Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siongei kwa kutumia maneno ya vijiweni mkuu, najiridhisha kwanza kwa kusoma official sources. Pia sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni chakuchuka na kukifanya katika maisha ya kawaida. Kwenye biblia kumeandikwa pia uovu wa watu mbalimbali nimuhimu kulijua hilo. Nakushauri fuatili Takwimu za idadi ya watu duniani kabla ya kuanza kuropoka (world population by sex) kuhusu matatizo ya kijinsia yana affect jinsI zote me na ke. And by the way shoga hawezi kujitambulisha kama mwanaume bali TranssexWe nae umeandika kama huna KENDE vile, 😂🤣
Jadili hoja, ufala unatokea wapi, haya we mjuani nikuswalike kaswali.
Kain alipomuua abel kipi kilitokea, aliishi poa tu, hakuna lolote lilimfike, hakujilaumj wala kulaumiwa..?
Soma tena vizuri ulichoandika, unataka kusema WANAUME ni wengi kuliko wanawake.. We ukapimwe mkojo😂 takwimu hizo ni za wapi.
Hapa kijinsia wanawake ni wengi zaidi, na bado katika sisi wanaume kuna wale machoko, bafo kuna wale mahanithi, bado kuna wale wasio na nguvu za kuburudisha wanawake, hapo idadi inazidi kupukutika
1 Wakorintho 7:2-3Kuna ushahid wa kimaandiko wa hili?
Hapo sasa, una wake wawili wote ukawafuma wanachat na ex waoMke mmoja tatizo, imagine wawili.
lete andiko la yesu hilo?Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
Mtumishi,...kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
Huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Ila Andiko Hilo halijasema Waoe wake wangapi..Tunatumia agano jipya na sio agano la kale
Marko 10:6-9
Nasubiri Unionyeshe Yesu alipoagiza Ndoa ya Mke mmojaHilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
Kuna mahali Mungu mwenyewe Alitoa amri ya Kuongeza Wake..Mtumish
Mwanzo wa ulimwengu MUNGU MWENYEZI alimuumba mke mmoja na mume mmoja, baadae sana zikapita na zikatokea nyakati flan na katika hizo nyakati kikatokea kizazi flan hicho kizazi kikaanza kuoa wanawake 10 hata 20 hata 100 , Suleiman akaoa wanawake 700 na michepuko 300 mtume Muhammad akao wanawake 14 mpaka watoto wa miaka 6 na mishangazi inayomzid umri
Kizazi hicho kilivunja agano la MUNGU la ndoa ya mke mmoja na mwanaume mmoja, kwahiyo kizazi hiki kiletenda makosa ambayo YESU KRISTO alipokuja akarebisha na akairudishia ndoa hadhi yake yani mume na mke siyo mume na wake au siyo mume na mume
Kwahiyo basi sisi wakristo hatuwezi tena kuendelea kuishi katika dhambi ya wale wazee wakati tayari kristo YESU ashalekebisha
Biblia imeandika habari hizo ili sisi tujifunze siyo kwamba tuendelee kukosea tena
AMINA
Acha kumpakazia Yesu, hakuwahi kusema kitu kama hicho...Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu.
Habari Thecoder."Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja" (Mathayo 19:5-6). (Hii ni kama Sheria kwa maana imesemwa na Yesu)
Ila pia kuna bwana mmoja wa kuitwa Paulo ambae alikua mtume nae aliwahi kutoa mapendekezo na kuweka msisitizo wa mtu kuwa na mke mmoja, ingawa yeye alijikita zaidi kwa viongozi wa makanisa (hii sio Sheria ya kimungu ila ni mapendekezo kama hayo ya Musa uliyoyaona kwenye kutoka).
Kwahiyo kabla ya Yesu watu walikua wanaoa watu wengi, kuna mwamba alio wake mia saba na michepuko mia tatu 🤣🤣🤣🤣, na ikumbukwe mimba ya huyu mwamba alitungwa baada ya Daud kumkula mke wa askari wake, kwahiyo ni uzinzi juu ya uzinzi.
Ukisoma Biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."
Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
Huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.
Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Kwani ukristo uliànza lini? Kabla ya kuzaliwa, kufa, kufufuka na kupaa mbinguni kwa Yesu kristo kulikuwa kuna wafuasi wa Yesu kristo, yaani wakristo?Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
Mimi siongei kwa kutumia maneno ya vijiweni mkuu, najiridhisha kwanza kwa kusoma official sources. Pia sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni chakuchuka na kukifanya katika maisha ya kawaida. Kwenye biblia kumeandikwa pia uovu wa watu mbalimbali nimuhimu kulijua hilo
Sijajua picha hii na bandiko langu vinahusiana vipi?
Agano jipya ni kitabu gan na agano la kale n kitabu gani🤷🏽♂️😂Tunatumia agano jipya na sio agano la kale
Marko 10:6-9
Nipe wew takwimu mkuu, kuwa wanaume ni wengi kuliko wanawake.Mimi siongei kwa kutumia maneno ya vijiweni mkuu, najiridhisha kwanza kwa kusoma official sources. Pia sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni chakuchuka na kukifanya katika maisha ya kawaida. Kwenye biblia kumeandikwa pia uovu wa watu mbalimbali nimuhimu kulijua hilo. Nakushauri fuatili Takwimu za idadi ya watu duniani kabla ya kuanza kuropoka (world population by sex) kuhusu matatizo ya kijinsia yana affect jinsI zote me na ke. And by the way shoga hawezi kujitambulisha kama mwanaume bali Transsex
Sawa mkuu, tengeneza uzi wake, weka picha unaweza kupata mteja, biashara njema.Kimfaacho mtu chake.
Nauza uwanja kibaha kwa mathiasi.
Sqm 800,km 1.5 kutoka moro road
Nusu ni lami tayar hadi nyumbu
Bei 12M .karibuni.
Kimfaacho mtu chake.
Nauza uwanja kibaha kwa mathiasi.
Sqm 800,km 1.5 kutoka moro road
Nusu ni lami tayar hadi nyumbu
Bei 12M .karibuni