Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ulivyo laanika wewe na ukoo wako unafikiri ni nchi nzima?
 
Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!

Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?

Mataahira nyie
Kama nakuona ulivyofura baada ya kuguswa, hahahaahah eti cheti feki cha mama yake, umesahau na madawa ya kulevya au muuza nganda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizi hasira zote ni sababu alikubutua akakucha bila urithi?
 
Kwanini ile 1.5tr ambayo Jiwe na gang lake waliipiga wasingelipa hayo madeni?
 
Kama nakuona ulivyofura baada ya kuguswa, hahahaahah eti cheti feki cha mama yake, umesahau na madawa ya kulevya au muuza nganda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie mataahira mna kazi sana
 
Mimi sishauriki kabisa, na ukinishauri ndiyo umeharibu kabisa
Safi sana! Huyo ndio rais sasa!

Siyo hawa pimbi wa sasa hivi wanaoshauriwa na kina Makamba na Nape
 
Wewe tafuta hela acha kulia lia hapa! Lini serkali inagawa hela! Sema tu serkali ya bibi yenu haijui inachofanya!
Wewe mjane wa dhalim ndiyo huna hela unalia lia tu nenda kaombolezee huko kaburini kwake bwege wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…