Ukuta Shule ya Sekondari Ngasaro, Shirati Rorya waanguka. Wanafunzi wawili wafariki

Ukuta Shule ya Sekondari Ngasaro, Shirati Rorya waanguka. Wanafunzi wawili wafariki

Wana JF,

Nasikitika kuwafahamisha kuwa wanafunzi wawili wa shule ya sekondari Ngasaro Wilaya ya Rorya(kata ya mkoma) wafariki dunia mchana huu baada ya kuangukiwa na ukuta.

Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa ukuta huo ulikuwa unatenganisha vyoo na madarasa.

Chanzo: Mmoja wa familia ya wafiwa aliyepo Shirati Rorya.

Bado nawasiliana nae kwa taarifa za kina zaidi.
Cc Luoman kwa update zaidi.
rip
 
Duh wapumzike kwa amani!

Mimi swali langu hivi wajaluo wa Tanzania na wa Kenya wanasikilizana kwa 100% au kuna baadhi ya maneno wanatofautiana kidogo?
 
Duh wapumzike kwa amani!

Mimi swali langu hivi wajaluo wa Tanzania na wa Kenya wanasikilizana kwa 100% au kuna baadhi ya maneno wanatofautiana kidogo?
Wanasikilizana na huwezi tofautisha...
Wapo kibao wanaNIDA za kenya ambao ni watz
 
Update2..
Ambulance iliyoenda kuchukua miili ya marehemu yapinduka na kusababisha majeraha kwa kwa dereva na baadhi ya askari waliokuwamo.
 
Update2..
Ambulance iliyoenda kuchukua miili ya marehemu yapinduka na kusababisha majeraha kwa kwa dereva na baadhi ya askari waliokuwamo.
Mmmh apa kuna namna makafara hayo....
 
Back
Top Bottom