Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

Ukristo unaruhusu ndoa ya mke wapili kwa mujibu wa andiko hili

We nae umeandika kama huna KENDE vile, 😂🤣

Jadili hoja, ufala unatokea wapi, haya we mjuani nikuswalike kaswali.
Kain alipomuua abel kipi kilitokea, aliishi poa tu, hakuna lolote lilimfike, hakujilaumj wala kulaumiwa..?

Soma tena vizuri ulichoandika, unataka kusema WANAUME ni wengi kuliko wanawake.. We ukapimwe mkojo😂 takwimu hizo ni za wapi.
Hapa kijinsia wanawake ni wengi zaidi, na bado katika sisi wanaume kuna wale machoko, bafo kuna wale mahanithi, bado kuna wale wasio na nguvu za kuburudisha wanawake, hapo idadi inazidi kupukutika
Mimi siongei kwa kutumia maneno ya vijiweni mkuu, najiridhisha kwanza kwa kusoma official sources. Pia sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni chakuchuka na kukifanya katika maisha ya kawaida. Kwenye biblia kumeandikwa pia uovu wa watu mbalimbali nimuhimu kulijua hilo. Nakushauri fuatili Takwimu za idadi ya watu duniani kabla ya kuanza kuropoka (world population by sex) kuhusu matatizo ya kijinsia yana affect jinsI zote me na ke. And by the way shoga hawezi kujitambulisha kama mwanaume bali Transsex
 
Kuna ushahid wa kimaandiko wa hili?
1 Wakorintho 7:2-3

[2]Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.

[3]Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.
 
Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
lete andiko la yesu hilo?
 
Hoja ya wake wawili, utaona inalenga kutimiza tamaa ya mwanaume kingono; hiyo hoja tuiangalie kiuchumi na katika ustawi wa jamii, hebu tuone faida ya kuwa na wake wawili kiuchumi na kijamii ukiachana na hili mwanaume na upwiru wake.

Maana ukibase kwenye tamaa ya mwanaume utaona hata hao wawili kwa mwanaume hawatoshi maana mwanaume anapenda kujaribu Radha mpya, apate mwenye makalio makubwa, apate mweusi, mweupe, ajaribu kwa English figure, atasimuliwa kuhusu mishangazi ilivyo mitamu atataka akathibitishe ataambiwa isiombe kukutana na mwanamke wa kimakonde hautataka kumuacha mwanaume atatafuta mwanamke wa kimakonde na kujaribu aone kama aliyoambiwa ni kweli, kwahiyo kama hao wanawake watakuwa ni kutibu tamaa ya mwanaume hao wawili au hata wanne hawatoshi kabisa
 
Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
Nasubiri Unionyeshe Yesu alipoagiza Ndoa ya Mke mmoja
 
Mkristo akisema anatumia agano jipya bila agano la kale huyo simuelewi, biblia ni combination ya maagano mawili, Yesu mwenyewe alikuja kuitimiliza torati na sio kuitengua.
 
Mtumish
Mwanzo wa ulimwengu MUNGU MWENYEZI alimuumba mke mmoja na mume mmoja, baadae sana zikapita na zikatokea nyakati flan na katika hizo nyakati kikatokea kizazi flan hicho kizazi kikaanza kuoa wanawake 10 hata 20 hata 100 , Suleiman akaoa wanawake 700 na michepuko 300 mtume Muhammad akao wanawake 14 mpaka watoto wa miaka 6 na mishangazi inayomzid umri

Kizazi hicho kilivunja agano la MUNGU la ndoa ya mke mmoja na mwanaume mmoja, kwahiyo kizazi hiki kiletenda makosa ambayo YESU KRISTO alipokuja akarebisha na akairudishia ndoa hadhi yake yani mume na mke siyo mume na wake au siyo mume na mume

Kwahiyo basi sisi wakristo hatuwezi tena kuendelea kuishi katika dhambi ya wale wazee wakati tayari kristo YESU ashalekebisha

Biblia imeandika habari hizo ili sisi tujifunze siyo kwamba tuendelee kukosea tena

AMINA
Kuna mahali Mungu mwenyewe Alitoa amri ya Kuongeza Wake..
Kwa manabii zake kwenye Biblia..

Mungu mwenywe na Yeye alijipinga na Akavunja Amri??
Ni lini Hasa Mungu alitangaza Ndoa ya Mke Mmoja??

Ndoa ya Wake wawili ilianza kwa Lameck na sio Vizazi vingi..
Lameck alikuwa Ni Mjukuu wa Adam
 
Kama Suleiman aliye oa wake 700 na Masuria 300 mwishoe ali kiri ni ubatili mtupu, kuwa na wanawake wengi nisawa na kujilisha upepo.

Wana wake wengi ni tamaa ya mwili wa mwanadamu na ukiendeshwa na tamaa za kimwili dunia itakuletea shida nyingi.
 
."Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja" (Mathayo 19:5-6). (Hii ni kama Sheria kwa maana imesemwa na Yesu)

Ila pia kuna bwana mmoja wa kuitwa Paulo ambae alikua mtume nae aliwahi kutoa mapendekezo na kuweka msisitizo wa mtu kuwa na mke mmoja, ingawa yeye alijikita zaidi kwa viongozi wa makanisa (hii sio Sheria ya kimungu ila ni mapendekezo kama hayo ya Musa uliyoyaona kwenye kutoka).

Kwahiyo kabla ya Yesu watu walikua wanaoa watu wengi, kuna mwamba alio wake mia saba na michepuko mia tatu 🤣🤣🤣🤣, na ikumbukwe mimba ya huyu mwamba alitungwa baada ya Daud kumkula mke wa askari wake, kwahiyo ni uzinzi juu ya uzinzi.
Habari Thecoder
Je Unafahamu Kuwa Andiko Hilo Hakulisema Yesu ila Yesu alinukuu Andiko Lililotoka Kwenye Torati??

Mwanzo 2:24..

"Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja."

Sasa Basi kama Sheria Hiyo aliweka Mungu Baada ya Kuumba ilikuwaje Yeye mwenyewe Mungu aamuru baadhi ya Watumishi wake waoe wake zaidi ya Mmoja na Wengine aliwaambia yeye mwenywe
 
Ukisoma Biblia, kutoka 21, 10. Inasema

"Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."

Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,

Huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.

Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
GK4ypGVWAAA0IeM.jpeg
 
Hilo Andiko halihusu ukristo. Linawahusu Wayahudi. Wayahudi wana dini yao iitwayo Dudaism. Wao wanafuata Agano la kale. Wakristo tunaishi kwa mujibu wa Agano Jipya. Na kanuni ni hii:
Jambo lolote lililoelezewa ktk Agano la kale na Yesu akalisemea tofauti au akatoa Agizo tofauti basi lile la Yesu ndilo linasimama. Yesu ndiye alitoa Agizo kuwa ndoa ni ya mume na mke mmoja tu. Mengine ni dhambi na maovu ndio yansukuma watu. Na wanaofanya hivyo wasahau kurithi ufalme wa Mungu.
Kwani ukristo uliànza lini? Kabla ya kuzaliwa, kufa, kufufuka na kupaa mbinguni kwa Yesu kristo kulikuwa kuna wafuasi wa Yesu kristo, yaani wakristo?
Hiyo agano la kale ni kabla ya ukristo ila kama wewe ni mfuasi wa dini ya kiyahudi hayo maandishi yanakuhusu kuoa zaidi ya mke mmoja.
 
Mimi siongei kwa kutumia maneno ya vijiweni mkuu, najiridhisha kwanza kwa kusoma official sources. Pia sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni chakuchuka na kukifanya katika maisha ya kawaida. Kwenye biblia kumeandikwa pia uovu wa watu mbalimbali nimuhimu kulijua hilo

Sijajua picha hii na bandiko langu vinahusiana vipi?

Lakini hapo hapo nikuulize swali unajua maana ya culture?

Mimi mmasai, nikivaa shanga imetengenezwa jamaica, ama shuka la kimasai limetengenezwa china nitakuwa nimeua culture ama?

Tujadili ndoa ya mke wa pili kwenye ukristo.
Sipo huko kwenye malumbano ya kidini.
 
Mimi siongei kwa kutumia maneno ya vijiweni mkuu, najiridhisha kwanza kwa kusoma official sources. Pia sio kila kilichoandikwa kwenye biblia ni chakuchuka na kukifanya katika maisha ya kawaida. Kwenye biblia kumeandikwa pia uovu wa watu mbalimbali nimuhimu kulijua hilo. Nakushauri fuatili Takwimu za idadi ya watu duniani kabla ya kuanza kuropoka (world population by sex) kuhusu matatizo ya kijinsia yana affect jinsI zote me na ke. And by the way shoga hawezi kujitambulisha kama mwanaume bali Transsex
Nipe wew takwimu mkuu, kuwa wanaume ni wengi kuliko wanawake.
Nipe ratio ya wanaume kwa wanawake nchi kama russia hivi.
 
Kimfaacho mtu chake.
Nauza uwanja kibaha kwa mathiasi.
Sqm 800,km 1.5 kutoka moro road
Nusu ni lami tayar hadi nyumbu
Bei 12M .karibuni.


Kimfaacho mtu chake.
Nauza uwanja kibaha kwa mathiasi.
Sqm 800,km 1.5 kutoka moro road
Nusu ni lami tayar hadi nyumbu
Bei 12M .karibuni
Sawa mkuu, tengeneza uzi wake, weka picha unaweza kupata mteja, biashara njema.
 
Back
Top Bottom