Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Kwa mwenye akili anajua hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe, anataka kujiongezea nguvu aonekane mtu mzito sana.

Serikali ingetaka kutangaza wangetumia structure yake inayoeleweka wangemtumia msemaji wa jeshi la polisi au account za tanpol ambazo mpaka sasa zipo kimya hazijasema lolote.

Yani taarifa imetangazwa Jumamosi na account imefutwa usiku hahahaha jamani serikali haifanyi mambo yake namna hiyo acheni upumbavu wa kumeza kila tango.

Washawajua watanzania mnapenda sana udaku na mpo radhi kuupambania udaku uwe ukweli kwa kuwa tu mnaupenda.

Kuna baadhi walifananishwa na nyumbu kwa mahaba yao yaliyopitiliza.
Hongera usie penda udaku ila una comment kwenye udaku,

Account ya serikali ambayo ni verified na fb, harafu unasema tunapenda udaku, ila Mataga dah bado safari ndefu
 
Kwa mwenye akili anajua hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe, anataka kujiongezea nguvu aonekane mtu mzito sana.

Serikali ingetaka kutangaza wangetumia structure yake inayoeleweka wangemtumia msemaji wa jeshi la polisi au account za tanpol ambazo mpaka sasa zipo kimya hazijasema lolote.

Yani taarifa imetangazwa Jumamosi na account imefutwa usiku hahahaha jamani serikali haifanyi mambo yake namna hiyo acheni upumbavu wa kumeza kila tango.

Washawajua watanzania mnapenda sana udaku na mpo radhi kuupambania udaku uwe ukweli kwa kuwa tu mnaupenda.

Kuna baadhi walifananishwa na nyumbu kwa mahaba yao yaliyopitiliza.
Mimi binafsi sikuamini kama serikali inaweza kuweka tangazo wazi vile tena unprofessional, Lakini maswali yakuja kuwa nani ali verify ile account kule facebook, Verification ni Process tena kwa page kama ile ya government of Tanzania inafikirisha sana ni kama kipindi kile tunaelekea uchaguzi mkuu, Page za activists wengi zilikuwa verified kwa kupewa blue tick kule twitwani
 
Nimeliona hilo Tangazo la Serikali.
Nilichofanya ni kucopy hiyo picha ya kigogo,nikikutana naye njiani niripoti polisi nipate "zawadi nono"
Haaaahaaaa umetisha mkuu! Mwenye hip picha kama ndiyo kigogo yupo marekan we panda ndege tu ukambebe
 
Kigogo hakamatiki! Kangi Lugola alijiapiza, lakini mpaka anatumbuliwa na bosi wake, alishindwa kumtia mikononi!

Dawa sahihi ni kwa serikali mpya kukibali tu kubadilika. Rais avunje Baraza la Mawaziri. Airudishe Nchi katika misingi sahihi ya kiutawala, na mwisho wa siku huyo Kigogo atapoteza mashabiki na kupotea kabisa.
Solution ni kusafisha usalama wa taifa.
 
Kigogo hakamatiki! Kangi Lugola alijiapiza, lakini mpaka anatumbuliwa na bosi wake, alishindwa kumtia mikononi!

Dawa sahihi ni kwa serikali mpya kukibali tu kubadilika. Rais avunje Baraza la Mawaziri. Airudishe Nchi katika misingi sahihi ya kiutawala, na mwisho wa siku huyo Kigogo atapoteza mashabiki na kupotea kabisa.
Kwani alikwambia anataka mashabiki?
 
Haha swali likitoka anachaguliwa mtabe wa kujibu ha ha ha ile inaitwa MVURUGO STYLE we angalia muda wote yupo online hujiulizi
Sizani yaani jaribu tu siku kumuuliza kuhusu hilo utajua
 
Kwahiyo jamaa akaunda akaunti ya Tanzania Government na akatoa kila uthibitisho mpaka akaunti ikawa verified with a blue tick? Kwamba hii akaunti inawakilisha Serikali ya Tanzania.

Hivi unaona matundu ya logic yako? Kwa logic yako hiyo inamaanisha jamaa ana credentials necessary za serikali ya Tanzania na anaweza kuzitumia kupata verification katika social networks.

Na kisha serikali haijaukana huo ukurasa kwamba siyo wao na wala haijaukubali ila ukurasa umefutwa tu.
Kuna masharti gani magumu kufungua Akaunti FB au ndiyo ujuaji usio na kichwa wala miguu na tu kiingereza huto kwenye maelezo Yako sijui verified,blue tick,logic,etc.?
 
Hakuna matundu wewe kwa kuwa unapenda udaku ndio maana upo kwenye denial.

Serikali haifanyi mambo yake kupitia Facebook ingetaka kumtafuta kuna vyombo vyake ingetumia kuutangazia umma. Hiyo ni michezo ya Kigogo mwenyewe lakini nitasema nini unielewe na ameshaiteka akili yako.
Andika logic acha assumptions za sijui akili imetekwa au kupenda udaku.

Nikiandika assumptions kama wewe kwa unachoking'ang'ania ninaona kwamba haujui kua Tanzania isingekua nchi ya kwanza kua na ukurasa mtandaoni.

Haujui kwanini account verification inafanywa.

Haujui blue tick ni ya kazi gani.

Hauna uelewa juu ya social networks.
 
Aisee hii nchi kuna visa vya ajabu sana.

Hivi huyo jamaa sijui kigogo, aliwaaminisha watu kiwa ugomvi wake na marehemu ilikuwa kuvunjiwa nyumba ila tumeona anaingilia mpaka serikali ya awamu hii na ameapiza kuichokonoa endapo haitaruhusu haki ya kujieleza.

What a shame like this, hao sinui vigogo wanafahamika na kuna vijana hapo TCRA wapo tayari kutoa ushirikiano kwa kitengo cha siri cha tiss au jeshi kuelezea ukweli wa huyo jamaa.
Walishindwa waislaeri wataweza hao waliosomea UDOM [emoji23][emoji23]
 
Kuna masharti gani magumu kufungua Akaunti FB au ndiyo ujuaji usio na kichwa wala miguu na tu kiingereza huto kwenye maelezo Yako sijui verified,blue tick,logic,etc.?

Mimi nilichoandika kipo wazi, kama hauna akili ya kukielewa siyo kosa langu ni lako.
 
Watanzania nipeni Muda huku mkiandaa hiyo zawadi nono ... Sina ajira na tafiti nimeshaanza kuna namba inatumika tigo.. Mtumiaji anaitwa tigo pesa. Na huyu mtu kuna kipind alkuw mfukunyuku wa ripot za Kenya. Kuna member hum jf namshuku ukaribu nae (nao). Nipeni mda [emoji39][emoji39][emoji39]
 
Kigogo hakamatiki! Kangi Lugola alijiapiza, lakini mpaka anatumbuliwa na bosi wake, alishindwa kumtia mikononi!

Dawa sahihi ni kwa serikali mpya kukibali tu kubadilika. Rais avunje Baraza la Mawaziri. Airudishe Nchi katika misingi sahihi ya kiutawala, na mwisho wa siku huyo Kigogo atapoteza mashabiki na kupotea kabisa.
Arudishe nchi katika wizi na ukwepaji kodi, na unyanyasji wa mama ntilie ilihal wezi mkinyenyekewa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika logic acha assumptions za sijui akili imetekwa au kupenda udaku.

Nikiandika assumptions kama wewe kwa unachoking'ang'ania ninaona kwamba haujui kua Tanzania isingekua nchi ya kwanza kua na ukurasa mtandaoni.

Haujui kwanini account verification inafanywa.

Haujui blue tick ni ya kazi gani.

Hauna uelewa juu ya social networks.
Castle ni Shida
 
Kwahiyo jamaa akaunda akaunti ya Tanzania Government na akatoa kila uthibitisho mpaka akaunti ikawa verified with a blue tick? Kwamba hii akaunti inawakilisha Serikali ya Tanzania.

Hivi unaona matundu ya logic yako? Kwa logic yako hiyo inamaanisha jamaa ana credentials necessary za serikali ya Tanzania na anaweza kuzitumia kupata verification katika social networks.

Na kisha serikali haijaukana huo ukurasa kwamba siyo wao na wala haijaukubali ila ukurasa umefutwa tu.
Bongo ina watu vihande sana wa kufikiri tuwavumilie tuu Mkuu yaani kigogo eti anahitaji umaarufu tena?
 
Kigogo hakamatiki! Kangi Lugola alijiapiza, lakini mpaka anatumbuliwa na bosi wake, alishindwa kumtia mikononi!

Dawa sahihi ni kwa serikali mpya kukibali tu kubadilika. Rais avunje Baraza la Mawaziri. Airudishe Nchi katika misingi sahihi ya kiutawala, na mwisho wa siku huyo Kigogo atapoteza mashabiki na kupotea kabisa.
that's, not a solution, bila shaka wewe umo ndani ya hilo kundi, usitegemee kwamba hayo yatafanyika, hao vigogo hawatopata chochote wanacho kihitaji serikalini.
 
Arudishe nchi katika wizi na ukwepaji kodi, na unyanyasji wa mama ntilie ilihal wezi mkinyenyekewa.


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Wanyonge hamtaki kabisa kuona na sisi tukiishi maisha mazuri! Mnataka muishi nyinyi tu. Haya sasa mtetezi wenu hayupo. Ni wakati kwenu sasa kuishi kwa kujitegemea na kufuata sheria za nchi.
 
siku zake zina hesabika, ni bora ajitokeze tu kama kweli ni jasiri.
 
Back
Top Bottom