Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Hiyo ni kwa mujibu wa Umoja wa mataifa... Huo ndio ujinga unaenda ku-google kuja kunijazia hapa... Nakupa shule sasa.

Neno "Israel" lilianza kutumika kwa jina la taifa au kabila kubwa la watu wa Kiebrania katika Agano la Kale ya Biblia. Jina hili linahusishwa na hadithi ya Biblia ya Mwanzo (Genesis), ambapo inasimuliwa kuwa Yakobo (ambaye baadaye alijulikana kama Israeli) alipewa jina hilo na Mungu baada ya kuwa na mfululizo wa mapambano na malaika.

Asili ya neno Israeli lilitokea katika kitabu cha Mwanzo sura ya 32, ambapo Yakobo alipigana na malaika na akashinda. Baada ya ushindi huo, malaika huyo alimwambia Yakobo, "Jina lako halitakuwa tena Yakobo, bali Israel, maana umeshindana na Mungu na wanadamu ukashinda." (Mwanzo 32:28). Kwa hiyo, ndipo jina "Israel" lilipotumiwa kwa mara ya kwanza katika Biblia kumaanisha taifa au kabila la Waisraeli.

Ni vigumu kutoa orodha kamili ya kila mahali ambapo neno "Israel" limetajwa katika Biblia kwa sababu neno hilo linapatikana katika vitabu vingi sana vya Agano la Kale (Torati na Zaburi) na katika sehemu mbalimbali za historia ya Wayahudi. Hapa kuna baadhi ya mifano ya maeneo ambapo neno "Israel" limetajwa:

1. Kitabu cha Mwanzo (Genesis): Linatokea katika masimulizi ya maisha ya Yakobo, ambaye baadaye alijulikana kama Israeli.

2. Kitabu cha Kutoka (Exodus): Linahusiana na safari ya Waisraeli kutoka utumwani Misri chini ya uongozi wa Musa.

3. Vitabu vya Wafalme (1 na 2 Wafalme): Vinaelezea historia ya ufalme wa Israeli na Yuda.

4. Vitabu vya Manabii: Neno "Israel" linatumiwa mara kwa mara katika hotuba na unabii wa manabii kama vile Isaya, Yeremia, na Ezekieli.

5. Zaburi: Neno "Israel" linapatikana katika Zaburi nyingi, ambazo zinahusu sala na sifa kwa Mungu.

6. Agano Jipya: Ingawa Agano Jipya linazingatia zaidi maisha na mafundisho ya Yesu Kristo, neno "Israel" linatajwa katika muktadha wa kihistoria na kidini.

Hizi ni baadhi tu ya mifano, na neno "Israel" linapatikana katika sehemu nyingi zaidi za Biblia kama sehemu ya historia ya Wayahudi na taifa lao.


Wewe kwa mujibu wa Google na Umoja wa Mataifa walivyokwambia, Neno Israeli lilianza mwaka 1948, lakini neno Israel lilikuwepo hata kabla ya Yesu.
Kidogo uko sawa braza,tatizo moja tu,,El alikuwa ni mungu aliekuwa anaabudiwa caanan,anajulikana kama mmoja wa caananite deity kabla hata ya ujio wa abraham caanan,
El ndiyo aliitwa Mungu mkuu alie juu,,maana yake aliikuwa mungu wa milimani,ndo maana ilikuwepo destruri ya manabii enzi hizo kwenda milimani kuongea na mungu huyo mkuu,,na kwa desturi ilikuwa marufuku kujenga nyumba ndefu kwenda juu na ndo asili ya hekaya ya BabEl tower kuwa wanadamu walitaka kujenga jumba refu hadi mbinguni alipo huyo mungu mkuu,El,

So haingii akilini,mungu wa caanan yaani El ndo jina lake apewe yakobo kuwa kapigani na El na kum conquer,
 
Kwa hiyo waarabu kuichukia Israel ni kutokana na sio mwenzao ?! Aisee.

Kwa nini Nyerere mtu mweusi mwafrika aliichukia Israel ?

Unaunga mkono ushenzi wa Israel pale Palestine na kwa wapalestine ?
Pale palastine tatizo sio waisrael,,,waliishi vizuri tu kabla wazungu hawajaleta watu wao na kudai ni wayahudi
 
Wewe dish lako litakuwa limeyumba... Na kwambia ufanye utafiti kuuliza iran ni jamii gani hapo mtaani kwenu unaanza kuleta ujinga hapa...

Wewe si hapo juu umekataa kuwa hakuna watu wanaosema iran ni waarabu... Nami Nimekwambia watu wengi udhani iran ni waarabu basi kudhibitisha ilo fanya utafiti hapo mtaani kwenu
Iran ni Indo europe sio semitic
 
Nimependa ulipoanza na Phrase ya Tupeane elimu....
Nimefurah kuona hivyo na naomba na mimi nijibu hoja zako na wewe unaweza ukachangia baadiya...

wengi wanasema Ibrahim alikuwa Mwarabu, ndugu yangu, nikwambie tu kwamba jamaa hakuwa Mwarabu.
Hapa ndo ulipoharibu sasa...

Sitaki kuamini Hujui kuwa Ibrahimu alikuwa Mwarabu sijui maybe Sababu una chuki na Warabu au hupendi kusikia Sehemu wakitajwa waarabu....

Bhasi Kiasili ibrahimu ni Mwarabu na nitatoa Maelezo kwa kina na Maandiko pia...

ibrahimu alizaliwa katika nchi inayoitwa Ur (zamani)
iliyokuwa sehemu ya zamani ya Mesopotamia
(ambazo zilikuwa nchi kama nne Shamu,yordani na uru) kama bado akili yangu Ya Historia ipo...

ambayo kwa sasa hiyo Ur au uru inajulikana kama Iraq...
sasa tuanze na hapa kwamba ibrahimu alizaliwa iraq...
Ambayo ilikuwa ni ur of chaldean au ur of chaldeas
Au unaeza uuita uru wa wakaldayo...

Na Ni raia wa iraq kam biblia inavyosema kabla ya kumtaka baada ya kuoa kwenda nchi ya israeli ya sasa Ambayo ndiyo kanaani na sshemu kidogo ya nchi ya kifilisti ambay ndo palestina ya sasa....

Mwanzo 11:27-31

Screenshot_20231004-165913.png


Ngoja nikuongezee Faida moja hapo...
Umeona imeandikwa akaondoka kutoka Uru akaenda mpaka Harran au harani kama ilivyoandikwa sasa Harran ni nchi ambayo ilikuwa katikati ya uturuki na sham (Syria) au Dameski.....ambayo kwa sasa ni sehemu ya uturuki ....
Kwahyo kabla ya kuenda Israeli alikaa uturuki kwanzaa....

Ibrahim baada ya kuzaa na kijakazi ambaye alikuwa Mwarabu, inamaanisha damu yake ilichanganyika na ya Kiarabu na ndiyo maana tunasema Ishmael ni baba wa Waarabu kwa sababu mama yake alikuwa Mwarabu.

Hagar au hajiri hakuwa Mwarabu Ilo nimelipinga tangu mwanzo alikuwa mmisri na alikuwa mtoto wa Mfalme sa misri alikuwa Binti wa mfalme...

Misri ni nchi ambayo ilikuwa miongoni mwa zilizokuwa na utawala wake na ilikuwa ina lugha ya kimisri wengi wanapenda kuita Afroasiatic language wakristo wengi wanaita coptic language ma hawakuwa na race yoyote ya Uarabu na ndo maana nenda kokote hukuti Hajar au hagari akiwa potrayed kwa Rangi nyeupe hata picha au hata kwenye movies kwa sababu hakuwa mwarabu....

So Israel na Waarabu ni baba mmoja ila mama tofauti. Ibrahim alizaa na Muisrael mwenzake kwa kipindi hicho ilikuwa bado haijaitwa Israel na mtoto wake kuitwa Isaka ila yule aliyezaa na kijakazi ambaye ni Mwarabu anaitwa Ishmael. Tatizo kubwa la vita baina ya Mwarabu na Israel ni hapa.

Kasome kuhusu Ugomvi wa Palestine (Wafilisti) na Israel (Kanaani) maana unaonekan bado hujajua chanzo...
Philistine na Canaan hawana undugu wa hali yoyote ile....

Kama unasema kuhusu Taifa la canani nijibu nikupe maelezo kama unasema kuhusu mesopotamia nipe nikujibu pia...

So jua hili. Ibrahim hakuwa Mwarabu. Musa hakuwa Mwarabu. Suleimani mtoto wa Daudi na baba yake huyo hawakuwa Waarabu. Ni Waisrael ambao bado wanaendelea kupigana na Waarabu ili wachukue nchi yao iliyowafanya waondoke Misri.
Ibrahimu alikuwa Mwarabu som hapo juu ☝️☝️☝️☝️
Musa ni Muebrania baba yake ni Amram na mama yake ni Yochebed wote walikuwa wa Kabila la lawi watoto wa wa Yakobo mtoto wa Isaka, Mtoto wa Ibrahimu (ambaye alizaliwa uru)
Na kuhusu Suleiman nadhami nilikujibu kuwa alikuwa Mweusi n wala sio mzungu wala muisrael
Nasuburi any chalenge...
 
Kwa mujibu wa kitabu cha Dini ya kikristo... Adamu ndio alikuwa binadamu wa kwanza kuumbwa... Sijui Dini yenu wewe inasema nani aliumbwa wa kwanza... Maana siku hizi Dini ni nyingi
Sio siku hizi kuna dini kama Wabudha na Wahindu na Dini ya Samarian ambayo mmeiba ile story ya nuhu dini hizi zina miaka zaidi ya laki moja duniani
 
Uarabu kwa ismail unatokana na yeye kwenda kukaa huko kwenye Penisula ya uarabuni na akaoa huko uarabuni na kupitia ismail koo nyingi na kabila nyingi zilitengenezwa na kwa sababu Mungu aliweka agano na Abraham kuwa atakuwa Baba wa mataifa mengi basi Waarabu wao wakaona Taifa lao limetokana na ismail, wakamwita Baba wa waarabu
🤣🤣🤣🤣🤣 Jitahidi usome
 
Kwa mujibu wa kitabu cha Kiyahudi torati ambayo Biblia nayo ikiambatana.... Vinasema kuwa Ibrahim alikuwa na watoto wawili ambao ni Isaka na Ismail. Ismail ni mtoto aliyepatikana nje ya Ndoa baada ya kukaa muda mrefu bila Sara kupata ujauzito, hivyo hajir akachaguliwa na sara hili wapate mtoto. Lakini badae baada ya kilio cha muda mrefu Mungu akawabariki mtoto naye wakamwita Isaka, na Ibrahim akampenda sana huyo mtoto badae Mungu akataka Isaac atolewe sadaka kwa sababu alimtii Mungu ikabidi aende kumtoa Isaka sadaka kwa moyo mmoja, lakini badae akatokea malaika na kumuonesha kondoo kama mbadala... Kutokana na kitendo cha utiifu na imani kwa mungu na kuthubutu kwenda kumtoa Mwanae aliyempenda na aliyempata kwa shida basi Mungu akambariki na kumwambia utakuwa baba wa mataifa mengi na mataifa yatatoka kwako
Ishamael hakuwa mtoto wa nje ya ndoa Shika adabu yako....
 
Kwa mujibu wa kitabu cha Kiyahudi torati ambayo Biblia nayo ikiambatana.... Vinasema kuwa Ibrahim alikuwa na watoto wawili ambao ni Isaka na Ismail. Ismail ni mtoto aliyepatikana nje ya Ndoa baada ya kukaa muda mrefu bila Sara kupata ujauzito, hivyo hajir akachaguliwa na sara hili wapate mtoto. Lakini badae baada ya kilio cha muda mrefu Mungu akawabariki mtoto naye wakamwita Isaka, na Ibrahim akampenda sana huyo mtoto badae Mungu akataka Isaac atolewe sadaka kwa sababu alimtii Mungu ikabidi aende kumtoa Isaka sadaka kwa moyo mmoja, lakini badae akatokea malaika na kumuonesha kondoo kama mbadala... Kutokana na kitendo cha utiifu na imani kwa mungu na kuthubutu kwenda kumtoa Mwanae aliyempenda na aliyempata kwa shida basi Mungu akambariki na kumwambia utakuwa baba wa mataifa mengi na mataifa yatatoka kwako
Mtoto aliyependwa sana na Ibrahimu alikuwa Ishamael...
Hey uko amatuer sana kwenye usomaji wa biblia...
 
Sawa je unafahamu mamake yakobo ni syrian?na kwamba ili aoe Yakobo ilibidi arudi syria kwa mjombake Laban kwa ajili ya kuoa?,kwahiyo kiufupi uzao wa yakobo wote wale wana 12 ni syrian kwa mujinu wa DNA
Watoto wa Yakobo walikuwa 13 na sio 12
 
Tupeane elimu kidogo, kuna watu wanachanganya mambo. Hapa tufundishane jambo moja. Kitu cha kwanza kabisa watu wanachokichanganya ni kuhusu Ibrahim, wengi wanasema Ibrahim alikuwa Mwarabu, ndugu yangu, nikwambie tu kwamba jamaa hakuwa Mwarabu.

Ibrahim baada ya kuzaa na kijakazi ambaye alikuwa Mwarabu, inamaanisha damu yake ilichanganyika na ya Kiarabu na ndiyo maana tunasema Ishmael ni baba wa Waarabu kwa sababu mama yake alikuwa Mwarabu.

Nchi za Kiarabu ambazo zipo kwenye umoja ni hizi, Algeria, Bahrain, Iraq, Jordan, Kuwait, Djibout, Saudi Arabia, Tunisia, United Arab Emirates, Yemen, Somalia, Sudan, Syria, Comoros, Misri, Maurtania, Qatar na Palestina.

Kwa nini Waarabu wanamchukia Israel? Ni kwa sababu si Mwarabu mwenzao. Na hao ndiyo wa kizazi cha Ibrahim. Kwa hiyo kama ulikuwa unahisi Ibrahim alikuwa Mwarabu, futa hiyo akilini mwako.

Hata Iran sio Waarabu, najua wengine mtakuwa hamlijui hili kwa undani. Miongoni mwa nchi za Kiarabu, Iran hayupo kwa sababu yeye si Mwarabu.

So Israel na Waarabu ni baba mmoja ila mama tofauti. Ibrahim alizaa na Muisrael mwenzake kwa kipindi hicho ilikuwa bado haijaitwa Israel na mtoto wake kuitwa Isaka ila yule aliyezaa na kijakazi ambaye ni Mwarabu anaitwa Ishmael. Tatizo kubwa la vita baina ya Mwarabu na Israel ni hapa.

Kama Israel angekuwa Mwarabu, leo usingesikia vita vinavyoendelea huko. Na mara zote Israel anawaambiaga kwamba nchi zote za Uarabuni ni mali ya Israel na ndiyo maana kila anapokwenda kupiga, anachukua ardhi na kutanua nchi yake.

Israel walipewa nchi ndogo sana wakae baada ya kutawanywa na Adolf Hitler, baada ya kuanza kurudi, wakaitaka nchi yao, lakini kwa bahati mbaya waliwaona Waarabu washajigawia ardhi yao. Walichokifanya ni kuanza kupigana nao.

Kama unakumbuka Umoja wa Mataifa uliingilia kati, ulichukizwa na kitendo cha Israel kuwapiga Waarabu, walichokifanya, wakawapelekea Biblia ambayo kwa nyuma kuna ramani ya Israel tangu enzi za Musa. Wakawaonyesha na kuwaambia kwamba nchi zote za Uarabuni ni Israel, tutakapokuwa wengi, tutaendelea kupiga na kuirudisha nchi yetu.

So jua hili. Ibrahim hakuwa Mwarabu. Musa hakuwa Mwarabu. Suleimani mtoto wa Daudi na baba yake huyo hawakuwa Waarabu. Ni Waisrael ambao bado wanaendelea kupigana na Waarabu ili wachukue nchi yao iliyowafanya waondoke Misri.

Uzao wa Ibrahim ndiyo uliomleta Yusufu ambaye akawachukua Waisrael kwenda kuishi Misri. Maisha yalikuwa ya raha sana, watu waliionjoi maisha lakini baada ya mfalme huyo kufa, ndipo akaja mfalme mwingine ambaye sasa hakuwataka Waisrael, akawafanya watumwa wake.

Wakafanyishwa kazi. Baadaye ndipo Musa akazaliwa ndani ya ardhi ya Kiarabu. Akapewa jukumu la kuwatoa Israel kutoka hapo Misri kwenda kwao. Wakati huo ndio ambao nao Waarabu walikuwa wamejinyakulia nchi, tena walikuwa ni watu wakubwa kimuonekano.

Musa akaanza mchakato wa kuwatoa Israel Uarabuni na kuwapelekea Israel. Waliishi Misri kwa miaka 400. Wakaondoka na kwenda Misri, na walitumia miaka 40.

Musa hakuingia Israel, alikufa jangwani na Mungu kumzika. Wale waliofanikiwa kuingia huko Israel ndio walioendelea kuipambania ardhi yao mpaka leo hii.

Hapa kuna jambo moja.

Vita ya Israel na Waarabu itapamba moto hapo baadaye. Itapigwa vita kali sana. Sasa kwa kuwa Israel ataonekana kuwa kiburi na mwenye nguvu sana, dunia nzima itaanza kumcharaza. Huyu Marekani anayeonekana kuwa karibu na Israel naye atamgeuka, kila nchi duniani itamgeuka na kumpiga.

Mwisho wa siku baada ya kuona wanapigwa sana, watakimbilia mpaka kwenye mlima ule aliopaa Yesu, wataomboleza na kulia, hapo ndipo Yesu atashuka kuimaliza vita hiyo, na huo ndiyo utakuwa mwisho wa kila kitu.
Haya maneno umeambiwa na nani?
 
Jamaa hajui mengi...Israel ilianzia kwa Yakub na babu yao Ibrahim hakuwa muisrael wala muarabu..
Sawa sielewi nieleweshe,una maana gani kusema israel ilianza kwa yakub na baba yake asiwe ukoo huo?? Kinasaba unaweza kuwa kabila au ukoo ambao baba yako sio ?? Ina maana huyo mtu alikana nasaba damu na ukoo wa baba yake na babu yake anaanzisha kabila lake na ukoo wake ambao hauna uhusiano na baba yake na babu yake? Wewe hapo unaweza sasahivi ukaamua ukawa sio kabila wala ukoo wa baba yako ma babu yako?na huyo ismail huo ukoo wa waarabu alianza kwa nani?
 
Bado haupo sahihi kwasababu mjakazi ambaye Ibrahim alizaa nae alikuwa Mmisri na wamisri wa nyakati hizo walikuwa ni weusi kwahiyo hawakuwa Waarabu Historia hii tuliyo nayo imepikwa kuficha jambo.
Una hoja ..

Ibrahim asili yake ni Iraq na Hajiri alikuwa mweusi, hata mafarao walikuwa weusi.

zitto junior The Boss ongezeni nyama
 
Back
Top Bottom