Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?

Ndio hivyo, mie sio Msabato na wala sina ndugu hata mmoja ambe ni Msabato; chimbuko langu la KIDINI ni RC, kua kwenye chimbuko hilo hakunifanyi nisihoji chochote ingawa pia kwenye hu uzi hakuna sehemu nimelisema vibaya thehebu hili, nimeonesha upande wa pili ninao ujua through michango ya watu kama 2 hivi.
Sawa bhana!!!,Kila heri.
 
ndio sku zote inavyokuwa
wanapaswa kutambua hamna msabato hapa
Sijui kwanini huaga mnadhania kila anae andika kuhusu RC hua mnadhania ni MSABATO; now to answer your question ni kwamba huyo mtu (Hellen G. White ) namchulia kama nabii wa UONGO kama walivyo manabii wengine wa UONGO. Una swali lingine?
 
Mkuu kuna scenario Mawingu hukaa shape mbali mbali na watu huspot hizo shapes..

Huenda ikawa niimetokea tu na wewe ukafananisha..
 
Tukisema hapa kuna watu watadai tunakashfu imani ya watu ila kanisa katoliki siyo dhehebu sahihi kimaandiko hata huyo nyoka anasadifu ni nani kiongozi wake rejea ktk biblia yule anayetajwa kama nyoka ni nani ukimfahamu basi huyo ndiye
Ufunuo 17:18
 
Dini mbili kubwa duniani, ukatoliki na uislamu zimeingiza upagani mwingi sana ndani yao.
Upagani, upi? Unaweza niambia katika bible au quran wapi mwanamke alisimama mbele ya madhabahu kusalisha.
Lskini leo kuna maaskofu,eti wachungaji wainjiristi. Njoo na utetezi wa kibible au quran
 
Unaweza fananisha hio pattern na kitu kingine ukiacha nyoka?

Tunafaham kuwa ubongo huwa una kawaida ya "Ku assign meaning" from "patterns"

Lakini kuna aina mbili za pattern....tuna random patterns, hizi hazina Creator
Ni product ya chance/nature

Kama sura ya MTU mwezini,sura ya nyerere kwenye mti etc...

Ila kuwa designed patterns,mfano sura yako..
Michoro au emoji...

Sasa designed pattern huwa ni intended,yaani zimeundwa kuonyesha hicho unachokiiona
Na haiwezekani kwa watu wawili kuona picha tofauti kwa sababu bongo zetu zinatumia same Mechanism...

Ndio maana nikauliza hapo juu unaweza kuona picha nyingine tofauti na nyoka?...umeona tembo?

Ndipo tunaporudi kwenye Maada
Huo ukumbi wa papa,wahandisi wake walitaka uone unachokiiona,hizo ni design patterns

Sasa swali linakuja kwanini "Nyoka"?

Unonekana unautazama ulimwengu kupitia tundu la kitasa
Your view of reality is very limited
Ati nyoka ni mwerevu sana kuliko wanyama wengine
 
Back
Top Bottom