Ukristo ni Uzungu na Uislamu ni Uarabu?

Kwa mfano wengi wakiambiwa kuwa waliokuwa watawala zama Yusuph alikuwa utumwani Misri walkuwa ni watu weusi, atabisha mpaka atapike. Pharao walikuwa ni watawala weusi wa Misri.
Yah, pale misri waarabu walivamia juzi tu...wakateka na kuua weusi wote na kuwafukuza.
Yale masanamu ya mafarao wa kiafrika wakajaribu kuyaharibu na kuyafukia yasionekane kabisa.
ila Mungu si Muhamad, sikuizi wanayachimbua na kugundua siri ya Misri ilivyokuwa ya watu weusi.
 
Hayo yote yanatokana na utumwa wa fikra.Sisi waafrika bado ni watumwa wakubwa wa hizi dini kwasababu ya uduni wetu wakufikiri.Leo tunabaguana na kuuana kwasababu ya huu utumwa tulioletewa na bado tunaona sawa tu.Dini ni kilema kikubwa sana kwenye fikra za wale wasiojielewa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkimbizi na mzamiaji ni watu wawili tofauti.Wakimbizi wanatoka nchini kwao kwasababu zakiusalama nakisiasa kwa ujumla na taratibu za kikimbizi ziko zinajulikana ila wazamiaji wengi wanazamia nchi zingine kwasababu za maisha bora.Sasa hebu tutafute na takwimu za wazamiaji ili tupate hali halisi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
nimetaja nchi zenye machhafuko tu, Palestina, Syria na Yemen ni nchi ambazo zina machafuko na wakimbizi, wazamiaji ni huku Africa kina Algeria, Morocco etc topic nyengine kabisa.

na kuhusu wazamiaji hakuna duniani nchi zenye wazamiaji wengi compare na rational ya wananchi kama Dubai/UAE
 
Hichi chuma kina mume kweli?
 
Ukienda sehemu ambazo ukatoloki umekolea, utasikia "tuachie Yesu wetu, mkombozi wetu" wanaishi kizungu na kusahau jadi yao. "Yesuuuu wangu!"
 
Hichi chuma kina mume kweli?

Kama unamuongela huyo Ilhan Omar alikuwa na Mume wake Msomali mwenziye akamcheat (Omar) na Mzungu msaidizi wake, kama kawaida wakawatalakiana sijui walifika wapi na Mzungu, jaribu bahati yako labda anaweza kukukubali, who knows?
 
Unakuta Mmatumbi mweusi na kipilipili kichwani ana majina matatu yote ya kiarabu mf. Abdalllah Hussein Hassan hapo anajiona yeye ndo muislam haswa.

Same applies to wakristo unakuta mtu na ndevu zake anaitwa John Peter Paul. Hawataki kabisa kusikia Masanja au Mapunda kwenye majina yao. Hapo wanajitoa ufahamu na kujikuta wao ni mizungu au miarabu kabisa.

Huwezi kutenganisha dini na utamaduni ndo maana jamii zote zinazojielewa zina tamaduni na dini zao. Hindu kule India, Shinto kule Japan, taoism na Buddhism kule China nk.
 
Anaonekana alikuwa mzungu..

Tazama hii picha nayoikutaga kwenye nyumba nyingi za rafiki zangu Wakristo.
View attachment 2392614

Ukifuatilia vizuri historia, utagundua kua Mfalme Daudi alikua mtu mweusi, Sulemani alikua mweusi na kwavile Yesu ni uzao wa Daudi, basi kuna uwezekano mkubwa nae pia alikua mweusi.
 
Asili ya hizi Dini za Kisemitic ni Egypt ya kale ndio asili yake kwa hivyo sioni sababu ya kunung'unika.

Mababu zetu wa Kush ndio waasisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…