Ukweli Kuhusu Kinywaji cha Ali Kiba Mofaya

Mkuki kwa nguruwe
 
Usipangie watu cha kupost..!
Unaweza kuanzisha Uzi wako ukawasifia wasanii unaowapenda..!
 
Mnunue basi manake washabiki watatz wanachojua kuongeza views youtube basi,manake kununua nyimbo tu mkito mnashindwa,manasubiria beka boy.
 
cha alikiba ao ni gubu kiba ni dalali wa mofaya acheni kupotosha vilaza kama wew
 
Mengi anamiliki kiwanda cha coca cola ,kwanini mengi sio balozi wa coke na coke sio kinywaji cha kitanzania!?ukinijibu hapa nadhani na wewe pia utakua umejijibu!!
 
Kiba kama Mengi tu na Coca-Cola.
Shime watz tutumie Mofaya ya [emoji146] kiba.
Mengi bonite yke 100% na cocacola kwanza anahisa kadhaa na jengo mali yke..huyu kiba yeye kawekewa jina anapewa % kilichobaki ni yeye kupromote hichi kinywaji kiuzike tanzania
 
Mengi anamiliki kiwanda cha coca cola ,kwanini mengi sio balozi wa coke na coke sio kinywaji cha kitanzania!?ukinijibu hapa nadhani na wewe pia utakua umejijibu!!
Ahahaaaah...
Leo kazi mnayo..!

Hizi timu kuna wakati huwa zinafurahisha sana..!

Kama nawaona vile timu Diamond watakavyolivalia njuga hili jambo huko Instagram..!!!
 
Mengi anamiliki kiwanda cha coca cola ,kwanini mengi sio balozi wa coke na coke sio kinywaji cha kitanzania!?ukinijibu hapa nadhani na wewe pia utakua umejijibu!!
Coa Cola na Pepsi zinafanya kazi tofauti na makampuni mengine ya vinywaji.
Wao wanachouza kwa viwanda hivi ni mchanganyiko wao ambao ulivyotengenezwa ni siri yao, wao watakudirect huo mchanganyiko uchanganywe vipi ili kuleta radha ya soda zao lengo likiwa ukinywa coca ya hapa ukanywa ya U.K taste iwe sawa.
Wao wana make profit kwa kuuza mchanganyiko wao kwa wenye viwanda vya kuchanganya na kuzalisha soda, pia wanabaki kama ndiyo wamiliki wa brand na ndiyo wanahusika kufanya matangazo na kufanya marketing ya vinywaji vyao.
Wakiamua kwamba wanabadirisha chupa wote inabidi wakubariane na hilo mengi hawezi kusema hapana mimi sibadirishi.
 
Kwa Tanzania ni chake. Ni sawa na coke pepse business . Mengi ana share zake na anapata. Kwa ufupi ni chake
 
Kiba kama Mengi tu na Coca-Cola.
Shime watz tutumie Mofaya ya [emoji146] kiba.
Mengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....
Alikiba hana tofauti na King Majuto anavyo wekwaga kwenye matangazo ya kila bidhaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…