Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #21
Kivipi?Ndiyo, na Uzungu ni bora klk Uarabu!
Kivipi?
Maana kwenye mambo ya Hisabati, waarabu wana kanuni nyingi sana za hisabati walibuni wao. Hata matumizi ya namba sifuri walianza wao kutumia ndipo wazungu wakaiga.
Sio picha ya Yesu lakiniAnaonekana alikuwa mzungu..
Tazama hii picha nayoikutaga kwenye nyumba nyingi za rafiki zangu Wakristo.
View attachment 2392614
Waislamu wenyewe sasa hawako salama huko kwenye nchi zaoUnauliza makofi Polisi?
Ukristo ndio uzungu wenyewe huo.
Uislam ndio uarabu.
Huwezi tenganisha Dini na Utamaduni.
Na ukishasema utamaduni ndio ushaelezea jamii Fulani hapo.
Wakristo wapo salama zaidi wakiwa Uzunguni.
Waislam wapo salama zaidi wakiwa arabuni.
Wapo wanaoenda Pia nchi za kiarabu,Dunia nzima inafwata western style economic system, mamilioni ya Waarabu na Waislamu wengine wanakimbilia Ulaya na USA na siyo Saudi Arabia au Emirate why ? Kwa nini Waarabu Waislamu wa Syria au Irak au hata Somalia na Irani sasa hivi wanakimbilia Ulaya na USA na siyo Saudi Arabia au Emirate ?
Invasion of Europe by refugees from Islamic Countries, kwa nini hawaendi Arab Islamic countries?
View attachment 2392653
Mimi ninachoweza kusema Ni kwamba hizi dini mbili zimebeba utamaduni na asili wa maeneo zilikotoka.Waliotuletea wamefanikiwa kutubrainwash 100% hasa mwafrika.
1.Kiasili nchi za arabuni Kuna jangwa,so miti ni tatizo,katika Hali ya kawaida tangu zinaanza hizi dini isingewezekana kukaa kwenye viti vinavyotokana na miti.How come mtu wa Iringa kwenye miti ya kutosha nae anaingia nyumba ya ibada anakaa chini kisa muislamu,au anakula kwenye mkeka badala ya kukaa kwenye mess ya kisasa kisa dini?.. Inafikirisha.
2.Mtu anapozikwa kwa mujibu wa hizi dini mbili wanamwaga maji juu ya kaburi(huita maji ya baraka).Kiasili Kama nilivyosema zilikotoka hizi dini mbili Kuna jangwa,mtu akizikwa usipomwaga maji na kuweka jiwe(Shahid) kaburi litafutika na upepo mkali..sisi kwetu kwenye udongo wa kichuguu,kuchikba kaburi Hadi mnatumia Tindo kumwaga maji Ni usanii tu.Hakuna sababu ya msingi Mmebeba kila kitu.
3.Kwa sababu ya Hali ya hewa ya mashariki ya Kati kuwa jangwa,maana yake Kuna joto Kali sn,wenzetu walikuwa wana tabia ya kuvaa nguo nyepesi mchana(mnaita kanzu) na kushinda kwenye nyumba zenye hewa (mfano masjid).Sisi tulipoletewa dini tumelibeba hilo,tunashinda kwenye nyumba za ibada kuanzia asubhui Hadi jioni kwa ksingizio Cha thawabu..Tukatafute hela tuache uvivu,kwetu hakuna joto..Zanzibar kanzu ndy nguo za kushindia,hata watoto wanacheza huku wakiwa wamevaa kanzu,kiss sisi ni washika dini!!
Kwa wakristo ndiyo balaa,uzungu Kama wote!!
1.Mtu mweusi na utamaduni wa faza krismasi wapi na wapi?
2.Mizimu yao wakaita saints(watakatifu)
Mtakatifu Martin de Porres,mtakatifu Aqcuilina,mtakatifu John.Sisi mizimu yetu ambayo ilikuwa tukiomba inatuletea neema Kama mvua na na chakula shambani wakatukataza kutambua maana tunamkufuru Mungu...Ujinga!!
3.Mavazi yet yenye kutambulisha tamaduni zetu Kama kaniki,shanga na ndonya wakatuambia tusiingie nayo kanisani vina maagano na mapepo...wametuletea suti zao!!
4.Ukienda kumbatiza mtoto ukamwita jina la kikwenu Kama awowo apewe unaambiwa Hilo siyo jina la kumpa mtoto,wanakuchagulia kwenye list ya watakatifu wao.."mwanao ataitwa Samuel" wakati wao tunasoma majina yao ktk history mtu alijiita Livingstone
Tumeenda mbali siku hizi ukiomba jina mzuri la mtoto wako wanakuchagulia majina ya ulaya na arabuni(Asia)..Mwanao mwite Fahima..mwanao muite Shadya..Mwanao muite Jackson !!
Africa siku tutakapoanza kuurudia utamaduni wetu ndiyo siku tutakapoanza kufanikiwa katka kila kitu..
Kujibu swali lako ni kwamba Uisilamu unataka umpe mtoto wako jina zuri bila kujali lugha ama sehemu liliotoka.Najaribu kuwaza ni kwa nini watu wengi wanaonesha kuwa ili uwe muislam mzuri ni lazima utumie mambo mengi ya kiarabu kuanzia kuvaa mpaka kuongea kwa lafidhi ya Kiswahili cha kiarabu.
Lakini pia wakristo wengi nao ili ionekane wewe ni mteule wa mungu uzungu ni lazima uwe ni sehemu ya maisha yako. Siku hizi kila anayejiita "Nabii" au "Mtume" ni lazima pia ajitahidi kuhubiri kwa kiingereza au aweke mtafisiri wa Kiswahili kwenda kiingereza.
Hivi huwezi kuwa Mkristo safi bila ya kuitwa Silvanus, Tarchistus, Moses, Jenipher, Peter au Magdalena? Na majina ya Mohamed, Hussein, Jumah, Hidaya, ndiyo alama ya Uislamu. Hivi mtu akiitwa CHANDIMU hawezi kuwa muislamu au mkristo?
Hivi Uislamu ni Uarabu na Ukristo ni Uzungu??
Wapo wanaoenda Pia nchi za kiarabu,
1.hujui kiarabu
2. Huangalii Vyombo vya habari vya kiarabu
3. Husomi magazeti ya kiarabu wala kitu chochote automatic kinachokujulisha habari za ndani za nchi za kiarabu
Ila unafahamu kila kitu kuhusu waarabu.
Nitakupa mifano mbalimbali
1. Tuanze na Palestina
Shirika la Wakimbizi Duniani linakadiria Kuna wakimbizi Takriban 5.6 Milioni wa kipalestina kati ya hao
-milioni 2 wapo Jordan (Nchi ya Kiarabu)
-laki 5 wapo Syria (Nchi ya kiarabu)
-around laki 5 wapo Lebanon (Nchi ya kiarabu) etc
Na hata nje ya Nchi za Kiarabu wapalestina wapo zaidi Chile kuliko eneo lolote lile.
Ila sababu una Angalia zaidi Vyombo vya habari vya Kimagharibi basi ukiona wapalestina Wakimbizi Uingereza ama USA basi unahisi tu wale ndo wakimbizi wote
Source
2. Tuje Syria
Nchi iliopokea Wasyria wengi ni Uturuki, then Kuna Brazil, Argentina, Then Ujerumani, Lebanon, Jordan etc. Nchi pekee ambayo ya Ulaya ambayo kidogo ina wakimbizi wengi ni Ujerumani ila wengi wapo Middle East na South America.
3.Yemen
Nchi ambayo wayemen wengi wamekimbilia ni Saudi Arabia, ikifuatiwa na Egpty,
Hivyo si kweli kwamba hawakimbilii Nchi za Kiarabu, majority wanaokwenda Nchi za kiarabu kuliko maeneo mengine yoyote duniani it's just wewe una Angalia zaidi Vyombo vya Kimagharibi ukiona hata 0.01 ya wakimbizi akili yako I naona ni wakimbizi wote wamekimbilia Ulaya.
Wewe umesema Ulaya.Lakini Brazil au Chile siyo nchi za Kiislamu/Kiarabu, Wasyria walioko Uturuki wako transit tu wakitoka hapo safari EU!
Wewe umesema Ulaya.
Na Syria ni kati ya Nchi ya kiarabu yenye Wakristo wengi kama Hufahamu, kwao Ni safe kwenda America kusini hasa wa katoliki. Wapalestina wengi wapo Chile sababu ya ukatoliki wamepewa eneo kama wilaya wanaendesha shughuli zao na wanakubalika tofauti wangeenda Ulaya ama nchi za kiisilamu.
Mzee wa bandari wewe si mkristo pia? Na wewe Ni mtumwa?Slave Mentality..........
Huyo Binti ambaye anakaa na Malesbian ha represent waisilamu, sasa hivi yupo Busy kwenye Haki Za mashoga na wasagaji, ni pandikizi tu.Lakini Brazil au Chile siyo nchi za Kiislamu/Kiarabu, Wasyria walioko Uturuki wako transit tu wakitoka hapo safari EU, BTW Ujerumani peke yake two million Muslim refugees mwaka 2015 peke yake na bado kuna Sweden, France na nchi nyingine za EU, Wasomali mamilioni wanakimbilia USA na EU Minesota US mpaka kuna Somali City anakotoka yule Senetor Ilan Omar Msomali ambaye anaitukana USA kila siku ingawaje imempa karibia kila kitu!
View attachment 2392702
Waafrica Tukibadili mindset tutatoboa.Satoh Hirosh asante sana kwa mchango wako mzuri wa kufirisha na hitimisho la kitaalamu kabisa, itawezekana?
Wahindi ni Race iliofanikiwa?Waafrica Tukibadili mindset tutatoboa.
Race zote zilizofanikiwa asilimia kubwa hazikuacha utamaduni wao.Wahindi,wachina,wajapan nk.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Wanadanganywa hao na vyomb vya habari vya magharib.Wapo wanaoenda Pia nchi za kiarabu,
1.hujui kiarabu
2. Huangalii Vyombo vya habari vya kiarabu
3. Husomi magazeti ya kiarabu wala kitu chochote automatic kinachokujulisha habari za ndani za nchi za kiarabu
Ila unafahamu kila kitu kuhusu waarabu.
Nitakupa mifano mbalimbali
1. Tuanze na Palestina
Shirika la Wakimbizi Duniani linakadiria Kuna wakimbizi Takriban 5.6 Milioni wa kipalestina kati ya hao
-milioni 2 wapo Jordan (Nchi ya Kiarabu)
-laki 5 wapo Syria (Nchi ya kiarabu)
-around laki 5 wapo Lebanon (Nchi ya kiarabu) etc
Na hata nje ya Nchi za Kiarabu wapalestina wapo zaidi Chile kuliko eneo lolote lile.
Ila sababu una Angalia zaidi Vyombo vya habari vya Kimagharibi basi ukiona wapalestina Wakimbizi Uingereza ama USA basi unahisi tu wale ndo wakimbizi wote
Source
2. Tuje Syria
Nchi iliopokea Wasyria wengi ni Uturuki, then Kuna Brazil, Argentina, Then Ujerumani, Lebanon, Jordan etc. Nchi pekee ambayo ya Ulaya ambayo kidogo ina wakimbizi wengi ni Ujerumani ila wengi wapo Middle East na South America.
3.Yemen
Nchi ambayo wayemen wengi wamekimbilia ni Saudi Arabia, ikifuatiwa na Egpty,
Hivyo si kweli kwamba hawakimbilii Nchi za Kiarabu, majority wanaokwenda Nchi za kiarabu kuliko maeneo mengine yoyote duniani it's just wewe una Angalia zaidi Vyombo vya Kimagharibi ukiona hata 0.01 ya wakimbizi akili yako I naona ni wakimbizi wote wamekimbilia Ulaya.
namakanisa mengine wanaiweka mbelekabisa kumbenipicha yamhuni mmojatu walahahusiani nahuyomungu waoyesuAnaonekana alikuwa mzungu..
Tazama hii picha nayoikutaga kwenye nyumba nyingi za rafiki zangu Wakristo.
View attachment 2392614