Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

kivuko cha mv bagamoyo
kituo cha mafuta mwanza
meli ya uvuvi ya wachina
kuunganisha mifuko ya kijamii
kubomoa jengo la TANESCO ubungo
Hivi hicho kituo cha mafuta mwanza bila kubomolewa barabara ya Airport ingepanuliwa kweli? Hata jengo la TANESCO sijui unamaanisha nini au ndo siasa zenu uchwara! Sasa tuambie huyu asiyebomoa kajenga nini? Hilo jengo la TANESCO lilipobomolewa tena wing moja tu iliyoingia dani ya hufadhi ya barabara ulipungukiwa nini?
 
Hivi hicho kituo cha mafuta mwanza bila kubomolewa barabara ya Airport ingepanuliwa kweli? Hata jengo la TANESCO sijui unamaanisha nini au ndo siasa zenu uchwara! Sasa tuambie huyu asiyebomoa kajenga nini? Hilo jengo la TANESCO lilipobomolewa tena wing moja tu iliyoingia dani ya hufadhi ya barabara ulipungukiwa nini?
Jibu hoja acha hasira uchwara, nimeorozesha mambo mengi wewe unajibu moja?
kupora korosho za wakulima bila kuwa na uhakika wa soko
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Hivi mtafanikiwa kweli hii kazi mnayoifanya?[emoji24][emoji24]
 
Wewe unayejua uchumi na kwa akili yako uchumi chini ya Samia na Mwigulu ni mzuri? Naomba maoni yako mbobevu wa uchumi!?
[/QUOTE]
Atafanya nini SAsa wakati tayari hali ilisharibika,
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Na bado kwenye madini. Alifuta Retention Licenses. Makampuni yote yaliyofutiwa yalienda kwenye mahakama ya kimataifa. Kwa aibu, marehemu akaomba mazungumzo nje ya mahakama. Akataka waje nchini awarudishie maeneo lakini waombe Mining Licenses ili waanze kuchimba. Makampuni mengi yakakataa, akaishia kuyalipa kimya kimya, huku wajinga wakiendelea kuamini kuwa alifanya mambo makubwa kwenye madini.
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Kama symbion waliilipa zaidi ya billion 300 ndani ya wiki moja bila kufuata utaratibu hata hizi watalipa tu
 
Ila nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
Nchi ilikuwa katika laana:

Rais PhD fake - JPM
RC cheti fake - Makonda
Mawaziri vyeti fake - Mwigulu, Kigwangala
Uchaguzi fake
Madai fake - Kabudi alithibitisha
Uzalendo fake - CAG alithibitisha tulikuwa na Rais mzalendo fake, mporaji wa fedha za umma
Ununuzi wa korosho fake
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Mwacheni tu.. huyu alishindikana...
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Unamimba ya magufuli?
 
Ila nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
Wewe taahira umekariri vyeti feki tu, huyu kichaa wenu mwenyewe alidesa ile PHD yake ya mchongo. Na kwa taarifa yako mimi sijawahi kuajiriwa na serikali wala mashirika yake naitumia elimu yangu kujiingizia kipato si haba na kuna watu nawalipa mshahara. Na sina mrengo na utawala uliopo pia ndiyo maana mtu yeyote akiboronga nasema kwani siishi kwa fadhila ya watawala kama wewe uliyeachwa yatima na yule dhalimu aiyekufa kibudu. Bwege wewe na wote wenye akili maiti kama wewe.
 
Ila nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
well said
 
Wewe taahira umekariri vyeti feki tu, huyu kichaa wenu mwenyewe alidesa ile PHD yake ya mchongo. Na kwa taarifa yako mimi sijawahi kuajiriwa na serikali wala mashirika yake naitumia elimu yangu kujiingizia kipato si haba na kuna watu nawalipa mshahara. Na sina mrengo na utawala uliopo pia ndiyo maana mtu yeyote akiboronga nasema kwani siishi kwa fadhila ya watawala kama wewe uliyeachwa yatima na yule dhalimu aiyekufa kibudu. Bwege wewe na wote wenye akili maiti kama wewe.
mtu aliye ajiri watu huwa jaitangazi kwa umma;tumia elimu yako vzr
 
Back
Top Bottom