Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Kwa hiyo bora cement iletwa lkutoka oman au bora kiwanda kifunguliwe hapa watanzania wapate ajira ? Hivi unajua tatizo namba moja Tanzania ni nini ? Watu wanamaliza chuo kwa matumaini ya kufanikiwa kimaisha wanaishia kukosa ajora au kutoajiriwa. Mimi naongelea uhalisia angalia hata makampuni, Mzungu analipa vizuri kuliko Mchina, Mwarabu na Mhindi. Anetuheshimu na kutuchulikia kama binadamu katika sehemu za kazi ni Mzungu tu hapa Tanzania. Tafuta makampuni yanayolipa vizuri kuanzia Unilever mpaka TCC. Unampa mtu bandari wakati hajajenga hata zahanati,chuo au hospitali ? Unampa kwa sababu mnatukuza dini 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 . We endelea kupiga rakaa hizo ila nakushauri uende kutembelea saudia ukakae hata mwaka ukirudi utaanza kwenda kwa waganga na utaacha kuwa mwislamu maana ukihama utaona aibu. Usipoamka ukizeeka utaishia kushinda vijiwe vya kahawa. We jiulize kwa nini wanaokamatwa na unga uwanja wa ndege ni waislamu ?Wapo watu ni waarabu wa Tanzania ila wameshaaamka na mpaka gambe tunakunywa nao maana walienda makwao wakaona ubaguzi.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
Hicho kiwanda chako kipo kwanini unalia vijana hawana ajira , hizo Taasisi zenu zimeajiri wangapi? Mbona inapoletwa DP mnapiga kelele kampuni ya waarabu ? Kanisa mtalia sana na matamko yenu ndio imetoka, Nchi mliifisidi sana hatuitoi tena kwa kanisa
 
Hicho kiwanda chako kipo kwanini unalia vijana hawana ajira , hizo Taasisi zenu zimeajiri wangapi? Mbona inapoletwa DP mnapiga kelele kampuni ya waarabu ? Kanisa mtalia sana na matamko yenu ndio imetoka, Nchi mliifisidi sana hatuitoi tena kwa kanisa
Naongelea ajira zenye malipo mazuri na mazingira mazuri ya kazi. Watu GGM walikuwa wanalipiwa hadi likizo za paris na kampuni. Hao DP world wataishia kuwajengea wafanyakazi msikiti na kuwalipa vibaya. Haujui mazingira ya kazi inaonekana haujazunguka ndugu yangu. Taasisi zetu zimeajiri watu wengi tu, na zimezalisha watuamnbao wako huko duniani wanaipeperusha bendera vizuri tu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na nne : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Umechanganyikiwa mara napokea milioni20 , Mara niko Ujerumani, Domo jingi , Wewe endelea na kupokea milioni 20 huku mzungu akikutoa mwijiko. Mtoto si riziki
Sijasema napokea milioni 20 mimi nipo ujerumani najua watu wameajiriwa kazika mashirika na makampuni niyotaja kuwa wanalipwa njema sana. Na wana mazingira mazuri ya kazi nilipofika huku ndio nilipokuja kujua kwa nini utu na ubinadamu mbele ya kila kitu. Mimi sina mdomo mwingi maana mimi ninachohitaji ni kuniambia faida ya uislamu na waarabu hapa Tanzania.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na tano : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Wewe endelea na Bwana wako wa Heidelberg akupe hiyo milioni 20 , Msiba mkubwa huu
Nasubiri majibu ndugu yangu maana unakwepa swali. Amka ndugu yangu kulipiwa mahari hakukusaidii ufanikiwe.Kupewa nyama ya ngamia Eid haisaidii. Kujengewa msikiti na kuchimbiwa maji ya kutawadha hakukusaidii chochote.
Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?
Mtumwa ni mtumwa tu shile zote za kikristu zilijengwa kwaajili ya ukritu ila kwa ujinga wako unaona ukristu ni bora zaidi kuliko uislam,kenge mweupe wewe!!
 
Ukristo uliingizwa na wazungu Afrika kwa mara ya kwanza katika karne ya 1 AD Misri na Tunisia na baadae kuenea kaskazini. Karne ya 4 AD Ethiopia iliufanya ukristo hata kuwa dini ya kitaifa chini ya mfalme Ezana kwenye himaya ya Aksumite.

Lakini umeenea zaidi Afrika Chini ya jangwa la Sahara ikiwemo Tanganyika kwenye karne ya 15 chini ya wamisionari waliokuwa wanakuja kututawala, kututumikisha na kutuibia mali zetu ikiwa ni njia nzuri ya kutubadilisha kisiasa, kifikra na kitamaduni( wakati wa ukuaji wa himaya ya kirumi), kuenezwa ktk njia zote zilizokuwa zinafanya biashara pamoja na za watumwa.

Machifu na viongozi wetu walikumbatia ukristo kwa sababu ya kujenga urafiki na wazungu au kwa nguvu lakini lengo la wazungu likiwa ni kutubadilisha tuwe na imani kama yao ili tutawaliwe kirahisi kifikra na kiuchumi, biblia wakiishikilia mkono mmoja lakini bunduki mkono mwingine ukifanya masihara nao aliyefanya masihara na hao watakatifu, basi jua kwako imeenda!

Ambacho hakikubadilika ktk ukristo wa leo ni kutawala na upigaji. Mchungaji yuko juu ya kila mtu na hata juu ya familia za watu. Wakiamua wachungaji baba mwenye familia jua kwako imeenda Utakalolisema kama ushauri kwa mkeo atakuchenjia ndani mpaka utakoma hata kama ukiuliza mbona hela zote za familia unapeleka kanisani. Zitapelekwa, mchungaji ataambiwa unakatalia hela na hakuna kuongea na wewe wiki nzima.

Mahubiri mengine ya kitapeli na yanajulikana kabisa huu ni utapeli lakini inahalalishwa na watu na serikali inakaa kimya kabisa watu wakiibiwa, na hata kuingilia maamuzi ya kiafya katika familia za watu kwa maombi yasiyokuwa na miguu wala mikono. Kwa utawala huu walionao leo wananunuliwa magari ya kifahari, wanalishwa mahotelini kifahari, watoto wao wanasomeshwa shule za maana na wengine wanajengewa nyumba za kifalme kutoka kwa waumini wao ambao wengi hata mlo mmoja kwa siku ni shida.

Ukristo kama ilivyokuwa nia ya wakoloni kuja kutupiga na kuzineemesha kiutajiri nchi za ulaya, leo wakati nchi hizo zimeshakuwa matajiri, wachungaji na viongozi wa kidini wamekuwa ni wapigaji wa wananchi tena bila huruma au aibu. Baadae tutakuja kuona wakitosheka kwa kula na kusaza wachungaji ndio watakuwa maraisi wa nchi zetu baada ya mafisadi kuchoka maana ndio wenye hela.

Kwa hiyo mtu asinidanganye kunisomea kifungu hiki cha neno ktk bibilia kinasema hili au lile. Nawajua.
Mnapambania kutukuza utamaduni wa watu weupe niwaamini ili mnitawale kiuchumi na kifikra.

Na mara nyingi hata serikali nyingi za Africa zunajua tunapigwa, ila wanazisaidia serikali nyingi "KUTUNZA AMANI, ILI MAFISADI NAO WAENDELEE KULA KWA AMANI" na sio kwa maslahi ya falimia yoyote. Kama unabisha nitafutie kanisa lolote lili kubwa kama utaona mzee wa kanisa ni muuza mchicha. Cheo chako kanisani kitategemea kitita cha hela kilichoko mfukoni mwako na ndiye utakayekuwa na sauti kanisani.

Wanaitwa mihimili ya kanisa. Wachina wanawapa watoto wao majina ya kichina, wahindi ya kihindi, wajapani ya kijapani lakini usipompa mtoto wako jina la kikoloni basi utaitwa mpagani, neno ambalo nia yake ni kudhalilisha imani za wazazi wetu ili upuuzi wao uendelee kushika mizizi wa kutuibia fikra na mali zetu. Walitutenganisha na wazazi kuwapeleka utumwani bila kujali familia zao zitaishije huko nyuma na leo wachungaji wengine ndio vinara wa kuvuruga familia za watu. Yaleyale. Mvimbishie kichwa mchungaji uone! Kudadeki. Atakuhibiri mpaka masiko yako yang'oke kichwani. Kisa umtii tu. Simtii yoyote!

Kwa leo Ukristo ni kitu kinachosikitisha kukiona!
Uislamu na Ukristo ni kutukuza tamaduni za watu weupe, Waarabu na Wazungu, tujitafakari sana, ndugu yangu usiangalie upande mmoja bali angalia pande zote.
 
Mtumwa ni mtumwa tu shile zote za kikristu zilijengwa kwaajili ya ukritu ila kwa ujinga wako unaona ukristu ni bora zaidi kuliko uislam,kenge mweupe wewe!!
Mimi nashukuru kwa kuniita Kenge. Mimi hoja yangu ni kuwa mzungub amefanyana anaendelea kufanya makubwa Tanzania kuliko Mwarabu. Mwarabu naishia kujenga misikiti. Ingekuwa wazungu wanngekjenga makanisa tu bila vyuo, hospitali na shule tungefika hapa. Mimi namkubali mzungu maana nipo nao huku ujerumani Bavaria specifically. Nyerere angeishi nao tungefika mbali sana. Tunakaa na kudanganywa makaburu makaburu. Ukitaka kufanikiwa muige aliyetoboa na siyo kumpiga vita.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Nasubiri majibu ndugu yangu maana unakwepa swali. Amka ndugu yangu kulipiwa mahari hakukusaidii ufanikiwe.Kupewa nyama ya ngamia Eid haisaidii. Kujengewa msikiti na kuchimbiwa maji ya kutawadha hakukusaidii chochote.
Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."


Hizo taasisi zako zimesaidia nini Kenya juzi tu hapa wameuliwa watu na kuharibiwa mji ??

Hakuna mzungu atakusaidia kijana , wewe huko Ujerumani umepata kazi ya maana basi ni kusafisha vyoo au kuwavisha pampers wazee usimdanganye mtu . Sisi tumeishi ujerumani pia tunakujuwa au kubeba Box. pale Berlin wa tz wengi wakibeba maboksi kwenye ile kampuni ya Mthailand ya kuuza ma elctronics , Tv na music system.

Wakoloni wangaliijenga walau nchi moja tu ya Kiafrika tukaona lakini zote kama alivyoziita Trump ni shit hole

Wacha kuupigia debe ukatoliki , huo ndio unaonyonya kabisa
 
Mimi nashukuru kwa kuniita Kenge. Mimi hoja yangu ni kuwa mzungub amefanyana anaendelea kufanya makubwa Tanzania kuliko Mwarabu. Mwarabu naishia kujenga misikiti. Ingekuwa wazungu wanngekjenga makanisa tu bila vyuo, hospitali na shule tungefika hapa. Mimi namkubali mzungu maana nipo nao huku ujerumani Bavaria specifically. Nyerere angeishi nao tungefika mbali sana. Tunakaa na kudanganywa makaburu makaburu. Ukitaka kufanikiwa muige aliyetoboa na siyo kumpiga vita.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Nchi gani ya kiafrika imeendelezwa na taasisi zako za wazungu ?? Mkoloni aendeleza Afrika tokea lini ??
 
Nasubiri majibu ndugu yangu maana unakwepa swali. Amka ndugu yangu kulipiwa mahari hakukusaidii ufanikiwe.Kupewa nyama ya ngamia Eid haisaidii. Kujengewa msikiti na kuchimbiwa maji ya kutawadha hakukusaidii chochote.
Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na sita : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Njoo huku Zanzibar nitakuonyesha , Hizo hospitali hakujenga muingereza , barabara , bandari, uwanja wa ndege , mashule , hakuna Mzungu alichokifanya . kulikuwa pia na reli muingereza kaiondosha. ule mji mkongwe haukujengwa na Muingereza. Umeme wa kwanza east africa ulikuwepo zanzibar.

Kwa taarifa yako hata taa za barabarani zilikuwepo Zanzibar kwanza kabla ya huko kwa mabwana zako London
 
Mimi nashukuru kwa kuniita Kenge. Mimi hoja yangu ni kuwa mzungub amefanyana anaendelea kufanya makubwa Tanzania kuliko Mwarabu. Mwarabu naishia kujenga misikiti. Ingekuwa wazungu wanngekjenga makanisa tu bila vyuo, hospitali na shule tungefika hapa. Mimi namkubali mzungu maana nipo nao huku ujerumani Bavaria specifically. Nyerere angeishi nao tungefika mbali sana. Tunakaa na kudanganywa makaburu makaburu. Ukitaka kufanikiwa muige aliyetoboa na siyo kumpiga vita.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Makubwa ya Mzungu ni haya ya kutuletea ushoga , unaona raha unapata pesa


View: https://youtu.be/EFuEj9S5VZg
 
Mtu mweupe na mwarabu nani bora. Maana kuna mmoja anaishia kujenga misikiti akijitahidi ataweka kisima cha maji kwa ajili ya kutawadha. Lakini kuna mwingine amejenga mashule, mahospitali na vyuo nchini kwetu. Nasubiri Jibu ndugu yangu ?
Kisima cha kutawadha..... hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa.
 
Kisima cha kutawadha..... hahahaha 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hahaaaaaaaaaaaa.

Huyo jamaa ni mkatoliki analia Bandari kupewa DP , pesa ya bure haipo tena kwa kanisa , wamebaki kuoa ma Tamko tu na kutuletea propaganda za mzungu ni bora .

Ruzuku haipo tena na kanisa linakosa ruzuku za wateja wake , kwani wengi wameshituka wanalikimbia kanisa
 
Huyo jamaa ni mkatoliki analia Bandari kupewa DP , pesa ya bure haipo tena kwa kanisa , wamebaki kuoa ma Tamko tu na kutuletea propaganda za mzungu ni bora .

Ruzuku haipo tena na kanisa linakosa ruzuku za wateja wake , kwani wengi wameshituka wanalikimbia kanisa
Aah kumbe.
 
Huyu muungwana ana hoja ebu asikilizwe, kiukwel ukwel ni mchungu lkn ni lazma tukubali ukwel ukristo na uislam ni njia tu zilizotumika kutengeneza njia za kututawala lkn kiundani Kuna utumwa ndani yake,
 
Hizo taasisi zako zimesaidia nini Kenya juzi tu hapa wameuliwa watu na kuharibiwa mji ??

Hakuna mzungu atakusaidia kijana , wewe huko Ujerumani umepata kazi ya maana basi ni kusafisha vyoo au kuwavisha pampers wazee usimdanganye mtu . Sisi tumeishi ujerumani pia tunakujuwa au kubeba Box. pale Berlin wa tz wengi wakibeba maboksi kwenye ile kampuni ya Mthailand ya kuuza ma elctronics , Tv na music system.

Wakoloni wangaliijenga walau nchi moja tu ya Kiafrika tukaona lakini zote kama alivyoziita Trump ni shit hole

Wacha kuupigia debe ukatoliki , huo ndio unaonyonya kabisa
Ndugu yangu mimi sipigii debe naongea uhalisia ninalinganisha waarabu na wazungu. Mimi nimeshatoa mfano wa KCMC.Hakuna taasisi iliyojengwa nna inaendeshwa na waarabu Tanzania. Hospitali , chuo hakuna. Nipo Continental Ingolstadt kama production manager. Wazungu wamenisaidia sana na walio chini yangu wananiheshimu. Siweza kusema hivyo kwa waarabu, wahindi na wachina.Zunguka dunia ndugu yangu utajifunza mengi. Ukatoliki haujaninyonya huku ujerumani ukijisajili kama mkristu unalipa kodi ya kanisa. Kila mshahara wangu nakatwa kodi ya kanisa. Na leo mapema nimeenda misa ya kwanza kabisa na ndugu zangu. We endelea kuwaita wazungu wanyonyaji wakati nchi yetu inanyonwa na wahindi, waarabu na wachina.
Nani aje kujenga nchi afrika amka ndugu yangu angalia Serikali inavyotapanya fedha. Unasubiri uokolewe ,ndio maana wakenya wametuzidi. Sisi baada ya kuwaiga mabepari tumewaiga wajamaa. Matokeo yake ndio haya tunayoyaona leo.Ujerumani kuna hitajikubwa ssna la skilled laboiur kama una taaluma ni inbox nikupe mchongo wakazi wanahitajika sana watu wa IT. Sikatai nimewakuta wabeba box wengi huku na wengi wao wamekuja huku kwa njia ya ndoa. Huku mimi nimekuja kwa ajili ya shule na ndio maana nipo hapa nilipo.
 
Huyo jamaa ni mkatoliki analia Bandari kupewa DP , pesa ya bure haipo tena kwa kanisa , wamebaki kuoa ma Tamko tu na kutuletea propaganda za mzungu ni bora .

Ruzuku haipo tena na kanisa linakosa ruzuku za wateja wake , kwani wengi wameshituka wanalikimbia kanisa
Mimi siliiliii bandari kupewa waarabu in fact ninachoomba tuuze kila kitu tuje kuwa kama Kongo maana nikirudi ndio nchi itakuwa katika mazingira mazuri ya kuwakamua mliolala. In fact mama anatusaidia sana ambao tunataka kuja kuwekeza Tanzania kwa kufanya maisha yawe magumu. Maana mtu akiaacha kazi mwingine anakuja chap ndani ya masaa.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na saba : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Back
Top Bottom