Kwani kuna mashindano?ITV itabaki kuwa super brand tu.Hivi mnajua neno mubashara limehasisiwa na ITV?
Cha kushangaza clouds wamelidandia na vijana wanajua wao ndio waasisi.Sisemi ni neno jipya"No"Najua lipo kwenye kamusi.Ila walioliubua.Ni ITV tanzania.Sio Clouds group."Tuwe wabunifu"Sifa ziwarudie ITV na Sio Clouds.
... Waste of time and space, si ungeuchuna tuu mods wanafanya wajibu wao? Back to the topic ni kweli ITV ni creative...Hii nayo ni habari ya siasa?
Haaaahaahaa.... Kabisa Mkuu...huyu jamaa ana vichaa wanne ndani yake.
Walilipwa mpaka zimeisha saaa hz ,Kwani kuna mashindano?
ITV wameshalipwa mishahara yao ya January au unashabikia ushabiki mandondo tu?
Hii nayo ni habari ya siasa?
Wape shua mkuuClouds always hudandia jambo na kuliboresha hata kipindi cha Friday Night Live toka EATV wamekicopy japo now kimechukua mkondo wa udaku, kipindi vya mziki wanacopy MTV hawana ubunifu kabisa
Sasa ndo unaleta ujumbe ganiITV itabaki kuwa super brand tu.Hivi mnajua neno mubashara limehasisiwa na ITV?
Cha kushangaza clouds wamelidandia na vijana wanajua wao ndio waasisi.Sisemi ni neno jipya"No"Najua lipo kwenye kamusi.Ila walioliubua.Ni ITV tanzania.Sio Clouds group."Tuwe wabunifu"Sifa ziwarudie ITV na Sio Clouds.
Hili ni neno la kiarabu ikiwa kuna kipindi kinarushwa live wao huandika mubashara