Ukweli Kuhusu Kinywaji cha Ali Kiba Mofaya

Ukweli Kuhusu Kinywaji cha Ali Kiba Mofaya

Mange itabidi amsaidie ku promote hii bidhaa coz ali ni mvivu sana kazi zake mwenyewe zinamshinda kuzitangaza
 
Kwa Tanzania ni chake. Ni sawa na coke pepse business . Mengi ana share zake na anapata. Kwa ufupi ni chake
Sawa ni Chake,ila tuambie kiwanda kinapatikana wapi?
 
Ahahaaaah...
Leo kazi mnayo..!

Hizi timu kuna wakati huwa zinafurahisha sana..!
Kama nawaona vile timu Diamond watakavyolivalia njuga hili jambo huko Instagram..!!!
Kinachofurahisha hawa watu leo wamesahau walivyokuwa wanamponda Diamond kuwa mali si zake,bahati nzuri mfalme wao nae kapita humohumo hawana cha kusema zaidi ya "mna chuki" hahahaha
 
Pongezi kwa Ali Kiba kwa kuingia kwenye biashara,iwe ni ya ubalozi au umiliki cha msingi ni kujua umuhimu wa uwekezaji kwenye biashara.

Nimeona watu wakianza kupotosha umma na kuanza kujikweza na kuanza kuponda wengine kwa kusema Ali ndio mmiliki halali na sio balozi wa hicho kinywaji
lakini ni vyema watu hao wakafahamu kuwa MOFAYA ni Kinywaji kinachomilikiwa na Kampuni ya South Africa na wana product mbali mbali za kinywaji hicho ikiwemo Mofaya Premium,Mofaya Carb O,Ultimate.... View attachment 761078 View attachment 761079 View attachment 761080 View attachment 761081
SOMA NA HII PIA........South African radio DJ, recording artist and television presenter DJ Sbu has created a new energy drink brand called MoFaya.

Writing about the new drink on Facebook, the entertainer said: “#MoFaya to burn & melt all the NONSENSE in these fridges. Skhathele. Finally a local BRAND is here.

“#MoFaya has been 3 years in the making. Making sure we comply with all the health standards & regulations.”

The new energy drink was founded by a team of eight South Africans, with a collective 97 years of working experience, and every can sold will go towards educating a child in the region.

“#MoFaya will take at least 100 students to university/year starting 2016 & create at least 100 entrepreneurs/province per year.”
Yoyote yule awe Balozi au awe mmiliki muhimu anaingiza Mpunga basiiii.
Umiliki wa biashara wa kisasa umebadirika sana, hakuna tena kusimama peke yako mnachanganya nguvu ili kuzikabili changamoto mbalimbali za kibiashara.
Kibongobongo eti uwe na biashara unamiliki peke yako!!!!!!!!.
 
Ni ushamba na ujinga wa ALIKIBA NA DIAMOND kuleta products zao wakiipa majina yao. Siyo fair hata kidogo kwasababu anayekupenda leo kesho atakuchukia na yakitokea hayo wataotumia hiyo kinywaji yako kwisha habar. Wajifunze kutafuta brands name ambazo hazileti ukakasi wa kibiashara. Wamuulize Lady Jay Dee na maji yake kama alifikia wapi na hatima yake? Bado hawajifunzi kwa akina Azam na Barkresa kwenye PRODUCTS zao, pamoja na umarufu wao lakini bidhaa zao hawajaipa majina yao halisi au majina ya watoto wao.

Huyo Kiba asubiri wenye leseni ya MOFAYA watakavyomfilisi soon kwa kutumia Brand ya watu alafu eti unajiongezea kajina kako, pambaffffffffffffffffffffffffffffffffff
 
Kinachofurahisha hawa watu leo wamesahau walivyokuwa wanamponda Diamond kuwa mali si zake,bahati nzuri mfalme wao nae kapita humohumo hawana cha kusema zaidi ya "mna chuki" hahahaha
Samahani Simba hajapita njia za Kiba yeye ana tv station mbili na radio na karanga na perfume na studio na label kubwa Africa nzima, kiba anapromote kinywaji cha Mofaya.
 
hakuna ubaya kiongozi ila naona kuna jamaa wameanza kujiona wako juu sana huku wakitupa kijembe kwa hashtag [HASHTAG]#NoUbalozi[/HASHTAG]
Ahahaaa halafu kibakuli ndio balozi mashuhuri. Alianza na tembo saiv kinywaji
 
Yoyote yule awe Balozi au awe mmiliki muhimu anaingiza Mpunga basiiii.
Umiliki wa biashara wa kisasa umebadirika sana, hakuna tena kusimama peke yako mnachanganya nguvu ili kuzikabili changamoto mbalimbali za kibiashara.
Kibongobongo eti uwe na biashara unamiliki peke yako!!!!!!!!.
Bora leo mmeanza kupata akili
 
Aisee, maadam kuna jina lake hata akiwa balozi ni mafanikio.
Big up Kiba!
 
Back
Top Bottom