Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hicho kituo cha mafuta mwanza bila kubomolewa barabara ya Airport ingepanuliwa kweli? Hata jengo la TANESCO sijui unamaanisha nini au ndo siasa zenu uchwara! Sasa tuambie huyu asiyebomoa kajenga nini? Hilo jengo la TANESCO lilipobomolewa tena wing moja tu iliyoingia dani ya hufadhi ya barabara ulipungukiwa nini?kivuko cha mv bagamoyo
kituo cha mafuta mwanza
meli ya uvuvi ya wachina
kuunganisha mifuko ya kijamii
kubomoa jengo la TANESCO ubungo
Jibu hoja acha hasira uchwara, nimeorozesha mambo mengi wewe unajibu moja?Hivi hicho kituo cha mafuta mwanza bila kubomolewa barabara ya Airport ingepanuliwa kweli? Hata jengo la TANESCO sijui unamaanisha nini au ndo siasa zenu uchwara! Sasa tuambie huyu asiyebomoa kajenga nini? Hilo jengo la TANESCO lilipobomolewa tena wing moja tu iliyoingia dani ya hufadhi ya barabara ulipungukiwa nini?
Hawa misukule ya yule mwendakuzimu hawana adabu kabisaKuwa na staha au kama huna hoja acha kuposti.
Hivi mtafanikiwa kweli hii kazi mnayoifanya?[emoji24][emoji24]Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Hao Malofa ni kuwa Ignore tu.Hawa misukule ya yule mwendakuzimu hawana adabu kabisa
Na bado kwenye madini. Alifuta Retention Licenses. Makampuni yote yaliyofutiwa yalienda kwenye mahakama ya kimataifa. Kwa aibu, marehemu akaomba mazungumzo nje ya mahakama. Akataka waje nchini awarudishie maeneo lakini waombe Mining Licenses ili waanze kuchimba. Makampuni mengi yakakataa, akaishia kuyalipa kimya kimya, huku wajinga wakiendelea kuamini kuwa alifanya mambo makubwa kwenye madini.Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Kama symbion waliilipa zaidi ya billion 300 ndani ya wiki moja bila kufuata utaratibu hata hizi watalipa tuTangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Nchi ilikuwa katika laana:Ila nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
Mwacheni tu.. huyu alishindikana...Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Unamimba ya magufuli?Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Wewe taahira umekariri vyeti feki tu, huyu kichaa wenu mwenyewe alidesa ile PHD yake ya mchongo. Na kwa taarifa yako mimi sijawahi kuajiriwa na serikali wala mashirika yake naitumia elimu yangu kujiingizia kipato si haba na kuna watu nawalipa mshahara. Na sina mrengo na utawala uliopo pia ndiyo maana mtu yeyote akiboronga nasema kwani siishi kwa fadhila ya watawala kama wewe uliyeachwa yatima na yule dhalimu aiyekufa kibudu. Bwege wewe na wote wenye akili maiti kama wewe.Ila nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
well saidIla nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
mtu aliye ajiri watu huwa jaitangazi kwa umma;tumia elimu yako vzrWewe taahira umekariri vyeti feki tu, huyu kichaa wenu mwenyewe alidesa ile PHD yake ya mchongo. Na kwa taarifa yako mimi sijawahi kuajiriwa na serikali wala mashirika yake naitumia elimu yangu kujiingizia kipato si haba na kuna watu nawalipa mshahara. Na sina mrengo na utawala uliopo pia ndiyo maana mtu yeyote akiboronga nasema kwani siishi kwa fadhila ya watawala kama wewe uliyeachwa yatima na yule dhalimu aiyekufa kibudu. Bwege wewe na wote wenye akili maiti kama wewe.
Usione aibu kuja kuomba kibarua utakufa njaa bure wewe kiazimtu aliye ajiri watu huwa jaitangazi kwa umma;tumia elimu yako vzr
Ukiwa na staha wewe kwa huyo mamko inatoshaKuwa na staha au kama huna hoja acha kuposti.
.mungu wako mbona hakuondolei ccm?Mungu alifanya maamuzi mema sana kutuondolea balaa.
Unaonaje sasa hivi inavyoelekea peponi kwa kasi ya ajabu!Bila hivyo nchi ilikuwa inaelekea kuzimu kwa kasi ya ajabu sana