Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wanaompinga JPM ni roho mbaya tuWatanzania tuna roho mbaya sana....yaani roho zetu zinaumia sana tunapomuona mwenzetu anapiga hatua kujikwamua......haya mambo yapo kuanzia majumbani mpaka maofisini...ni roho za ajabu sana.....
Labda tu niwakumbushe vijana kuwa chuki dhidi ya waliofanikiwa au kupiga hatua mbele kwenye maisha yao hakiwezi kuboresha maisha yako badala yake ni kwamba kujifunza kupitia wao au kujikita kwenye mambo yako yanayokuletea mkate wa kila siku........
Wabongo wana roho mbayaNadhan utakuwa umeelewa sasa..... Alikiba ni partner halali wa MoFaya na sio balozi..... Na ndio mana mpk sura yake ipo kweny kopo la kinywaji hicho...... View attachment 761304
Yaani wewe unakuwaga na chuki mbayaa na KibaMengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....
Alikiba hana tofauti na King Majuto anavyo wekwaga kwenye matangazo ya kila bidhaa...
Tanzania ya Nzega labdaAli kiba you are the only one in tz
Mkuu unatuchanganya ujue maana unasema si mmiliki wakati mofaya wanasema kiba ni mmiliki tumuamini nani?Pongezi kwa Ali Kiba kwa kuingia kwenye biashara,iwe ni ya ubalozi au umiliki cha msingi ni kujua umuhimu wa uwekezaji kwenye biashara.
Nimeona watu wakianza kupotosha umma na kuanza kujikweza na kuanza kuponda wengine kwa kusema Ali ndio mmiliki halali na sio balozi wa hicho kinywaji
lakini ni vyema watu hao wakafahamu kuwa MOFAYA ni Kinywaji kinachomilikiwa na Kampuni ya South Africa na wana product mbali mbali za kinywaji hicho ikiwemo Mofaya Premium,Mofaya Carb O,Ultimate.... View attachment 761078 View attachment 761079 View attachment 761080 View attachment 761081
SOMA NA HII PIA........South African radio DJ, recording artist and television presenter DJ Sbu has created a new energy drink brand called MoFaya.
Writing about the new drink on Facebook, the entertainer said: “#MoFaya to burn & melt all the NONSENSE in these fridges. Skhathele. Finally a local BRAND is here.
“#MoFaya has been 3 years in the making. Making sure we comply with all the health standards & regulations.”
The new energy drink was founded by a team of eight South Africans, with a collective 97 years of working experience, and every can sold will go towards educating a child in the region.
“#MoFaya will take at least 100 students to university/year starting 2016 & create at least 100 entrepreneurs/province per year.”
Mengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....
Alikiba hana tofauti na King Majuto anavyo wekwaga kwenye matangazo ya kila bidhaa...
Yaani wewe unakuwaga na chuki mbayaa na Kiba
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tayari wachawiwabongo mmekosa tu vifaa vya kua wachawi lakini uchawi mnauweza kwa asilimia 97