Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

Isaac alizaliwa miaka 14 baada ya ishmael,,wakati isaack na ismael wanagombana na kupelekea hajira na mwanawe kufukuzwa,tayari isaack alikua na walau miaka 5,🤗which means ishmael alikua karibu 20 years old
Hii sio kweli, Isaka na Ishmael hawakuzidiana sana kiumri. Wakati Sarah (mkewe Ibrahim) anamfukuza kijakazi wake na mwanawe, Ishmael alikuwa bado ndogo sana.

Maandiko yanasema, baada ya kufukuzwa, walitembea umbali mrefu sana, na wakiwa njiani waliishiwa chakula na maji. Ilifika wakati, mama na mtoto (Ishmael) walishikwa na njaa na kiu kali, na kuishiwa na nguvu kiasi cha mama kuona mwanaye anakufa.

Mama alikata tamaa, na akamlaza mtoto chini akisubiri afe. Ndipo Mungu alifanya maajabu, mama alipogeuka tu akaona chemchemi ya maji yakibubujika. Akachukua kibuyu chake, akateka maji, akanywa yeye na mengine akamnywesha mwanaye. Hapo wakapata nguvu, mama akambeba mtoto na kuendelea na safari.

Kwa maelezo hayo, unaweza kuona kuwa Ishmael alikuwa bado mdogo, maana alibebwa na mama yake wakati wote wa safari. Tunaweza kusema, wakati huo, Isaka alipozaliwa, Ishmael hakuzidi miaka miwili.
 
Sasa inabidi
Hii sio kweli, Isaka na Ishmael hawakuzidiana sana kiumri. Wakati Sarah (mkewe Ibrahim) anamfukuza kijakazi wake na mwanawe, Ishmael alikuwa bado ndogo sana.

Maandiko yanasema, baada ya kufukuzwa, walitembea umbali mrefu sana, na wakiwa njiani waliishiwa chakula na maji. Ilifika wakati, mama na mtoto (Ishmael) walishikwa na njaa na kiu kali, na kuishiwa na nguvu kiasi cha mama kuona mwanaye anakufa.

Mama alikata tamaa, na akamlaza mtoto chini akisubiri afe. Ndipo Mungu alifanya maajabu, mama alipogeuka tu akaona chemchemi ya maji yakibubujika. Akachukua kibuyu chake, akateka maji, akanywa yeye na mengine akamnywesha mwanaye. Hapo wakapata nguvu, mama akambeba mtoto na kuendelea na safari.

Kwa maelezo hayo, unaweza kuona kuwa Ishmael alikuwa bado mdogo, maana alibebwa na mama yake wakati wote wa safari. Tunaweza kusema, wakati huo, Isaka alipozaliwa, Ishmael hakuzidi miaka miwili.
nikuletee andiko,ishmael alikua karibu miaka 20 wakati wanaondoka kwa mzée abraham
 
Hii sio kweli, Isaka na Ishmael hawakuzidiana sana kiumri. Wakati Sarah (mkewe Ibrahim) anamfukuza kijakazi wake na mwanawe, Ishmael alikuwa bado ndogo sana.

Maandiko yanasema, baada ya kufukuzwa, walitembea umbali mrefu sana, na wakiwa njiani waliishiwa chakula na maji. Ilifika wakati, mama na mtoto (Ishmael) walishikwa na njaa na kiu kali, na kuishiwa na nguvu kiasi cha mama kuona mwanaye anakufa.

Mama alikata tamaa, na akamlaza mtoto chini akisubiri afe. Ndipo Mungu alifanya maajabu, mama alipogeuka tu akaona chemchemi ya maji yakibubujika. Akachukua kibuyu chake, akateka maji, akanywa yeye na mengine akamnywesha mwanaye. Hapo wakapata nguvu, mama akambeba mtoto na kuendelea na safari.

Kwa maelezo hayo, unaweza kuona kuwa Ishmael alikuwa bado mdogo, maana alibebwa na mama yake wakati wote wa safari. Tunaweza kusema, wakati huo, Isaka alipozaliwa, Ishmael hakuzidi miaka miwili.
Genesis 16:15-hajra alimzaa ishmael wakati abraham ana miska 86,

Genesis 17:24-25---ismael alikua na miaka 13 wakati Abrahamu akiwa na 99 walipotahiliwa wote wawili.

Genesis 21:5---Abraham alikua na miaka 100, Sara mke wake alipomzaa Isaack,

Hivyo ishmael alimzidi Isaac miaka 14,
Wakati isaac na ismael wanagombana na kupelekea ismael na mamake Hajra kufukuzwa,,ina maana tsyari Isaac amekua na atleast miska 5,
Hivyo tunaweza kuona ishmael aliondoka na mamake tayari akiwa ABOVE 18 years old,
Sasa nambie ilikuaje Hajra abebe zee zima mgongoni?😀😀
 
Mama wa Ismael hakuwa
Mwaarabu soma Historia waarabu walikuwa sehemu Tofaut na Misri

Kumbuka israel walikuwa utumwan misri ya firauni yaan farao.. na sio waarabu
Waarabu wameingia misri baadae sana baada ya tawala za farao kuanguka

Roma au warumi wamwchangia tawala nyingi kuanguka na baada ya wao kuanguka makolon yao yakawa shqmba la bibi mqenyw nguvu anaingia kutawala..
Wakati wa Abraham hadi moses, Egypt ndio ilikuwa super power eneo lote hilo na walikuwa na influence hadi caanan,kwa maana kuwa wao ndo waliteua machief wa kutawala huko caanan kwa niaba yao,hivyo si kweli kuwa moses aliwatoa utumwani misri eti wakaja caanan,,ambayo kimsingi ilikuwa ni province ya Egypt,,
Jaribu kureach Amarna letters na mtawala wa caanan enzi hizo aliyejulikana kwa jina la Abdi Heba akimtumia mtawala wa misri barua kulalamika kuvamia na kikundi cha watu wakiitwa Habru,,hizo barua zimetumzwa hadi leo museum kubwa za misri,london etc,,ziko in form of tablét za udongo
 
It doesn't matter nachojua wayahudi walitenga wayahudi wenzao kwa kuwaita WaSamaria kisa walizaliwa kwa mixture ya wayahudi na wanawake wa kiarabu na kipersia.

Sasa kivp we useme ukoo wa mwabamked doesn't matter wakati wayahudi wenyewe wali take serious
Wasamalia ni waisrael wa iliyokuwa ikiitwa israel kingdom ambayo makao makuu yake yalikuwa mji wa samaria,uliojengea na king omri,,
Israel kingdom ilikuja kuaangushwa na utawala wa Asyria baada ya israel na syria kuivamia yudah kingdom ilikuwa ni vassal state ya Asyria empire,
Baada ya mfalme wa yudah kuomba msaada wa kijeshi kupambana na Israel na syria,ndipo jeshi la Asyria empire likaja kuuangusha utawala wa israel na syria na kuwachukua utumwani,,
Baada ya tukio hilo ndipo yudah kingdom ika expand hadi kaskazini na kukamata maeneo ya iliyokuwa israel kingdom,
Sasa wale raia wa israel kingdom waliobaki yaani hawakubebwa utumwani,hao sasa ndo walibaguliwa na watu wa Yudah,,yaani wayahudi na kupewa jina la wasamalia,,hawa wasamalia wapo mpaka leo huko israel na wanaabudu tofauti kidogo na wayahudi,,
 
Punguza upotoshaji kwani waisrael ni watoto wa Abraham au Yakobo? Maana kama ni Abraham ana watoto wengi na wajukuu kibao nje ya Yakobo nao ni waisrael?

Tukirudi kwa Yakobo kumbuka alizaa na wajakazi wawili walitoka Syria ina maana hata hao wayahudi ni mixture ya Yakobo na Assyria sasa unaposema waisrael sio waarabu kivipi? Nachojua Israelites na Syrians or Egyptians wote ni SEMITES ni JAMII moja.

Ugomvi wa hapo ni wa kidini zaidi kuliko vinasaba otherwise Iran wangekua partners na Israel
Abraham mwenyewe asili yake ni syria,,mke wake pia sara nae ni syria,
Yskobo nae alirudi kuoa ujombani syria
 
Hakukuwa na uarabu. Uru kwa wakalidayo na hakuna myahidi. Uyahudi imekuja baada ya king david
Sidhani,wakati wa david hakukua na uyahudi,,mfalme Josia ndo alianza kukusanya maandiko ya wazee wa zamani wa kiyahudi,lakini hakufika mbali katika vita vyao na wamisri,King Josia aliuawa,,baadae sana Yudah kingdom walikuja kuangushwa na wababel,,baada ya wayahudi kukataa ku pay tribute kwa babel na kuonekana wanaegemea upande wa misri,,ndiposaa wakachukuliwa utumwamwani babel,kwa miaka mingi,,huko ndiko dini ya kiyahudi ilianza kutake form na wakiadopt baadhi ya imani za wababeli,,
Hatimae utawala wa babeli ukaja kuangushwa na waajemi(persia),mfalme wa uajemi ndio alietoa ruksa kwa Ezra na wayahudi wote kufejea caanan na pia alitoa pesa za kujengwa upya hekalu la solomon,,ni wakati wa Ezra ndipo imani ya kiyahudi ilipoanza kuota mizizi na mtawala wa Persia king cyrus alituma watu kutoka uajemi kuwafundisha watu dini kwa mujibu wa bible
 
Huo ni uongo. Soma upya. Anzia Nuhu alipotoka katiba safina na watoto wake watatu hapo ndo kulipatikana hicho unachisema. Ibrahimu Kwa mkeww wa ndoa alimzaa Isaka na Isaka Kwa mke wake wa ndoa akamzaa Yakobo na Esau. Yakobo ndo akayazaa mataifa 12 na mtoto wa Tatu ndo Jews
 
Genesis 16:15-hajra alimzaa ishmael wakati abraham ana miska 86,

Genesis 17:24-25---ismael alikua na miaka 13 wakati Abrahamu akiwa na 99 walipotahiliwa wote wawili.

Genesis 21:5---Abraham alikua na miaka 100, Sara mke wake alipomzaa Isaack,

Hivyo ishmael alimzidi Isaac miaka 14,
Wakati isaac na ismael wanagombana na kupelekea ismael na mamake Hajra kufukuzwa,,ina maana tsyari Isaac amekua na atleast miska 5,
Hivyo tunaweza kuona ishmael aliondoka na mamake tayari akiwa ABOVE 18 years old,
Sasa nambie ilikuaje Hajra abebe zee zima mgongoni?😀😀
Mwanzo 21 : 8 -21
Hajiri akamlaza kijana chini, naye akaenda kukaa mbali kiasi cha mtupo wa mshale (kwa makadirio ni kama metre 10), ili asimwone wakati akifa.

Malaika akamwambia Hajiri, kijana atakuwa baba wa mataifa, hivyo hawezi kufa. Alipotazama, akaona kisima cha maji, akasogea, akajaza kiriba (kibuyu), akamwinua kijana, akamnywesha, wakaendelea na safari.

Wakafika jangwani, na wakaweka makazi yao hapo. Wakiwa huko jangwani, kijana aliendelea kukua mpaka kufikia umri wa kuoa. Alipofikia umri wa kuoa, mama yake alimtafutia mwanmke kutoka Misri (kumbuka Hajiri alikuwa ni Mmisri).

Sasa maswali:
1. Kama Ishmael alikuwa na umri wa miaka 18 wakati wanafukuzwa, mbona tunaambiwa walipoishiwa chakula na maji, Hajiri alimlaza kijana chini, na yeye kwenda umbali wa mtupo wa mshale ili asimwone akifa. Ina maana chakula alikuwa anakula peke yake na kumnyima kijana, na hivyo yeye (Hajiri) kutoathirika na njaa, bali kijana peke yake? Na alimlazaje kijana wa miaka 18? Kwani asingeweza kulala peke yake?

2. Alipoonyeshwa kisima (Hajiri), akajaza kiriba maji, halafu akamnywesha kijana. Hivi kijana wa miaka 18 ni wa kunyweshwa maji? Yeye hakuweza kukamata kiriba na kunywa mwenyewe?

3. Tunaambiwa kijana aliendelea kukua (huko jangwani) mpaka akafikia umri wa kuoa. Je, kama walifukuzwa Ishmael akiwa na umri wa miaka 18, kwanini tuambiwe kijana aliendelea kukua wakati umri wa miaka 18 ni tayari mtu mzima? Na kumbuka mama yake Ishmael alikuwa ni Mwarabu, na maumbile ya waarabu unayajua yalivyo makubwa. Sasa piga picha kijana wa Kiarabu wa miaka 18 atakuwaje; hana tofauti na wale Waarabu waliocheza na kuwafunga Yanga jana. Halafu tuambiwe alikuwa anaendelea kukua?!

Ni wazi kuwa, Ishmael na mama yake walifukuzwa akiwa mdogo sana!
 
Sidhani,wakati wa david hakukua na uyahudi,,mfalme Josia ndo alianza kukusanya maandiko ya wazee wa zamani wa kiyahudi,lakini hakufika mbali katika vita vyao na wamisri,King Josia aliuawa,,baadae sana Yudah kingdom walikuja kuangushwa na wababel,,baada ya wayahudi kukataa ku pay tribute kwa babel na kuonekana wanaegemea upande wa misri,,ndiposaa wakachukuliwa utumwamwani babel,kwa miaka mingi,,huko ndiko dini ya kiyahudi ilianza kutake form na wakiadopt baadhi ya imani za wababeli,,
Hatimae utawala wa babeli ukaja kuangushwa na waajemi(persia),mfalme wa uajemi ndio alietoa ruksa kwa Ezra na wayahudi wote kufejea caanan na pia alitoa pesa za kujengwa upya hekalu la solomon,,ni wakati wa Ezra ndipo imani ya kiyahudi ilipoanza kuota mizizi na mtawala wa Persia king cyrus alituma watu kutoka uajemi kuwafundisha watu dini kwa mujibu wa bible
Upo nondo . Salute.
 
Mwanzo 21 : 8 -21
Hajiri akamlaza kijana chini, naye akaenda kukaa mbali kiasi cha mtupo wa mshale (kwa makadirio ni kama metre 10), ili asimwone wakati akifa.

Malaika akamwambia Hajiri, kijana atakuwa baba wa mataifa, hivyo hawezi kufa. Alipotazama, akaona kisima cha maji, akasogea, akajaza kiriba (kibuyu), akamwinua kijana, akamnywesha, wakaendelea na safari.

Wakafika jangwani, na wakaweka makazi yao hapo. Wakiwa huko jangwani, kijana aliendelea kukua mpaka kufikia umri wa kuoa. Alipofikia umri wa kuoa, mama yake alimtafutia mwanmke kutoka Misri (kumbuka Hajiri alikuwa ni Mmisri).

Sasa maswali:
1. Kama Ishmael alikuwa na umri wa miaka 18 wakati wanafukuzwa, mbona tunaambiwa walipoishiwa chakula na maji, Hajiri alimlaza kijana chini, na yeye kwenda umbali wa mtupo wa mshale ili asimwone akifa. Ina maana chakula alikuwa anakula peke yake na kumnyima kijana, na hivyo yeye (Hajiri) kutoathirika na njaa, bali kijana peke yake? Na alimlazaje kijana wa miaka 18? Kwani asingeweza kulala peke yake?

2. Alipoonyeshwa kisima (Hajiri), akajaza kiriba maji, halafu akamnywesha kijana. Hivi kijana wa miaka 18 ni wa kunyweshwa maji? Yeye hakuweza kukamata kiriba na kunywa mwenyewe?

3. Tunaambiwa kijana aliendelea kukua (huko jangwani) mpaka akafikia umri wa kuoa. Je, kama walifukuzwa Ishmael akiwa na umri wa miaka 18, kwanini tuambiwe kijana aliendelea kukua wakati umri wa miaka 18 ni tayari mtu mzima? Na kumbuka mama yake Ishmael alikuwa ni Mwarabu, na maumbile ya waarabu unayajua yalivyo makubwa. Sasa piga picha kijana wa Kiarabu wa miaka 18 atakuwaje; hana tofauti na wale Waarabu waliocheza na kuwafunga Yanga jana. Halafu tuambiwe alikuwa anaendelea kukua?!

Ni wazi kuwa, Ishmael na mama yake walifukuzwa akiwa mdogo sana!
😀,Ndugu yangu,hutaki kuelewa tu,,hiyo story ni hekaya,,,waandishi walijichanyanya na waliofanya editing walipitiwa,,shida ndo iko hapo,,,🤗
 
Back
Top Bottom