Aaaaaaahaaaaaa kumbe .... wambea nao wameanzisha shirika [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] makubwaShilawadu ni kifupi kirefu chake ni: Shilika LA wambea duniani (shilawadu)
Kwahiyo umbea ndio umezaa shilawadu
Asante kwa taarifa. Je matumizi ya kila siku ya wa- tz kuhusu neno SHILAWADU humaanisha pia kijiji nchini Bangladesh kilichoko katikati ya mapori ya miti ya ukwaju?SHILAWADU ni kijiji kimoja huko Bangladeshi ambacho kiko katikati ya mapori ya miti ya ukwaju { tamarindus indicus}
Mmh, ngoje waje waleee!!!Asante kwa taarifa. Je matumizi ya kila siku ya wa- tz kuhusu neno SHILAWADU humaanisha pia kijiji nchini Bangladesh kilichoko katikati ya mapori ya miti ya ukwaju?
Niaje kuhusu BAKITA .... wanalifahamu hilo neno?Mubashara Ni msamiati wa kiswahili yaan moja kwa moja live
Akina nani hao?Mmh, ngoje waje waleee!!!
Kwa maana hiyo si lazima yathibitishwe na baraza husikaKwa kiswahili tunaita maneno ya msimu hayo huja na kupotea
Sio lazima kwani yale kama utajiju, yalithibitishwa?Kwa maana hiyo si lazima yathibitishwe na baraza husika
Mkuu rekebisha hapo kwenye scientific/ botanical name isomeke ....... tamarinduus indicaSHILAWADU ni kijiji kimoja huko Bangladeshi ambacho kiko katikati ya mapori ya miti ya ukwaju { tamarindus indicus}
Nimekupata ms sandra, thanksSio lazima kwani yale kama utajiju, yalithibitishwa?
BAKITA ndio waliolileta haswaaa, kwa watumiajiNiaje kuhusu BAKITA .... wanalifahamu hilo neno?
KabisaMkuu rekebisha hapo kwenye scientific/ botanical name isomeke ....... tamarinduus indica
Asante mkuu ni tamarinduus indica, lakini na wewe umekosea hujapigia mistari hayo maneno kama utaratibu unavyotakiwa, au vipi!!!Mkuu rekebisha hapo kwenye scientific/ botanical name isomeke ....... tamarinduus indica
tamarindus indica [emoji118] that's what I meant .... just a typing errorMkuu rekebisha hapo kwenye scientific/ botanical name isomeke ....... tamarinduus indica
Yes ninafahamu mana mie ni forester ... tatizo simu niitumiayo mkuuAsante mkuu ni tamarinduus indica, lakini na wewe umekosea hujapigia mistari hayo maneno kama utaratibu unavyotakiwa, au vipi!!!
Mubashara ni msimiati rasmi na bakita wanaufahamuNiaje kuhusu BAKITA .... wanalifahamu hilo neno?