Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Ukristo ni kutukuza utamaduni wa watu weupe, tujitafakari sana

Njoo huku Zanzibar nitakuonyesha , Hizo hospitali hakujenga muingereza , barabara , bandari, uwanja wa ndege , mashule , hakuna Mzungu alichokifanya . kulikuwa pia na reli muingereza kaiondosha. ule mji mkongwe haukujengwa na Muingereza. Umeme wa kwanza east africa ulikuwepo zanzibar.

Kwa taarifa yako hata taa za barabarani zilikuwepo Zanzibar kwanza kabla ya huko kwa mabwana zako London
Sasa ndugu yangu mimi nimeongelea Tanzania maana tumempa mwarabu Bandari, Kiwanja cha ndege KIA, Serengeti, Loliondo n.k Yeye amefanya nini ? Nasubiri majibu ndugu yangu.


Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na nane : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Makubwa ya Mzungu ni haya ya kutuletea ushoga , unaona raha unapata pesa


View: https://youtu.be/EFuEj9S5VZg

Naomba nikuulize ushoga umetapakaa wapi Zanzibar au Bara ? Nimekuambia nenda ka-google "Bacha Bazi" na ulete mrejesho hapa naona upo kimya. Amka ndugu yanbu unakesha na rakaa usiku na mchana bora uanze kuabudu mizimu ya nyumbani kwenu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na tisa : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Naomba nikuulize ushoga umetapakaa wapi Zanzibar au Bara ? Nimekuambia nenda ka-google "Bacha Bazi" na ulete mrejesho hapa naona upo kimya. Amka ndugu yanbu unakesha na rakaa usiku na mchana bora uanze kuabudu mizimu ya nyumbani kwenu.
Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na tisa : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Kuhusu ushoga nyinyi mpaka Mna Nabii Shoga, Sasa nikuulize hivi Nabii Tito ametokea wapi ?Mzungu sna Taasisi ipi ya maana hapa Tz zaidi ya wizi. Hivi Kampuni ya maana unaweza ku invest Tz , msikilize Rostam Aziz anavyosema wewe mpenda ushoga


 
Sasa ndugu yangu mimi nimeongelea Tanzania maana tumempa mwarabu Bandari, Kiwanja cha ndege KIA, Serengeti, Loliondo n.k Yeye amefanya nini ? Nasubiri majibu ndugu yangu.


Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya kumi na nane : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Si mmempa juzi unataka afanye miujiza , miaka yote hiyo kwani nyinyi mlifanya nini na hao wazungu wako mashoga ??

Hao mashoga wako wa kizungu hata kisima cha maji ya kunywa huko hospitali alikojenga kashindwa kuchimba
 
Ndugu yangu mimi sipigii debe naongea uhalisia ninalinganisha waarabu na wazungu. Mimi nimeshatoa mfano wa KCMC.Hakuna taasisi iliyojengwa nna inaendeshwa na waarabu Tanzania. Hospitali , chuo hakuna. Nipo Continental Ingolstadt kama production manager. Wazungu wamenisaidia sana na walio chini yangu wananiheshimu. Siweza kusema hivyo kwa waarabu, wahindi na wachina.Zunguka dunia ndugu yangu utajifunza mengi. Ukatoliki haujaninyonya huku ujerumani ukijisajili kama mkristu unalipa kodi ya kanisa. Kila mshahara wangu nakatwa kodi ya kanisa. Na leo mapema nimeenda misa ya kwanza kabisa na ndugu zangu. We endelea kuwaita wazungu wanyonyaji wakati nchi yetu inanyonwa na wahindi, waarabu na wachina.
Nani aje kujenga nchi afrika amka ndugu yangu angalia Serikali inavyotapanya fedha. Unasubiri uokolewe ,ndio maana wakenya wametuzidi. Sisi baada ya kuwaiga mabepari tumewaiga wajamaa. Matokeo yake ndio haya tunayoyaona leo.Ujerumani kuna hitajikubwa ssna la skilled laboiur kama una taaluma ni inbox nikupe mchongo wakazi wanahitajika sana watu wa IT. Sikatai nimewakuta wabeba box wengi huku na wengi wao wamekuja huku kwa njia ya ndoa. Huku mimi nimekuja kwa ajili ya shule na ndio maana nipo hapa nilipo.

Hiyo taasisi yako ya KCMC soma hapa namna inavyoendeshwa mnalazimisha watu kusali kikatoliki

Mkurugenzi Mkuu KCMC akiri KCMC kugubikwa na Ukabila, Udini na Mahaba
 
Nchi gani ya kiafrika imeendelezwa na taasisi zako za wazungu ?? Mkoloni aendeleza Afrika tokea lini ??
Ndugu yangu hapa tanzania kuna mtu analipa zaidi ya Mzungu ? Naomba ujitafakari hadi Wachina na uchumi wao bado wanashindwa kufikia wazungu katika mazingira ya kazi na malipo. Amka ndugu yangu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Kuhusu ushoga nyinyi mpaka Mna Nabii Shoga, Sasa nikuulize hivi Nabii Tito ametokea wapi ?Mzungu sna Taasisi ipi ya maana hapa Tz zaidi ya wizi. Hivi Kampuni ya maana unaweza ku invest Tz , msikilize Rostam Aziz anavyosema wewe mpenda ushoga


View attachment 3084230
Mbona Twiga Cement wapo, TBL, Unilever , TCC n.k .Bado kuna makampuni mengi sana malipo yapo poa katika sekta ya malipo na mazingira ya kazi. Unasema wanaibia hii nchi mbona wanalipa wafanyakazi wao vizuri na wana mazingira poa ya kazi. Hivi unajua wahindi na waarabu wanalipwa ruzuku kiasi gani na serikali? Mbali na hivyo wanalipwaa ruzuku huku wanatoa mishahara ya laki tatu kwa mwezi 😂 😂 😂. Serikali inakumbatia watu ambao hawana muda na sisi. Tukitaka kufika mbali lazima ztuwape kipaumbele walio na maslahi na sisi.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Si mmempa juzi unataka afanye miujiza , miaka yote hiyo kwani nyinyi mlifanya nini na hao wazungu wako mashoga ??

Hao mashoga wako wa kizungu hata kisima cha maji ya kunywa huko hospitali alikojenga kashindwa kuchimba
We jamaa hii nchi ukiangalia makampuni yanayolipa vizuri ni ya Mzungu. Hata wewe hao ulipo ukipata nafasi ya kazi kwa Mwafrika, Mchina , Mwarabu, Mhindi na Mzungu utachagua Mzungu. we mwenyewe na watanzania wote tunalijua hilo. Watu wamejenga Hospiztali, Zahanati mpaka Vyuo Waarabu wamefanya nini ndugu yangu ?

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Hiyo taasisi yako ya KCMC soma hapa namna inavyoendeshwa mnalazimisha watu kusali kikatoliki

Mkurugenzi Mkuu KCMC akiri KCMC kugubikwa na Ukabila, Udini na Mahaba
KCMC inaajiri watanzania bila kuangalia ukabila na udini. Pale kuna hospitzali na chuo cha uuuguzi kama sikosei. Kuna wanafunzi wa kiislamu na wanaotoka katika sehemu mbali mbali za nchi. Ila kutokana na kuwa shule zinazofanya vizuri ni za kanisa. Na kaskazini kuna shule nyingi mwisho wa siku unnatkuta watanzania wwengi wenye the right skills ni Wakristu au wanaotoka kaskazini. Kwa hio hawa vijana ndio wengi wanaoifika chuo na mwisho wa siku hospitali inaonekana kubagua watu wengine. Maana mpaka leo kuna sehemu zina tamaduni ambazo hazitiliii mkazo elimu.

Naomba nikuulize swali huko kwa waarabu kwa nini wanajenga misikiti kwenye biashara yao kwa nini wasijenge makanisa ? Unakumbatia dini inayokwambia usali mara tano kwa siku huo muda wa kufanya kazi utapata wapi. Dii inakuambia uowe wake wanne halafu unakuja jkulalamika maisha magumu ?😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Hakuna mtu atakaekuja kukuokoa na kukukomnboa múkombozi ni maamuzi yako wewe mwenyewe. Ndugu yangu najua kuhama dini hauweziwe fanya kama wenzako walioenda uarabuni na kujionea wenyewe. We abudu tu mizimu ya nyumbani kwenu na achana na dini aliyoleta Mwarabu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
KCMC inaajiri watanzania bila kuangalia ukabila na udini. Pale kuna hospitzali na chuo cha uuuguzi kama sikosei. Kuna wanafunzi wa kiislamu na wanaotoka katika sehemu mbali mbali za nchi. Ila kutokana na kuwa shule zinazofanya vizuri ni za kanisa. Na kaskazini kuna shule nyingi mwisho wa siku unnatkuta watanzania wwengi wenye the right skills ni Wakristu au wanaotoka kaskazini. Kwa hio hawa vijana ndio wengi wanaoifika chuo na mwisho wa siku hospitali inaonekana kubagua watu wengine. Maana mpaka leo kuna sehemu zina tamaduni ambazo hazitiliii mkazo elimu.

Naomba nikuulize swali huko kwa waarabu kwa nini wanajenga misikiti kwenye biashara yao kwa nini wasijenge makanisa ? Unakumbatia dini inayokwambia usali mara tano kwa siku huo muda wa kufanya kazi utapata wapi. Dii inakuambia uowe wake wanne halafu unakuja jkulalamika maisha magumu ?😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Hakuna mtu atakaekuja kukuokoa na kukukomnboa múkombozi ni maamuzi yako wewe mwenyewe. Ndugu yangu najua kuhama dini hauweziwe fanya kama wenzako walioenda uarabuni na kujionea wenyewe. We abudu tu mizimu ya nyumbani kwenu na achana na dini aliyoleta Mwarabu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Sidhani kama hata ulisoma hii link , nakuwekea tena kwa mara ya pili

Vile hiyo taasisi yako imewacha kupokea ruzuku kutoka serikalini ??


Hiyo taasisi yako ya KCMC soma hapa namna inavyoendeshwa mnalazimisha watu kusali kikatoliki

Mkurugenzi Mkuu KCMC akiri KCMC kugubikwa na Ukabila, Udini na Mahaba
 
Mbona Twiga Cement wapo, TBL, Unilever , TCC n.k .Bado kuna makampuni mengi sana malipo yapo poa katika sekta ya malipo na mazingira ya kazi. Unasema wanaibia hii nchi mbona wanalipa wafanyakazi wao vizuri na wana mazingira poa ya kazi. Hivi unajua wahindi na waarabu wanalipwa ruzuku kiasi gani na serikali? Mbali na hivyo wanalipwaa ruzuku huku wanatoa mishahara ya laki tatu kwa mwezi 😂 😂 😂. Serikali inakumbatia watu ambao hawana muda na sisi. Tukitaka kufika mbali lazima ztuwape kipaumbele walio na maslahi na sisi.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na moja : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Kumbe wewe unafanya kazi mote au umetumwa na hayo makampuni ??

hao wahindi na waarabu uliwapa wewe ruzuku ?? Unaandika mipasho bila kuja na ushahidi wowote , mara mishahara milioni 20 mara Unilever , TBl wanalipa vizuri si ukawaajiri watoto wako , Mbona watu wanalia na kazi hatuoni hao wazungu wako kuajiri mtu ??

Hujajibu hata moja hapa unaharisha tu

Kuhusu ushoga nyinyi mpaka Mna Nabii Shoga, Sasa nikuulize hivi Nabii Tito ametokea wapi ?

Mzungu ana Taasisi ipi ya maana hapa Tz zaidi ya wizi.

Hivi Kampuni ya maana inaweza ku invest Tz , msikilize Rostam Aziz anavyosema wewe mpenda ushoga

 
Ndugu yangu hapa tanzania kuna mtu analipa zaidi ya Mzungu ? Naomba ujitafakari hadi Wachina na uchumi wao bado wanashindwa kufikia wazungu katika mazingira ya kazi na malipo. Amka ndugu yangu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Jibu kwanza hapa

Nchi gani ya kiafrika imeendelezwa na taasisi zako za wazungu ?? Mkoloni aendeleza Afrika tokea lini ??
 
KCMC inaajiri watanzania bila kuangalia ukabila na udini. Pale kuna hospitzali na chuo cha uuuguzi kama sikosei. Kuna wanafunzi wa kiislamu na wanaotoka katika sehemu mbali mbali za nchi. Ila kutokana na kuwa shule zinazofanya vizuri ni za kanisa. Na kaskazini kuna shule nyingi mwisho wa siku unnatkuta watanzania wwengi wenye the right skills ni Wakristu au wanaotoka kaskazini. Kwa hio hawa vijana ndio wengi wanaoifika chuo na mwisho wa siku hospitali inaonekana kubagua watu wengine. Maana mpaka leo kuna sehemu zina tamaduni ambazo hazitiliii mkazo elimu.

Naomba nikuulize swali huko kwa waarabu kwa nini wanajenga misikiti kwenye biashara yao kwa nini wasijenge makanisa ? Unakumbatia dini inayokwambia usali mara tano kwa siku huo muda wa kufanya kazi utapata wapi. Dii inakuambia uowe wake wanne halafu unakuja jkulalamika maisha magumu ?😂 😂 😂 😂 😂 😂 . Hakuna mtu atakaekuja kukuokoa na kukukomnboa múkombozi ni maamuzi yako wewe mwenyewe. Ndugu yangu najua kuhama dini hauweziwe fanya kama wenzako walioenda uarabuni na kujionea wenyewe. We abudu tu mizimu ya nyumbani kwenu na achana na dini aliyoleta Mwarabu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Ulitaka waarabu wakujengee kanisa ?? AAbudiwe mtu anayekunya kama wewe ??


 
Ulitaka waarabu wakujengee kanisa ?? AAbudiwe mtu anayekunya kama wewe ??


View attachment 3084325
Hapana ulilalamika kwa nini KCMC kuna mazingira ya upendeleo kwa wakristu. Mimi nikakwambia ukifuatilia biashara za waarabu wanajenga msikiti katika ofisi zao kwa nini hawajengi makanisa kwa wafanyakazi wao wa kikristu ? Kwa hio usilalamike kuhusu KCMC kuwa na mazingira ya kikristu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Ndugu yangu hapa tanzania kuna mtu analipa zaidi ya Mzungu ? Naomba ujitafakari hadi Wachina na uchumi wao bado wanashindwa kufikia wazungu katika mazingira ya kazi na malipo. Amka ndugu yangu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

Wanakulipa kwa yao kama walivyofanya hawa jamaa kufundisha ushoga


View: https://www.youtube.com/watch?v=EFuEj9S5VZg&pp=ygUndXNob2dhIHdhZnVuZGlzaHdhIG1hc2h1bGVuaSB0YW5nYW55aWth
 
Jibu kwanza hapa

Nchi gani ya kiafrika imeendelezwa na taasisi zako za wazungu ?? Mkoloni aendeleza Afrika tokea lini ??
Naomba uniambie nani aliyeijenga Afrika kusini ?

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."
 
Hapana ulilalamika kwa nini KCMC kuna mazingira ya upendeleo kwa wakristu. Mimi nikakwambia ukifuatilia biashara za waarabu wanajenga msikiti katika ofisi zao kwa nini hawajengi makanisa kwa wafanyakazi wao wa kikristu ? Kwa hio usilalamike kuhusu KCMC kuwa na mazingira ya kikristu.

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na mbili : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."


Afrika Kusini unaiona imeendelea ?? au majengo yanakufanya uone nchi imeendelea ?? Au maendeleo ni kuruhusu ushoga makanisani ??

kwa taarifa yako ile nchi wale wazungu ni raia wa ile nchi

hujaniambia bado ni nchi gani afrikla imeendelezwa na Taasisi za wazungu kutoka nje ??
 
Naomba uniambie nani aliyeijenga Afrika kusini ?

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

maendeleo ndio haya ya kula nyasi na kunywa petroli


View: https://youtu.be/WSkDdSraN7M
 
Naomba uniambie nani aliyeijenga Afrika kusini ?

Ndugu naona bado unakwepa swali naomba unitajie taaasisi iliyoanzishwa na kuendeshwa na waarabu. Narudia tena kwa mara ya ishirini na tatu : "Mwarabu kamwe hawezi kuwasaidia waafrika. Msaada pekee kwa waafrika ni msikiti. Akijitahidi sana ataweka kisima kwa ajili ya maji ya kutawadhia."

maendeleo mengine haya ya kula nywele


View: https://youtu.be/XW8XdJiXH9w
 
Back
Top Bottom