Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

Nikajua kwa yaliyokupata basi utapunguza rate ya kungonoka au utajitahidi kutumia kinga kumbe unaendelea ila unabadili aina ya wanawake.

Akili huna acha ikupate tena na tena.
ni sawa kwa unalo sema ukisoma unaweza sema ni ndani ya mwezi mmoja ila ni zaidi ya miaka mitano kukutana na matukio tofauti. na hiii imetokea mwaka jana mwezi wa 6 huko ndo mara ya mwisho, so ukiwa una comment usiwe una panic. penda kuuliza kwanza na sio kubadili ni mfumo wa maisha ulivyo lazima ukutanenao tu.
 
Sijapanick ila uzi wako mzima na hata hitimisho lako limethibitisha kua wewe ni kitombi.

Ungekua na mpenz mmoja au wawili labda lakini kila gonjwa ni demu mpya msiejuana kabisa na mnanjunjana bila kupima na pekupeku
 
Watu wenye experience zao:
1. Let say nimengonoka na mgonjwa na ameniambukiza (assume).

Gono
Kaswende
Hiyo UTI mnayoidiscuss. Other STI you name them😁

For each disease hapo... Nimeambukizwa leo. Itachukua muda gani kuanza kusuffer/ symptoms make jamaa anasema in two days, week etc

Mi pia nipo careless sana ofcourse involuntarily. Asa akili ikikaa sawa namuomba mungu na kuanza kusikilizia symptom but sijawai pata ugonjwa wowote. I usually wait 2 weeks and see if i get any abnormality ila nisipopata hata kahoma in weeks or months najua am still safeeeee
binti kiziwi DeepPond
 
binti kiziwi najua sana concept ya immunity biology ya fomu tuwu. So technical speaking ukifanya irresponsible sex usipopata signal after sometime that means you two were good or huja acquire mzigo etiii... Apa naogopa sana make mi wanawake hawaniambiagi to do it protected wananiamini just by appearance na mi nikiona ile kitu ipo healthy, clean and bumpy naloweka naked ndo ivyo toka niwe baaad man cjapataga ata dalili moja tu. Ila mara moja i guess nilijichubua tip nguo zikawa zinaniletea unpleasant sensation/scratch but no other than that hapo ndo nikawa alarmed kumbe it was nothing real
 
Sijapanick ila uzi wako mzima na hata hitimisho lako limethibitisha kua wewe ni kitombi.

Ungekua na mpenz mmoja au wawili labda lakini kila gonjwa ni demu mpya msiejuana kabisa na mnanjunjana bila kupima na pekupeku
sawa nimekuelewa mkuu.
 
hahahahaa kuna jamaa mmoja alipata demu yeye akajua ame win kumbe ni BOMU kaenda kunyandua tu masaa 6 mengi kitu imo. demu ana tumiwa msg anasema utajua mwenyewe.
 
Karibu 95% ya wanawake Wana UTI, Tena wale wazuri kwa mwonekano ndiyo balaa sana ukigusa bila kinga probability ya kupata UTI or gono ni 100%. Hivyo ni bora kutumia kinga kila wakati don't trust any woman. Wale ambao unaweza usipate UTI, ni wale wafanyakazi wa ofisini wenye mishahara mikubwa wasafi ndani na nje. Wale ambao hawapigwi ovyo ovyo.
 

Attachments

  • VID-20220803-WA0042.mp4
    792.6 KB
100% sure mkuu.
 
Mostly STI's ni 1-10 days...

Inategemea pia
Basi mi cjapataga STI ata moja up to now... Technique ya kudetermine this huwaga after random sex nakaa kusikilizia kama taugua-ugua.., after some time bila kuugua wala dalili namshukuru sir god kwamba bado mzima.

My blood group AB Rhesus factor +

Hivi ukipata HIV/AIDS today... Kuna window period yaani kwamba umeupata leo baada ya week3/ 3 months lazima uuugue ugue fulani alafu unapona si ndio...

Kwamba umekula demu raw and you are not sure of her HIV status so si unachill kusikilizia after 3weeks or 3months ukianza kuugua-ugua probability ni umeishaupata. So you just sit calm and wait the music (10 years later)

Else you are still healthy and kicking si ndio au ipoje mkuu
 
We bwana mdogo
Nina chozungumza ni issue SERIOUS za AFYA za watu
wewe unatakiwa ujifunze na kubuni mbinu mbadala za kitabibu kupitia mrejeshi wawagonwa unaowatibu
achana na makaratasi ya darasani
UPO kwenye uharisia unatibu watu na hao watu wewe ndo wanakutegemea inapaswa uwe makini na kile unachowatibu na uzingatie wanachokurejeshea baada ya kuwatibu
7bu MAKOSA ya shilingi 1000/= unayoafanya leo
yakakughalimu kesho 100000/=

Athari za magonjwa ya BACTERIA na utumiaji mbaya wa ANTIBIOTIC
Una ghalama kubwa kuyatibu baadae yanapojenga USUGU wa dawa
 
Wanawske wanaugua uti karibu wote maana asilimia kubwa ya wanawake siku hizi wanaliwa mbele na nyuma ss mtu anakula mbele akichoka anakula nyuma anaingiza wadudu kunako mbele. Huyu dem akitoka hapo ataenda liwa na mtu mwingine huyo mtu mwingine atakula mtu mwingine and the chain goes on kwa upande wa mdada wa kwanza. Huyu aliyekula mdada wa kwanza naye akitoka hapo anaenda mkula mwingine mdada mwingine analiwa na makaka mwingine and the chain keeps expanding.
Sasa hii matrix usidhani wako salama and wote lazima wapate uti. Fikiria wadsds 30 wamegawa tigo after a week lazima watu 1000 wana uti
 
Hakuna sehemu yeyote niliotaja antibiotics yeyote popote....

Nilikudharau tangu ulivyoanza kunishambulia mwanzoni

Ghafla nikaona unanitajia Mambo ya ceftriaxone na madharau kibao nikajua wale wale mliopata supplementary kipindi mko kwenye mavyuo yenu yasiojulikana kichwa wala miguu

In fact mimi nilichokuwa na kidefend ni kwamba mtoa mada nilitaka kumuelimisha ajue tofauti iliyopo Kati ya STI's pamoja na UTI alioitaja....

Kwahiyo suala kubwa lilikuwa ni kubadilisha mitazamo tofauti iliyopo ndani ya jamii husika hasa linapokuja suala la magonjwa yanayoathiri mifumo mbali mbali hasa ya mfumo mzima wa mkojo pamoja na mfumo mzima wa uzazi


Next time ukiona nacomment popote jiridhishe na uutaarishe ubongo wako vizuri

Done
 

ukicoment Pumba unaelezwa tu hususani swala linalohusu AFYA
Hii JAMII FORUM platform KUBWA sana watu wengi wanapata SOLUTION za matatizo yao ya KIAFYA kupitia COMMENTS zetu
Unapoongea ishu ambazo zipo katika uhalisia na wewe unacomment pumba unaambiwa tu
STI's na UTI ni kitu kina ushirikiano mfanano sana inahitaji umakini kumuelewesha mtu akuelewe utofauti uliopo ili achukue hatua za kujikinga na kupata tiba stahiki
Inaumiza moyo kuona PRIVATE HOSPITAL zinatumia U.T. I km mradi wa kuendesha HOSPTARI zao hiyo tabia ikomeshwe ipo hvyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…