Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
- Thread starter
-
- #41
Hata X mass, Easter , KwaresmaNikweli wakatoliki wananguvu ndiyo maana baadhi ya mafundisho yake ya kipagani utayakuta kwa waprotestanti karibu wote mfano kitu kinachoitwa Utatu.
Ndio maana Yesu alituachia roho mtakatifuSawa tuna utashi wa kuchanganua ila huu utashi hautoshi kabisa kuchanganua maswala ya dini. Ndio maana unakuta mtu anachanganua anafikia kuona uislam ni bora ila uchanganuaji wa mwingine anaona ukristo ndio sahihi. Hapo hawa watu watakuwa na kosa gani wakati uwezo wao wa kuchanganua umewatuma kuamini hivo?
Kwasasa makanisani ,Shetani ndio kaweka kambiAnhaa , so hapo inabidi tuache kwenda kanisani ama?
Kanisa ni ushirika kwa ajili ya nia ya kuungana Ili kumuabudu Mungu usipoenda kanisani utapata wapi ushirika.Anhaa , so hapo inabidi tuache kwenda kanisani ama?
Wakati Marehemu Papa Benedict xvi akitoa wito wa kuleta ‘haki na amani’ duniani, chuo kikuu cha Kiislamu (Sunn Al - Azhar University) kimetoa shukrani kwa Vatican kutokana na juhudi za kanisa Katoliki kwa kukemea vitendo vinavyoashiria uvunjifu wa amani duniani, kutetea imani za watu wote pamoja na kuziwezesha dini zote kutumia alama na nembo kama utambulisho wa dini husika.Ona waislamu wanawake huvaa kama masister
Wanafunga kwaresma au ramadhani
Wote wanavaa kanzu na uvumba upo
Wote wanapigania dini zao na kufa kama mashahidi
Wote wanaotumia tasibihi
Wote wanaombea wafu waende peponi
Wote dini zao zinamchanganyiko na upagani
Kanisa maana yake sio Jengo ,Ni mkusanyiko wa wauminiKanisa ni ushirika kwa ajili ya nia ya kuungana Ili kumuabudu Mungu usipoenda kanisani utapata wapi ushirika.
Mungu asituadhibu kwa makosa tuliyofanya bila kujua. Unaposema mtu akifa kwenye dhambi ni kwamba alimfungia vioo roho mtakatifu, mi kikawaida nitajuaje kwamba nimefungia vioo?Ndio maana Yesu alituachia roho mtakatifu
Kazi ya kukuelekeza njia sahihi Ni Ya Roho mtakatifu
Ukiona mtu anakufa kwenye dhambi ujue alimfungia vioo Roho mtakatifu na hiyo wanatheolojia wanasema ndio Dhambi ya kumkufuru roho mtakatifu
Sawa mkuu, tatizo ni Kanisa Gani la kwenda?Kanisa ni ushirika kwa ajili ya nia ya kuungana Ili kumuabudu Mungu usipoenda kanisani utapata wapi ushirika.
Ukristo wa Kweli Ni UPROTESTAST HALISI ,Kumbuka Kuna UPROTESTAST ULIOASIUkristo wa ukweli ni upi sasa?
Pentecostal au orthodox
Jesuits walikuwepo karne ya 7? Mnakulaga mavi au nini? Mbona wajinga sana? 🤣Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
Soma history na chimbuko la JesuitJesuits walikuwepo karne ya 7? Mnakulaga mavi au nini? Mbona wajinga sana? 🤣
Ukuaji wa kasi wa Uislam unakusaidiaje katika maisha yako?Hi theory/dhana ya Uislamu kuazishwa na RC imebunia hivi karibuni na propagandist wa Vatican baada ya kugundua kwamba uislamu unatafuna jamii yao kwa kasi and Islam is unstoppable, "if you can't win them join them" ndo wazungu wanacho fanya kwa hiyo theory, wataka wajimilikishe uislam kwa theories za kubuni, Islam is the fastest growing religion in Europe as well as in the whole world, researcher wanasema by 2050 Uislamu ndo itakua the majority religion katika nchi nyingi katika Bara la Ulaya ikiongozwa na Wingereza Ufaransa na Ujerumani, Wazungu wanaanza kujianda kisaikolojia vizazi wao kupokea Uislamu.
Kanisa ni individualKanisa maana yake sio Jengo ,Ni mkusanyiko wa waumini
Hata mkiwa wawili chini ya mti mkaemdesha ibada ,Ni kanisa
Kumbe Sir Isaac Newton naye alikuwa mfuasi mwaminifu wa Yesu Kristo?Ukristo wa Kweli Ni UPROTESTAST HALISI ,Kumbuka Kuna UPROTESTAST ULIOASI
NI chama cha Prieure de Sion (Priory de Sion) kilichoanzishwa na familia ya 11 ya Illuminati inayoitwa Freeman Illuminati bloodlines ndicho kilichosababisha kuanzishwa kwa
‘Uprotestant’ au ‘Upinzani’ ndani ya dini.
Wakainuka mashujaa wengi waliopinga mafundisho machafu yaliyoingizwa ndani ya imani ya kweli ili kutetea neno la Mungu litawale tofauti na mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.
Miongoni mwa mashujaa walioinuka kupingana na mafundisho ya chama cha Prieure de Sion alikuwa Martin Luther,Calvin, Jonh Knox, Sir Isack Newton, n.k.
Kumbuka kwamba wapinzani ‘Protestants’hawa walikuwa wanapinga mafundisho wakiwa ndani ya mifumo ya dini zao.
Hata hivyo hawakufanikiwa kuleta matokeo mazuri ya upinzani wao na hivyo wakaamua kutoka na kujitenga na dini wakiwa na baadhi ya mafundisho machafu waliyoyarithi kutoka kwenye mifumo potofu ya kidini.
Wakiwa wamejitenga, sasa waliamua kufanya ‘matengenezo’ kwa lengo la kuondoa mafundisho machafu na kubaki na mafundisho safi kama ilivyoagizwa na Mungu.
Hivyo jina lao wakaitwa‘Reformers’ au ‘Wanamatengenezo’ badala ya ‘Protestants’ au ‘wapinzani’.‘Waprotestants’ wa awali walijua maana ya kanisa na ndio maana hawakuona shida kujitenga na mifumo iliyokuwa inadhaniwa kuwa ndiyo kanisa
Hujawahi kupata hatia ya dhambi? Ile hatia Basi ni Roho wa Mungu anakusihi utubuMungu asituadhibu kwa makosa tuliyofanya bila kujua. Unaposema mtu akifa kwenye dhambi ni kwamba alimfungia vioo roho mtakatifu, mi kikawaida nitajuaje kwamba nimefungia vioo?
Usitukane aisee, Tunajua Majesuit wamekuja lini ,Jesuits walikuwepo karne ya 7? Mnakulaga mavi au nini? Mbona wajinga sana? [emoji1787]
Mimi haunisaidii ila siwezi kuuzuia,Ukuaji wa kasi wa Uislam unakusaidiaje katika maisha yako?
Huyu mwamba alikichambua kitabu Cha Daniel chote kuliko hata Physics na MathematicsKumbe Sir Isaac Newton naye alikuwa mfuasi mwaminifu wa Yesu Kristo?