Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Kwani mkuu...[emoji848][emoji848]Aisee wee noma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mkuu...[emoji848][emoji848]Aisee wee noma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe watu wa Kanda maalum ya Rorya wapo wengi humu kwenye jukwaa
Poleni kwa msiba chief....[emoji41][emoji41]Huu ujuzi umeisha kuwa wa wajaluo tena badala ya msiba
[emoji85][emoji85]Huu ni uzembe mkuu, nashauri walio husika wote wachukuliwe hatua kali saidi]
Kule naambiwa hatuna Z, na badala yake tunatumia S....[emoji28][emoji28][emoji85][emoji85]
ripWana JF,
Nasikitika kuwafahamisha kuwa wanafunzi wawili wa shule ya sekondari Ngasaro Wilaya ya Rorya(kata ya mkoma) wafariki dunia mchana huu baada ya kuangukiwa na ukuta.
Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa ukuta huo ulikuwa unatenganisha vyoo na madarasa.
Chanzo: Mmoja wa familia ya wafiwa aliyepo Shirati Rorya.
Bado nawasiliana nae kwa taarifa za kina zaidi.
Cc Luoman kwa update zaidi.
Mika, Wategi, Kakseru, Kamageta, Wagire, Kowak, Waturi kod loka tok pacho...[emoji12][emoji12]Huu ujuzi umeisha kuwa wa wajaluo tena badala ya msiba
Tanzania, Kenya and Uganda 100% wanasikilizanaDuh wapumzike kwa amani!
Mimi swali langu hivi wajaluo wa Tanzania na wa Kenya wanasikilizana kwa 100% au kuna baadhi ya maneno wanatofautiana kidogo?
Kwao ni wapi kwani...[emoji848][emoji848]Hadi sasa hv
Muende kwenu...
Ujaluoni huko mkajenge hata vyoo.. sio kuteta kiluo hapa mjini.
Eti jamani 2yrs!!Duu mbona hatari sana huo ujenzi una walakini
Kwani mkuu...[emoji848][emoji848]
......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Hicho kilatini ulichoandika hapo sio mchezo.
Wanasikilizana na huwezi tofautisha...Duh wapumzike kwa amani!
Mimi swali langu hivi wajaluo wa Tanzania na wa Kenya wanasikilizana kwa 100% au kuna baadhi ya maneno wanatofautiana kidogo?
Mmmh apa kuna namna makafara hayo....Update2..
Ambulance iliyoenda kuchukua miili ya marehemu yapinduka na kusababisha majeraha kwa kwa dereva na baadhi ya askari waliokuwamo.