makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
-
- #141
Ahsante mkuuHabari Thecoder
Je Unafahamu Kuwa Andiko Hilo Hakulisema Yesu ila Yesu alinukuu Andiko Lililotoka Kwenye Torati??
Mwanzo 2:24..
"Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja."
Sasa Basi kama Sheria Hiyo aliweka Mungu Baada ya Kuumba ilikuwaje Yeye mwenyewe Mungu aamuru baadhi ya Watumishi wake waoe wake zaidi ya Mmoja na Wengine aliwaambia yeye mwenywe
Tuko pamoja mtumishi 😂Mtumishi,
Umeupiga mwingi.
Naunga mkono hoja
Salama dokta, bila shaka uko vizuri kutoka upande huo wa dunia.Habari Thecoder
Je Unafahamu Kuwa Andiko Hilo Hakulisema Yesu ila Yesu alinukuu Andiko Lililotoka Kwenye Torati??
Mwanzo 2:24..
"Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja."
Sasa Basi kama Sheria Hiyo aliweka Mungu Baada ya Kuumba ilikuwaje Yeye mwenyewe Mungu aamuru baadhi ya Watumishi wake waoe wake zaidi ya Mmoja na Wengine aliwaambia yeye mwenywe
We jamaa uliishia darasa la ngapi?Nipe wew takwimu mkuu, kuwa wanaume ni wengi kuliko wanawake.
Nipe ratio ya wanaume kwa wanawake nchi kama russia hivi.
Ukristo is too general.Ukisoma Biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."
Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
Huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.oliki ni
Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Mbona agano la kale wengi tu kati ya wachamungu walioa wake wengi ....tatizo kuna tofauti kati ya agano la kale na injili ....injili inatambua na kulidhia wake wengi ila hai shauri kuoa wake wengi ndani ya ukristo(injili) yaani kwa wale walio batizwa mke ni mmoja tu ila kama ulikuwa na wake wengi basi inawatambua hao wake kuwa ni wake zako halaliUkisoma Biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."
Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
Huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.
Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Ni wapi MUNGU MWENYEZI aliruhusu nipe andiko nioneKuna mahali Mungu mwenyewe Alitoa amri ya Kuongeza Wake..
Kwa manabii zake kwenye Biblia..
Mungu mwenywe na Yeye alijipinga na Akavunja Amri??
Ni lini Hasa Mungu alitangaza Ndoa ya Mke Mmoja??
Ndoa ya Wake wawili ilianza kwa Lameck na sio Vizazi vingi..
Lameck alikuwa Ni Mjukuu wa Adam
Agano la kale mungu alikuwa hana tatizo na kuoa wake wengi ...tena yeye mwenyewe kathibitisha na kuwajalia watumishi wake furaha ya wake wengi ...kasome mfalme daudi pale alipo fanya uzinzi na mke wa uria na kufanya fitina ya kifo cha mume wa huyo mke hili kuficha aibu ....baada ya ilo tukio mungu alimtuma nabii kwa daudi kasome mungu alisema nini kumwambia daudi kuhusu daudi na wake zake wengi ..... kuna maneno mungu ana mwambia daudi nimekupa wake wengi na kama ungetaka zaidi ninge kuongezea wake, hapo daudi alikuwa na zaidi ya 7 tayari ....sasa hapo tunaona Mungu mwenye anamwambia daudi kuwa angeweza kumwongezea wake. DR Mambo Jambo Beira BoyNi wapi MUNGU MWENYEZI aliruhusu nipe andiko nione
Hao akina lameck wote walivunja agano la MUNGU MWENYEZI wengine wakaenda mbali zaid hao wajukuu wa Adam wakawa wanauwana wao kwa wao
Je na kuawana MUNGU aliwaruhusu?
Si kila kitu ambacho biblia imeandika basi kimeruhusiwa no bali kimeandikwa ili wewe ujifunze mtumish mwenzagu
Kwani kuongeza mke unahitaji support ya verses za bibilia? We zingatia Sheria za KAIZARI anaye kutawala dunianiUkisoma Biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."
Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
Huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.
Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke mmoja.
Bwana tuupaki unazani yesu Kristu alikuja kuihubiri touratii ya Musa!?J
Je yesu kristo alisema anakuja amekuja kutengua torati ama?
Ukisoma Biblia, kutoka 21, 10. Inasema
"Kama huyo bwana akioa mke mwingine, lazima aendelee kumtosheleza mkewe wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zake za ndoa."
Ukisoma toka mwanzo utagundua kuwa utagundua hapa yamezungumziwa mambo ya kuachia watumwa.. Sipingi hilo, lakini kitendo tu cha kusema kama AKIOA MKE MWINGINE, yule wa awali AENDELEE KUMPA HAKI ZAKE ZA NDOA,
Huu ni uthibitisho tosha ndugu zetu mnaruhusa ya kuoa mke wa pili.
Au mimi ndio nimetafsiri hovyo.
Hii ni kwa wale wanangu wa kikristo waliokuwa wanalalamika mambo ya mke
Kila mmoja na njia zake, hivyo wenye imani ya kidini wanahitaji vifungu ili wafanye baadhi ya mambo.Kwani kuongeza mke unahitaji support ya verses za bibilia? We zingatia Sheria za KAIZARI anaye kutawala duniani
Swali lako siwezi kulijibu mimi, ila yesu alisema hajaja kuipinga tourati.Bwana tuupaki unazani yesu Kristu alikuja kuihubiri touratii ya Musa!?
Tumepokea kwa Utekelezaji.....eko kabisa
Exactly, tourati Ina nguvu katika Sheria na kanuni, hivo hata asiyeamini unaweza fikiri anaamini, ila injili Ina nguvu rohoni, hata usiyefikiri ana imani unaweza Kuta ndio anaamini,kwa ufupi tourati haikuwa na kasoro,ila ilitekelezwa kwa usanii mwingi,Swali lako siwezi kulijibu mimi, ila yesu alisema hajaja kuipinga tourati.
kwani zile ni amri za Yesu au Mungu?
Mkipatikana watatu TU humu wa sampuli yako,,,,wangerudisha Vitabu vyao walikovitoa.Biblia inajichanganya au wewe ndie umechanganyikiwa ?kwasababu Yesu anakiri kwa mdomo wake kuwa hakuja kuitengeu torati bali kuitimiza