Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Sawa bhana!!!,Kila heri.Ndio hivyo, mie sio Msabato na wala sina ndugu hata mmoja ambe ni Msabato; chimbuko langu la KIDINI ni RC, kua kwenye chimbuko hilo hakunifanyi nisihoji chochote ingawa pia kwenye hu uzi hakuna sehemu nimelisema vibaya thehebu hili, nimeonesha upande wa pili ninao ujua through michango ya watu kama 2 hivi.
kwakweliWana maana yao
Bangi mbaya sanaView attachment 1723557
Sijui kwanini huaga mnadhania kila anae andika kuhusu RC hua mnadhania ni MSABATO; now to answer your question ni kwamba huyo mtu (Hellen G. White ) namchulia kama nabii wa UONGO kama walivyo manabii wengine wa UONGO. Una swali lingine?
Hao wanamambo mengi sana
Sasa zikiwepo shida nini kwani watoto hawapaswi kuwa na biblia?Na wasabato je?,Mna Hadi Biblia zinaitwa Biblia za Watoto.Jinga kabisa nyie
Maandiko ya madhehebu mengi ukiyasoma vizuri yana ukakasi, kwa mujibu wa wasomi wa dini, dini ya budha ndiyo yenye maandiko bora zaidikatoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko
🤣🤣🤣Sasa zikiwepo shida nini kwani watoto hawapaswi kuwa na biblia?
vip mkuu??
hapana Triple 6 afu hizo blocks ziko 4 hii hapana kwa kweli🤣🤣🤣Tazama muonekano wa majengo ya UDOM kisha unipe tafsiri yakoView attachment 1723670
Umeelewa nlichoandika mkuu???Mkuu kuna scenario Mawingu hukaa shape mbali mbali na watu huspot hizo shapes..
Huenda ikawa niimetokea tu na wewe ukafananisha..
wachina wanajijua wao; hapo wameacha cults zaohapana Triple 6 afu hizo blocks ziko 4 hii hapana kwa kweli🤣🤣🤣
Ufunuo 17:18Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Umeelewa nlichoandika mkuu???
Okeyy sawa mkuuNimekuelewa mkuu.
Upagani, upi? Unaweza niambia katika bible au quran wapi mwanamke alisimama mbele ya madhabahu kusalisha.Dini mbili kubwa duniani, ukatoliki na uislamu zimeingiza upagani mwingi sana ndani yao.
Ati nyoka ni mwerevu sana kuliko wanyama wengineUnaweza fananisha hio pattern na kitu kingine ukiacha nyoka?
Tunafaham kuwa ubongo huwa una kawaida ya "Ku assign meaning" from "patterns"
Lakini kuna aina mbili za pattern....tuna random patterns, hizi hazina Creator
Ni product ya chance/nature
Kama sura ya MTU mwezini,sura ya nyerere kwenye mti etc...
Ila kuwa designed patterns,mfano sura yako..
Michoro au emoji...
Sasa designed pattern huwa ni intended,yaani zimeundwa kuonyesha hicho unachokiiona
Na haiwezekani kwa watu wawili kuona picha tofauti kwa sababu bongo zetu zinatumia same Mechanism...
Ndio maana nikauliza hapo juu unaweza kuona picha nyingine tofauti na nyoka?...umeona tembo?
Ndipo tunaporudi kwenye Maada
Huo ukumbi wa papa,wahandisi wake walitaka uone unachokiiona,hizo ni design patterns
Sasa swali linakuja kwanini "Nyoka"?
Unonekana unautazama ulimwengu kupitia tundu la kitasa
Your view of reality is very limited
Tupe japo kiufupi mkuuUmenikumbusha Kuna documentary moja Inaitwa SECRET OF SYMBOL mpak lile duara la nyuma katika picha ya yesu nilivyojua maana yake nilichoka..!