Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ngano tunategemea ya Ukraine na Russia unadhani wanalimia mikono?
Yani ungekataa vyote ila apo kwenye umeme wa Nini mkuu umefeli sana futa kauli yako kabisa Yani ata wenzako wasio mpenda magu hawato kuunga mkono
Watu kama hawa si wanafuata mkumbo kusikia magu anachukiwa basi nao wanamalizia hasira za umaskini wao hapo kila mmoja ana mapungufu yake magu alizingua kwa upande fulani na nikawaida kwa viongozi wa afrika panapostahili pongezi apewe anapozingua aambiwe kama mama yetu anapenda kusifiwa kwakua ni binadamu na ana mapungufu yake pia
 
Sio kitengo tu na mapopoma kibao wanatofautiana misimu tu kipindi cha jpm walikuepo waliosifia hadi ujinga unaotuumiza na hivyo hivyo serikali hii pia wapo kusifia hata visivyofaa kusifiwa ila mwisho wa uongozi utaona wanaibuka wengine wa kumsifia na wengine watamponda
 
Na hizi pesa mnazokopa kila siku mnapeleka wapi? Kama hamtakaa mkafikiria mtalalamika wee mpaka kiporo kinaisha 2025 hii hapa.
 
Magufuli alisema tutamkumbuka na in kweli tunazidi kukukumbuka.mama nchi imemshinda anachojua ni kupokea vi PhD uchwara tu
 
Jizi kazini.
hata uibe vipi utaliwa na funza tu
 
Umekaribia kuzaaaa tu mimba ya marehemu
 
Tumieni hizo phD mlizopata kutatua changamoto za Watanzania.
 
Tafuta pesa na ununue generator na uchimbe kisima, achana na habari za kumlilIa mungu wako wa mchongo aka Jiwe
Ondoka hapo nyumban kwa shemejibalikoolewa dadako ndio utajua umuhimu wa umeme
 
Acha jazba sukuma gang, dhalimu alikuwa sio.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jaziba zipi sasa?

Nyie watu mliobutuliwa na Magufuli mna tabu kweli!

Mtaishi kwa stress mpaka lini?
 
We nae punguwani kabisa. Ndiyo umeandika maujinga gani haya?

Aliyesabasha ndege ikamatwe ni jpm wako aliyekurupuka kuvunja mkataba 2016. Huu ndiyo ukweli!
Akili yako ni mazagazaga kama lilivyo jina lako
 
Bado kesi za walioporwa mali zao baada ya Azimio la Arusha na Mapinduzi ya Zanzibar zitakuja tu siku moja.

Haiwezekani, kipindi hicho katiba haikutambua haki za binadamu. Ndio maana wengi walishindwa kufungua kesi dhidi ya serikali.
 
Yule alikuwa hamna kitu
Kwani Magufuli ndiyo aliye sign hiyo mikataba ya kiunyonyaji!!? Tena Magu alifanya vizuri sana kuivunja angalau na sisi tumejua kumbe kuna watu wali sign mikataba ya hovyo sana hadi kesho itaendelea kuligharimu Taifa!!
 
Na hizi pesa mnazokopa kila siku mnapeleka wapi? Kama hamtakaa mkafikiria mtalalamika wee mpaka kiporo kinaisha 2025 hii hapa.
Mikopo ni biashara za watawala kutakatishia kodi zetu,wao ukopa kupata 10% wataondoka madarakani mzigo watabeba walipa kodi
 
Ngano tunategemea ya Ukraine na Russia unadhani wanalimia mikono?
Yani ungekataa vyote ila apo kwenye umeme wa Nini mkuu umefeli sana futa kauli yako kabisa Yani ata wenzako wasio mpenda magu hawato kuunga mkono
Nani kasema kilimo ni cha mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…