Ukweli Kuhusu Kinywaji cha Ali Kiba Mofaya

Nadhan utakuwa umeelewa sasa..... Alikiba ni partner halali wa MoFaya na sio balozi..... Na ndio mana mpk sura yake ipo kweny kopo la kinywaji hicho......
 
Hata wanaompinga JPM ni roho mbaya tu
 
Mengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....
Alikiba hana tofauti na King Majuto anavyo wekwaga kwenye matangazo ya kila bidhaa...
Yaani wewe unakuwaga na chuki mbayaa na Kiba
 
Mkuu unatuchanganya ujue maana unasema si mmiliki wakati mofaya wanasema kiba ni mmiliki tumuamini nani?
 
haya bisheni na iyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji13]
 
Mengi anatumia brand name tuu lakini bidhaa anazo zalisha ni za kwake hivyo analipia brand name.....
Alikiba hana tofauti na King Majuto anavyo wekwaga kwenye matangazo ya kila bidhaa...

utakufa kinywa wazi [emoji23][emoji23]
 
Kajitahidi lakini manake bora alivyoiga mwenzake simba kwenye pilika pilika za kutumia umaarufu kupata pesa
 
Kuwa balozi pia sio mbaya maana still ana share yake anapata pale yaani halali njaa kwa ufupi kuliko ww unaekaa nyuma ya keyboard unaponda na kutukana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…