tu utaukana Uislamu. Mimi sitaki uhame dini ndugu yangu ila ninakuambia ukweli. Bora utambike mizimu ya nyumbani kwenu kuliko uislamu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na nne : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
[/QUOT


Umechanganyikiwa mara napokea milioni20 , Mara niko Ujerumani, Domo jingi , Wewe endelea na kupokea milioni 20 huku mzungu akikutoa mwijiko. Mtoto si riziki
 
Back
Top Bottom