busy bees
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 2,249
- 1,340
Ni siku nyingine tena ... Mungu tujalie uzima, afya, nguvu, hekima, busara na kuyatimiza malengo yetu ....
Kiswahili kama lugha nyingine kina sifa zifuatazo:-
a) kuzaliwa
b) kukua
c) kufa
Maneno mapya yaingiapo katika matumizi ya kila siku ama mara nyingi ( frequently ) ndo kukua kwa lugha . Lakini neno lapaswa thibitishwa na BAKITA ili liingie rasmi katika matumizi.
Swali: Maneno hayo tajwa hapo juu yana maana gani? .... Je yanatambuliwa na yameshathibishwa na BAKITA kutumika rasmi?
Kiswahili kama lugha nyingine kina sifa zifuatazo:-
a) kuzaliwa
b) kukua
c) kufa
Maneno mapya yaingiapo katika matumizi ya kila siku ama mara nyingi ( frequently ) ndo kukua kwa lugha . Lakini neno lapaswa thibitishwa na BAKITA ili liingie rasmi katika matumizi.
Swali: Maneno hayo tajwa hapo juu yana maana gani? .... Je yanatambuliwa na yameshathibishwa na BAKITA kutumika rasmi?