Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Kwa nini Waarabu wanamchukia Israel? Ni kwa sababu si Mwarabu mwenzao. Na hao ndiyo wa kizazi cha Ibrahim. Kwa hiyo kama ulikuwa unahisi Ibrahim alikuwa Mwarabu, futa hiyo akilini mwako.
Kwa hiyo waarabu kuichukia Israel ni kutokana na sio mwenzao ?! Aisee.

Kwa nini Nyerere mtu mweusi mwafrika aliichukia Israel ?

Unaunga mkono ushenzi wa Israel pale Palestine na kwa wapalestine ?
 
Hata Iran sio Waarabu, najua wengine mtakuwa hamlijui hili kwa undani. Miongoni mwa nchi za Kiarabu, Iran hayupo kwa sababu yeye si Mwarabu.
Nani hao wanasema Iran ni waarabu au unataka kuhararisha ujinga wako ?
 
So Israel na Waarabu ni baba mmoja ila mama tofauti. Ibrahim alizaa na Muisrael mwenzake kwa kipindi hicho ilikuwa bado haijaitwa Israel na mtoto wake kuitwa Isaka ila yule aliyezaa na kijakazi ambaye ni Mwarabu anaitwa Ishmael. Tatizo kubwa la vita baina ya Mwarabu na Israel ni hapa.
Aiseeh! nini hiki ?!.

Umeoa ?
 
Nani hao wanasema Iran ni waarabu au unataka kuhararisha ujinga wako ?
Hapo mtaani kwenu fanya utafiti, tafuta picha ya mtu kutoka Iran alafu waonyeshe ukiwauliza huyu ni muarabu au si muarabu... Asilimia kubwa watakuambia ni muarabu... Sasa unashindwa kuelewa nini kuwa wapo wanaojua kuwa iran ni waarabu... Acha ubishi kijana
 
Kama Israel angekuwa Mwarabu, leo usingesikia vita vinavyoendelea huko. Na mara zote Israel anawaambiaga kwamba nchi zote za Uarabuni ni mali ya Israel na ndiyo maana kila anapokwenda kupiga, anachukua ardhi na kutanua nchi yake.
Wewe ni mkristo ?
 
Aiseeh! nini hiki ?!.

Umeoa ?
Sasa uelewi nini baba mmoja mama tofauti... Si Ibrahim anawatoto wawili mmoja ambae alienda kuoa uarabuni, ismail alienda kuoa uarabuni... Hivyo vizazi vyao babu yao ni Ibrahim... Sasa uelewi nini
 
Hapo mtaani kwenu fanya utafiti, tafuta picha ya mtu kutoka Iran alafu waonyeshe ukiwauliza huyu ni muarabu au si muarabu... Asilimia kubwa watakuambia ni muarabu... Sasa unashindwa kuelewa nini kuwa wapo wanaojua kuwa iran ni waarabu... Acha ubishi kijana
Kwa hiyo wewe kwenye ukoo wako uliwapa picha ya waajemi wakasema waarabu ?
 
Hapo mtaani kwenu fanya utafiti, tafuta picha ya mtu kutoka Iran alafu waonyeshe ukiwauliza huyu ni muarabu au si muarabu... Asilimia kubwa watakuambia ni muarabu... Sasa unashindwa kuelewa nini kuwa wapo wanaojua kuwa iran ni waarabu... Acha ubishi kijana
Iran sio waarabu ni waajemi (Persian). Ni watu intelligent zaidi ya waarabu.
 
Israel walipewa nchi ndogo sana wakae baada ya kutawanywa na Adolf Hitler, baada ya kuanza kurudi, wakaitaka nchi yao, lakini kwa bahati mbaya waliwaona Waarabu washajigawia ardhi yao. Walichokifanya ni kuanza kupigana nao.
Walipewa na nani ?
 
Iran sio waarabu ni waajemi (Persian). Ni watu intelligent zaidi ya waarabu.
Ndio namwambia huyo jamaa hapo... Ukipita mtaani wengi watakwambia iran ni waarabu... Hivyo waafrika wengi wanajua iran ni waarabu
 
Kama unakumbuka Umoja wa Mataifa uliingilia kati, ulichukizwa na kitendo cha Israel kuwapiga Waarabu, walichokifanya, wakawapelekea Biblia ambayo kwa nyuma kuna ramani ya Israel tangu enzi za Musa. Wakawaonyesha na kuwaambia kwamba nchi zote za Uarabuni ni Israel, tutakapokuwa wengi, tutaendelea kupiga na kuirudisha nchi yetu.
Una miaka mingapi ? Na umeoa ?
 
So jua hili. Ibrahim hakuwa Mwarabu. Musa hakuwa Mwarabu. Suleimani mtoto wa Daudi na baba yake huyo hawakuwa Waarabu. Ni Waisrael ambao bado wanaendelea kupigana na Waarabu ili wachukue nchi yao iliyowafanya waondoke Misri.
Neno Israel limeanza kutumika kipindi gani ?
 
Huna akili, wewe peke yake ndio hujui kama wamisri walikuwa weusi(cushites)..

The ancient Egypt ambayo kwa wakati huo ikiitwa Memphis ilikaliwa na watu weusi na baadae, Alexander the Great mfalme wa Macedonia ya zamani alivamia na kuifanya Memphis kuwa jimbo lake na akaanzisha makao makuu yake mjini Alexandria

Hawa waarabu unaowaona walivamia Misri miaka ya 600 AD kipindi cha uongozi wa Khalidun Khalifa ambaye alimtuma kamanda wake Amr Ibn Al as ndio akafanikidha kuiteka Misri sasa baada ya hapo ndio watu weusi wakaanza kuwakimbia waarabu na kuja kusini mwa Mto Nile hasa maeneo ya Sufan, tafuta maarifa acha kujiropokea

Again nimekuona tena huna akili uliposema Ibrahim ni Muisrael(yaani hapa hujui hata maana ya Israel)

Ibrahim alitokea eneo la Uru ya ukaldayo eneo ambalo kwa sasa linaitwa IRAQ(nchi ya kiarabu) na kuhamia Canaan(Israel ya sasa).
Sio kweli bro,,asili ya Abraham ni Paran,,hivyo hata ur alihamia tu,,ndo maana alipotaka kuhama,alihama kwanza hadi kwao paran,kabla hajashuka uelekeo wa caanan,,
Jaribu kujisomea history ya cushite kingdom na utagundua kuwa hawa weusi walivamia na ku occupy misri na kwa mda mfupi walikuja kufika hadi jerusalem kabla hawajarudishwa nyuma na kama si aram kingdom basi itakuwa Asyrian empire,,
 
Kwa hiyo wewe kwenye ukoo wako uliwapa picha ya waajemi wakasema waarabu ?
Wewe dish lako litakuwa limeyumba... Na kwambia ufanye utafiti kuuliza iran ni jamii gani hapo mtaani kwenu unaanza kuleta ujinga hapa...

Wewe si hapo juu umekataa kuwa hakuna watu wanaosema iran ni waarabu... Nami Nimekwambia watu wengi udhani iran ni waarabu basi kudhibitisha ilo fanya utafiti hapo mtaani kwenu
 
Back
Top Bottom