Ukweli Kuhusu Kinywaji cha Ali Kiba Mofaya

Ukweli Kuhusu Kinywaji cha Ali Kiba Mofaya

Ahahaaaah...
Leo kazi mnayo..!

Hizi timu kuna wakati huwa zinafurahisha sana..!

Kama nawaona vile timu Diamond watakavyolivalia njuga hili jambo huko Instagram..!!!
Kama wao walivyovaliwa njuga juu ya Diamond Karanga & Chibu Perfume
 
Mengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....
Alikiba hana tofauti na King Majuto anavyo wekwaga kwenye matangazo ya kila bidhaa...
Bila Shaka utakuwa umeshapata Mofaya ya [emoji146] kiba.
Hongera sana, hivi kuna tofauti ya partnership na ambassador..?
 
Mengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....
Alikiba hana tofauti na King Majuto anavyo wekwaga kwenye matangazo ya kila bidhaa...
Duh.....hii imezidi sasa.
 
Kiba hana umiliki wa hio kampuni, Hio kamouni kaikuta....hana significan influence wala control....Ukweli unauma
 
km tu ilivyo kwa diamond karanga watu wakajua ni za domo kumbe nae nibaloz tu
 
No one can stop king kiba except God ! go get it kiba its your time to shine majirani kwa mbwembwe na roho za kutu fasta kujirekodi ki video cha kwenye boat hatutoi kiki [HASHTAG]#kiba[/HASHTAG] for tz and [emoji290]kiba forever, yule
Manhood ambassador (zip mbovu) alizani dunia yake peke yake.
Mofayaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
nilikuwa najiuliza hivi alikiba hicho kinywaji mbona anakitangaza wakati si chake na kina milikiwa na wa south africa.
nikaja nikapata uthibitisho huu wa video

KWANZA MJUE TOFAUTI KATI YA PARTNER NA OWNER



sasa kilicho fanyika ni kuweka jina la alikiba kwenye kinywaji ila sio mmiliki mwenyewe na kinywaji cha mofaya ni cha mda sana.

website yao kamili MOFAYA ENERGY

DbErcu6W4AAU7VH.jpg


ushauri hata wewe ukitaka kuwa mmoja wa parntenr wa mofaya unaweza vizuri tena unaomba waandike jina lako kabisa kwenye kinywaji mfano sky walker na ukija huku chimbo kwetu unaweza sema ni chako kama tetesi nilivyo sikia.

ni maoni tu baadhi

NA HUKO SOUTH WANA KITWANGA KWELI

DZGbb9aW0AAVjSI.jpg


NA HICHI KINYWAJI KILI VUMBULIWA NA KIKA TANGAZWA MPAKA HARVARD UNVSR

DXbNH73X4AU4RUD.jpg


NA HUYO JAMAA KAMA MNA MJUA WALE WAPEKUZI mtakuwa meona akiuza vinywaji vingi sana huko supermarket na sehemu nyingine anajua kutangaza sana na nahisi ndo mmiliki kama sio partner na yeye kama alikiba 😀😀😀

 
Sasa hii ni franchise business bado anahaki zote kama mmiliki tu tumpongeze tuache wivu
 
No one can stop king kiba except God ! go get it kiba its your time to shine majirani kwa mbwembwe na roho za kutu fasta kujirekodi ki video cha kwenye boat hatutoi kiki [HASHTAG]#kiba[/HASHTAG] for tz and [emoji290]kiba forever, yule
Manhood ambassador (zip mbovu) alizani dunia yake peke yake.
Mofayaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]


Duh!
 
Back
Top Bottom