Ukuaji wa lugha ya Kiswahili: Neno Mbashara

Ni siku nyingine tena ... Mungu tujalie uzima, afya, nguvu, hekima, busara na kuyatimiza malengo yetu ....

Kiswahili kama lugha nyingine kina sifa zifuatazo:-

a) kuzaliwa
b) kukua
c) kufa

Maneno mapya yaingiapo katika matumizi ya kila siku ama mara nyingi ( frequently ) ndo kukua kwa lugha . Lakini neno lapaswa thibitishwa na BAKITA ili liingie rasmi katika matumizi.

Swali: Maneno hayo tajwa hapo juu yana maana gani? .... Je yanatambuliwa na yameshathibishwa na BAKITA kutumika rasmi?
 
Shilawadu ni kifupi kirefu chake ni: Shilika LA wambea duniani (shilawadu)
Kwahiyo umbea ndio umezaa shilawadu
Aaaaaaahaaaaaa kumbe .... wambea nao wameanzisha shirika [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] makubwa
 
SHILAWADU ni kijiji kimoja huko Bangladeshi ambacho kiko katikati ya mapori ya miti ya ukwaju { tamarindus indicus}
 
SHILAWADU ni kijiji kimoja huko Bangladeshi ambacho kiko katikati ya mapori ya miti ya ukwaju { tamarindus indicus}
Asante kwa taarifa. Je matumizi ya kila siku ya wa- tz kuhusu neno SHILAWADU humaanisha pia kijiji nchini Bangladesh kilichoko katikati ya mapori ya miti ya ukwaju?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…