Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
- Thread starter
-
- #21
Mkuki kwa nguruweIla wewe jamaa, limbwata la chaijaba naona limekukamata kikamilifu. Hata kama unakula kwake, sio kwa shobo hili. Unakuwa na chuki kaliiiiii kwa kila unaeona anataka kumpiku DOMO, watu waache kuishi au kufanya vitu kwa kuwa tu watampiku DOMO ?
- Unaleta thread za kuponda mara ASLAY, mara KIBA, mara DARASA
JINGALAO!
Usipangie watu cha kupost..!Ila wewe jamaa, limbwata la chaijaba naona limekukamata kikamilifu. Hata kama unakula kwake, sio kwa shobo hili. Unakuwa na chuki kaliiiiii kwa kila unaeona anataka kumpiku DOMO, watu waache kuishi au kufanya vitu kwa kuwa tu watampiku DOMO ?
- Unaleta thread za kuponda mara ASLAY, mara KIBA, mara DARASA
JINGALAO!
Achana Nae Kanjunju hiloUsipangie watu cha kupost..!
Unaweza kuanzisha Uzi wako ukawasifia wasanii unaowapenda..!
Mengi bonite yke 100% na cocacola kwanza anahisa kadhaa na jengo mali yke..huyu kiba yeye kawekewa jina anapewa % kilichobaki ni yeye kupromote hichi kinywaji kiuzike tanzaniaKiba kama Mengi tu na Coca-Cola.
Shime watz tutumie Mofaya ya [emoji146] kiba.
Ahahaaaah...Mengi anamiliki kiwanda cha coca cola ,kwanini mengi sio balozi wa coke na coke sio kinywaji cha kitanzania!?ukinijibu hapa nadhani na wewe pia utakua umejijibu!!
Coa Cola na Pepsi zinafanya kazi tofauti na makampuni mengine ya vinywaji.Mengi anamiliki kiwanda cha coca cola ,kwanini mengi sio balozi wa coke na coke sio kinywaji cha kitanzania!?ukinijibu hapa nadhani na wewe pia utakua umejijibu!!
Balozi wa coca cola dstv karanga mmiliki wa wasafi lebo wasafi tv dizzim tv wasafi radio dizzim online tvUpande wa pili ni mabalozi wa karanga
Alikiba ana kiwanda cha mofaya?Mengi anamiliki kiwanda cha coca cola ,kwanini mengi sio balozi wa coke na coke sio kinywaji cha kitanzania!?ukinijibu hapa nadhani na wewe pia utakua umejijibu!!
Ila anabaki kuwa balozi tu kama wale wa nyumba kumi.Kiwe chake kisiwe chake ,ila cha muhimu anaingiza ela basi.
Wanaamua tu kukuchukia kisa mafanikio yako.Leo ndo mnajua kwambo wabongo wanachuki? mmeshasahau ya Diamond Karanga,Wasafi Tv?
Mengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....Kiba kama Mengi tu na Coca-Cola.
Shime watz tutumie Mofaya ya [emoji146] kiba.