Sema naumia bila kusema naumiaHongera sana kwa kupiga hatua kufikisha 11% ya waumini indonesia, japo uko ulaya uliko anzia kanisa zinabadilishwa kua misikiti kwa kasi ila sio mbaya ukristu utabaki kuenea sambamba na rate za illiteracy and ignorence katika nchi husika.
Wewe hiyo kauli ya Othman kuchoma Qur'an umeipata wapi!?Unataka ushahidi wa akiwa anachoma ?
What happened to the original Quran?Ulisoma kuhusu safari ya israah na miraaj kwenye suratul Israah!?
Umesoma suratul fajri?
Umesoma Suratul aswri!?
Aya Sasa naomba wewe utujibu wapi kwenye Qur'an pameandikwa ulichosema!?
Twende taratibu usikimbie,wapi inasemekana kwamba zamani wanawake walikua wanawahi kuvunja ungo,Muhammad alimuoa Aisha akiwa na miaka 6 akaanza kumwingilia akiwa na miaka 9 sio alimuoa akiwa na miaka 9Weeh weeeh ulisema Qur'an hukusema Hadith.
Na pia hayo maelezo ni ya Sirah sio Hadith umeshafeli.
Mtume alimuoa Bi.Aisha akiwa na miaka 9,na inasemekana zama za zamani mabinti walikua wanawahi kuvunja ungo na walikua na maumbile ya ukuaji wa haraka.
Na alimlea Bi Aisha mbaka akamaliza balehe ndio alipoanza kumchukulia mke wa moja kwa moja.
Aya Lete ushahidi wa mtume kumbaka Zainab na kumuoa mke wa mwanawe,na huyo ni mwanawe yupi embu mtaje jina!??
Hata kiingereza unakijua kweli!?What happened to the original Quran?
The original manuscript was sent back to Hafsah and Uthman then ordered all other unofficial copies to be burned or otherwise destroyed. Thus, an end was put to the dispute and the Muslims were united. The Uthmani Quran is the Mushaf used by more than 1.2 billion Muslims throughout the world today.
Ndoa za hivyo katika jamii ya kureshi zilikua zinafanywa kujenga mahusiano mazuri kati ya jamii na jamii .kwaio wakureshi walikua wanaoa wanawake ambao hawajabalehe?
Shida yako wewe kwanza hujui kama kuna hadithi sahihi dhaifu nk pia wakati huo huo unaamini hadithi na tafsiri juu ya s a w kuoa binti wa miaka sita ila huwa kubali watafsiri juu ya suala tano msimamo wako upiQuran na Hadith lazima vitegemeane na vyote ni vya kweli kwa mujibu wa uislam swali je Muhammad ni uongo alimuoa Aisha akiwa na miaka 6?
Unabishana na mimi niliyesoma Sirah ya mtume!?Twende taratibu usikimbie,wapi inasemekana kwamba zamani wanawake walikua wanawahi kuvunja ungo,Muhammad alimuoa Aisha akiwa na miaka 6 akaanza kumwingilia akiwa na miaka 9 sio alimuoa akiwa na miaka 9
Kulikua na Ulazima gani wakufanya hivi wakati Quran ilishuka kutoka Kwa Allah na ilishaandikwa?Hata kiingereza unakijua kweli!?
Ni nini maana ya Original manuscript!??
Yani makala halisi ndio ilipelekwa Kwa Othman ana zile UNOFFICIAL Yani zisizothibitika zikateketezwa.
Aya hapo ni wapi wamesema kuwa Othman alichoma Qur'an!??
Kijana hii ndio shida yenu ku C&P pasi na kuelewa maana halisi ya kilichoandikwa.
Kaka huyu muache ameshaanza kujikaanga na wese lake mwenyewe.Shida yako wewe kwanza hujui kama kuna hadithi sahihi dhaifu nk pia wakati huo huo unaamini hadithi na tafsiri juu ya s a w kuoa binti wa miaka sita ila huwa kubali watafsiri juu ya suala tano msimamo wako upi
Ndio uelewa wako ulipoishia unaelewa maana ya kuomba kwanza ama huelewi maana ya kuombaKwaio Mussa alimzidi ufahamu Mohammad na Allah kwamba 50 haziwezekani? Maana Muhammad alirudi mara ngapi apunguziwe hadi zikafika 5?
Msimamo wangu ni kuwa wafanya tafsiri huwa wanajitahidi kufanya uteteziShida yako wewe kwanza hujui kama kuna hadithi sahihi dhaifu nk pia wakati huo huo unaamini hadithi na tafsiri juu ya s a w kuoa binti wa miaka sita ila huwa kubali watafsiri juu ya suala tano msimamo wako upi
Uzuri hio qur an licha ya miujiza yake yooote ikajipambanua kwamba haikulazimishi ukitaka utaifata usipo taka endelea na yako mutakutana mbele ya safari hukoHapana vitu vingi vimetengenezwa we fuatilia miujiza inayosemwa ipo kwenye Quran utachoka
Ile safari yote angalau ina mkanganyiko wa kuwepo ila pia Mungu uwezi ukawa unapanga nae kama vile upunguziwe wakati ni amri katoa na kumbuka Mussa ndio alikua anasaidia ili kuonyesha tuu Mohamad alionana na Mussa ile ni hadithi ya kutungwaNdio uelewa wako ulipoishia unaelewa maana ya kuomba kwanza ama huelewi maana ya kuomba
Unajua ni zipi hizo Original manuscript!?Kulikua na Ulazima gani wakufanya hivi wakati Quran ilishuka kutoka Kwa Allah na ilishaandikwa?
Qur an iliandikwa mapande mapande na ilishuka mapande mapande ama hili nalo hulijuiKulikua na Ulazima gani wakufanya hivi wakati Quran ilishuka kutoka Kwa Allah na ilishaandikwa?
Inakuwaje Quran iliyokamilika itegemee Hadith ili iweze kueleweka kwa wasomaji wake?Hadithi bila qur an pia haiwezi kusimama sababu ili hadithi isimame inatakiwa isipingane na yaliomo ndani ya qur an
Kwaiyo Mtu akikutukana unatakiwa na wewe umtukane??Alianza kunitukana halafu Karne ya 5 hakukua na Jina Mohammad kwenye maandishi ya Kiarabu alikua ana Jina jengine kabisa sio ili Mohammad
The definition of the age of ‘Aishah (may Allah be pleased with her) when the Prophet (blessings and peace of Allah be upon him) did the marriage contract with her as being six years, and of the age when he consummated the marriage with her as being nine years,Unabishana na mimi niliyesoma Sirah ya mtume!?
Mtume alimuoa Bi.Aisha akiwa na miaka 9 sio 6.
Yani huna ushahidi umekosea na bado unadanganya.
Kisayansi balehe Kwa mwanamke inaanza umri gani!?
Puberty inaanza umri gani Kwa msichana!?
Sasa kwanini wasijitetee kwenye s a w kuoa mtoto wa miaka sita kama mnavyodai maana hakuna aya utanipa imethibitisha hilo kama ipo ileteMsimamo wangu ni kuwa wafanya tafsiri huwa wanajitahidi kufanya utetezi