Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Wana JF,
Nasikitika kuwafahamisha kuwa wanafunzi wawili wa shule ya sekondari Ngasaro Wilaya ya Rorya(kata ya mkoma) wafariki dunia mchana huu baada ya kuangukiwa na ukuta.
Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa ukuta huo ulikuwa unatenganisha vyoo na madarasa.
Chanzo: Mmoja wa familia ya wafiwa aliyepo Shirati Rorya.
Bado nawasiliana nae kwa taarifa za kina zaidi.
Update:
Kwa taarifa zilizopo shule ni mpya inamiaka miwili.
Kwamba imefunguliwa mwaka jana na mwaka huu ndio kwanza inakidato cha pili.
Cc Luoman kwa update zaidi.
Update2:
Ambulance iliyoenda kuchukua miili ya marehemu yapinduka na kusababisha majeraha kwa kwa dereva na baadhi ya askari waliokuwamo.
Nasikitika kuwafahamisha kuwa wanafunzi wawili wa shule ya sekondari Ngasaro Wilaya ya Rorya(kata ya mkoma) wafariki dunia mchana huu baada ya kuangukiwa na ukuta.
Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa ukuta huo ulikuwa unatenganisha vyoo na madarasa.
Chanzo: Mmoja wa familia ya wafiwa aliyepo Shirati Rorya.
Bado nawasiliana nae kwa taarifa za kina zaidi.
Update:
Kwa taarifa zilizopo shule ni mpya inamiaka miwili.
Kwamba imefunguliwa mwaka jana na mwaka huu ndio kwanza inakidato cha pili.
Cc Luoman kwa update zaidi.
Update2:
Ambulance iliyoenda kuchukua miili ya marehemu yapinduka na kusababisha majeraha kwa kwa dereva na baadhi ya askari waliokuwamo.