Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Kwahiyo hata ismail angekua mchina kwakuwa alienda huko uarabuni zingetengenezwa koo za kiarabu na sio za kichina
 
Ibrahimu ni baba wa imani. Wakiwemo Waarabu na uzao wa Jacob(Israel).

Hivi Esau yule kaka yake Jacob uzao wake ndo upi kwa dunia ya leo?
 
Ibrahimu ni baba wa imani. Wakiwemo Waarabu na uzao wa Jacob(Israel).

Hivi Esau yule kaka yake Jacob uzao wake ndo upi kwa dunia ya leo?
Uzao wa Esau wanahusishwa kimapokeo na Waedomu. Waedomu waliaminika kuwa Wasemiti waliokuwa wakiishi eneo la Edomu, lililo katika sehemu ya kusini ya Yordani ya kisasa. Katika simulizi ya Biblia, Esau anachukuliwa kuwa baba wa Waedomu, na uzao wake mara nyingi huitwa Waedomu.
 
Yakobo si alizaliwa akiwa yakobo,,baadae akapewa jina la ukubwani,akaitwa israel,,,🤗haina maana kuwa DNA nazo zilichange kuendana na jina,,
We baki na ukweli kuwa Rebeca alikua ni binti wa ki syria,,,,Abraham nao anaeza kuwa alizaliwa Ur,,lakini baba yake ni mzaliwa wa Paran,syria,,
Sara mke wa Abraham nae ni syria kwasababu sara alikuwa ni mtoto wa babake na Abraham,,yaani Abraham alioa dadake,,hivyo wote hawa asili yao ni syria,,
Hata isaack alipotoka kuoa ilikuwa marufuku kuoa binti wa caanan,,alirudi kwao syria kuoa,,,vilevile hata jacob alirudi kutafuta mke syria,,,
Kwahiyo waisrael ni uzao uluofuata wa jacob,,hao sasa ndo wana wa israel,,,yaani wana wa jacobo,,🤷.
Abraham,sara,isaack huwezi kuwaita waisrael maana hawa qualify
 
Mkuu hunijibu
 
Inaonekana hujui maana ya Israeli. Ibrahim yupo Israeli ilikuwa si yenye kutajika maana yake haikuwepo.
Israeli kwa kutumia Koran ni jina la mtu au la nini ? Lilitokana na nini au na nani?
 
Kuna andiko lolote linalosapoti haya uliyotaandiska hapa?ungeliambatanisha ili kujustfy
 
Okay tumekubali kwamba ismaily ni mtoto wa nje ya ndoa, Kwa hiyo baba wa mataifa. Mengi alifanya dhambi ya kuzini
 
Kwa hiyo wakush Ina bidi wawafurushe waarabu wa misri ya Leo 😂
 
Kuna majaribu mengine ni kipimo cha imani
Mungu amuambie mzazi amuue mtoto wake , ili kuonyesha upendo Kwa mungu,

Kwanini mungu awe na wivu wakutaka kupendwa kiasi hiki, mpaka kutoa Amri wengine wauwawe Kwa ajili Yake , Haya ni mapenzi ya namna Gani?.

kwani yy siana jitosheleza Kwa kila kitu,
 
Wahuni walipotosha historia kwa manufaa yao

Bible inasema Ibrahimu alizaa na binti wa Misri(afrika ya watu weusi wana wa ham) na kama iaminikavyo kuwa ibrahimu alikuwa muisrael hao watu weupe, je inakuaje mtoto huyo ishmael aje kuwa mwarabu wakat baba alizaa na binti mweusii?

Ukweli ni kuwa Ishamael alikuwa mtu mweusi ambaye asili yake ni afrika kiufupi kwa leo tungemuita Afro-Asiatic yaan mwafrika mwenye asili ya asia(mtu mweusi) kwa kuongelea hili inatosha kuleta maana kwamba ishamael sio baba wa uislam wala sio baba wa waarabu maana mtu mweusi na uarabu wapi na wapi? Mtu mweusi na uislam wap na wapi?

Wazungu na waarabu walishirikiana kuchafua historia ya mtu mweusi kwa manufaa yao, alafu hiyo nchi mnayoita israel haijawai kuwepo hapo kabla ya kuundwa na umoja wa mataifa miaka ya 1947-8 kabla ya kuundwa hiyo ardhi ilikuwa mali ya watu weusi baadae wakaja kujipachika waarabu hao wapalestina, then baada ya wazungu kuona ilo ni eneo la kimkakati kisiasa, kiuchumi na kijamii(kidini) basi waliamua kutumia historia ambayo haikuwahusu hao wanaojiita waisrael wa sasa bali ilikuwa historia ya waafrika wa zamani, wakaitumia historia hiyo kibiblia kuwa eneo hilo la ardhi ya palestina ni mali na urithi wa hawa majambazi wayahudi wa uongo, uku wakitumia biblia na baadhi ya maandiko ya dini yao ya kizushi, hapa ndipo ugomvi ulipoanza kuzuka.

Wazungu baada ya kujipa ardhi ya palestina kibabe walijenga mahekalu feki, makaburi feki ya watu wa kale hiyo yote ilikuwa target ya kutengeneza historical sites za uongo kama ushahidi kuwa wao waliishi hapo.

Jamani huu mgogoro huwezi kuuelewa kama unatumia dini kuelezea, dini hazijui kitu maana zimekuja juzi tu alafu dini hizo hizo ndizo wamezitumia kama njia ya wao kujimilikisha historia zisizo zao.

Myahudi kuchukiwa ilo eneo ni sababu kavamia eneo ambalo si lake, mkitaka mujue kweli, rudi ufuatilie historia ya kweli kabla ya miaka 1800 kurudi nyuma iyo ardhi ilikaliwa na nani? Na hata huo mwaka wanaodai Yesu aliishi hapo yerusalem ukifuatilia kihistoria utagundua kuwa ni Uongo Hakuna ushahidi wa Yesu kuishi israel ya sasa wala manabii na hao mitume kuishi hiyo israel ya sasa.

Pia hao wayahudi wa uongo hawana historia yoyote ya kuwekwa Utumwan zaid ya ile propaganda ya wayahudi 300 kuteswa na hitra huku baadhi ya wazungu wakabadiri historia na kusema kuwa wayahud zaid ya milion 3 waliteswa na kuuliwa na hitra jambo ambalo si kweli.

Dini ni nyenzo ama siraha wanayoitumia wazungu kupotosha historia nzima ya dunia bila kusahau propaganda za media na masomo ya uongo.

90% ya habari tunazozijua ni uongo, dunia imejaa uongo kila mahala, kuanzia mashuleni, mpaka ktk dini ni uongo mkubwa, historia ya Akina ibrahimu imechakachuliwa mungejitahidi kusoma ukweli halisi mngegundua kuwa hao watu wa middle east hawana ushirika wala uhusiano wowote na matukio+historia za biblia hata chembe,

Historia za biblia kuanzia mwanzo mpaka kitabu cha mwisho matukio yote hayakutendeka huko middle east na hiyo israel ya uongo, bali matukio hayo yalitendeka ndani ya continent la Afrika, baadae ndipo hao mashetan watu weupe wakabadili historia kwa manufaa yao na kuwaleta hizi dini na siasa mnazobishana kila siku na kuuwana ninyi kwa ninyi huku wao wakizidi kutajirika kwa upumbavu wenu.

Topic za kushindania Udini ni upumbavu mkubwa.
 
Umesema kweli tupu, Mungu akubariki sana. Mungu alisema hivi:-
Yoshua 1:4 SUV
"Tangu jangwa hili na mlima huu, Lebanoni, mpaka mto ule mkubwa, mto wa Frati, nchi yote ya Wahiti, tena mpaka bahari ile kubwa upande wa machweo ya jua, hapo ndipo patakapokuwa mpaka wenu". Bado taifa teule halijachukua eneo lake lote linao kaliwa na Wafilisti.
 
Kwa sababu chimbuko la uislamu linaanzia kwake
Sidhani kama ni kweli! Ishmaeli hana uhusiano wo wote na Uislam, wala Ishmael hakuwa Mwarabu, alikuwa Mwebrania kufuata ukoo wa baba yake Ibrahim.
Uislam umeletwa na Muhamaad kwenye karne ya 7 na 8, miaka zaidi ya 2000 kutoka kwa Ishmaeli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dah aisee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…