Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Maziwa na asali vipatikane Tandahimba kwa kina Harmonize, vishindwe kupatikana huko Israel ambapo hata kiuchumi wametuzidi
Upo uwezekano wa bidhaa flani ikapatikana tandahimba na ikawa haipo kabisa huko israel
 
Asante Mkuu hili jambo nimekuwa nashindwa kulielewa sasa umenipa elimu, ubarikiwe
 
Aisee .. em hili litokee hata kesho..
 
Mkuu unaweza ukatuthibitishia pasi na shaka kuwa
1. Yule kijakazi wa Ibrahim alikuwa mwarabu
2. Waarabu Hawa wa leo wametokana na Ishmael
3. Wapalestina wa leo ndio wale wacanaan wa kale?
 
Mkuu Isiaka hajawai kuwa mwanae we pekee wa ibrahim!! Mkuu nadhan unaelewa neno Pekee maana yake!


Kati ya mtoto wa kwanza na wa pili yupi mtoto wa aliekuwa wa pekee hapo
Hii kitu ya mtoto wa kambo na wa kweli ilikuwepo. Ukioa mkeo atakuwa na wanao ukimpa kijakazi mimba hujatoa mahali si wako
 
Mkuu unaweza ukatuthibitishia pasi na shaka kuwa
1. Yule kijakazi wa Ibrahim alikuwa mwarabu
2. Waarabu Hawa wa leo wametokana na Ishmael
3. Wapalestina wa leo ndio wale wacanaan wa kale?
Mjàkazi alikua mmisri,wamisri
Wapalestine kuna mchanganyiko wa caananites(wamoabu,waamorri,hittite,etc,hadi wafilisiti.
Sio waarabu wote ni uzao wa ishmael
 
Hajra alikuwa mmisri. Ibrahim alikuwa toka Irani ya sasa. Israel imezalliwa ilitokea misri. Hivyo mwarabu ni mwagrika na Muiran.
Kuna uwongo mkubwaa kwenye maandiko eti wana wa Ham ni CushEgypt,,Put na caanan,,
Ni uongo hsyo yote ni majine ya tawala mbalimbali za wakati bible inaandikwa,
Cushite kingdom,Egypt kingdom,Putland ilikua province ya Egypt na pia caanan ilikuwa province ya Egypt, together with Amurru(amorite),
Caanan eti alikua na mtoto aitwae Sidon, wakati sidon ni mji wa kale huko lebanon,
Hittite alikua mtoto wa caanan,ni uongo,Hittite ni ilikuwa kingdom ya Hatland.
Eti wana wa shem
Aram ukweli Aram kingdom ni utawala wa miaka mingi kabla Abraham hajazaliwa na ulikua umebase Damusca ,syria,

Mtoto mwingine wa shem ni Ashur,,ni uongo,Ashuri ni Asyria empire iliyonyanyuka baada ya Babylon empire kuanguka,🤫
 
Pale Vatican kuna vitabu vyote pale nanhawataki kuvitoa. Unless upate vitabu vya wamisri ndio utajua ukwi. Kifupi kuna mambo mengi yanaleta puzzle?. Mfano wapi walipo ndugu wa Abrahamu akina Lutu. Ndugu wa Ishamael wako wapi ?. Au je ni kweli nchi aliyekuwepo Hajra baada ya kutoka kwa Ibrahim haikuwa na watu ? Je walikuwa kabila gani?
 
Sio kweli,,wasamari ni raia wa israel kingdom ambako mji wa mkuu ulianzishwa pale samaria na mfalme omri na baadae king Ahab,hawa baadhi walichukuliwa utumwani baada ya Asyrian's kuungusha utawala wa israel kingdom na Aram kingdom baada ya tawala hizo mbili kuuvamia utawala wa yuda(judah kingdom),ambao ulikuwa ni vassal state ya Asyrian empire.
Hivyo wale waliobaki baaca ya usawala wa israel kingdom kuangushwa ndo walikuja kujulikana kama WASAMALIA..
 
Wanasema Hsjira aliangaika jangwani na mtoto ishmael mgongoni,,😄wakati kipindi hjira anafukuzwa tayari ishmael slikua karibu miak 20 asee🙆,
Sasa sijui hajra ilikuwaje akabeba jitu zima mgongoni,🤔
Wanasema Abraham alikuwa na mke super sana,Sara hadi mfalmeAbumalik wa wafilist akataka kulala nae,,wakatimaandiko yanadai sara alikuwa ni kikongwe wa miaka 90 asieweza kuzaa
 
Hapo kachanganya pia angetuambia Hajilah alikuwa mwarabu wa nchi gani pia atuambie Ibrahim alikuwa nani kabla ya wana wa Yakobo (Israel)[emoji120]

Sent from my SM-G950U using JamiiForums mobile app
Anatakiwa afanye research ya Arabisation,isilamisation,,
Hizi kabila huendd zina evolution with time,hata wasukuma enzi hizo hawakuwepo,hata kiswahili hskikuwepo,jamii mpya huzaliwabaada ya muingiliano wa jamii mbalimbali with time,,
Hata kiebrania kinachoongewa leo ni tofauti na cha zamani,
Cha leo kimeibuka miaka ya 1800
 
Wewe ni mchochezi. K
 
Kwani wakati huo Isaka alikuwa ameshazaliwa?
 
Kwani wakati huo Isaka alikuwa ameshazaliwa?
Isaac alizaliwa miaka 14 baada ya ishmael,,wakati isaack na ismael wanagombana na kupelekea hajira na mwanawe kufukuzwa,tayari isaack alikua na walau miaka 5,🤗which means ishmael alikua karibu 20 years old
 
Elimu haina mwisho
 
Isaac alizaliwa miaka 14 baada ya ishmael,,wakati isaack na ismael wanagombana na kupelekea hajira na mwanawe kufukuzwa,tayari isaack alikua na walau miaka 5,🤗which means ishmael alikua karibu 20 years old
I mean sodom and gomorrah isaka hakuwepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…